MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,985
- 2,587
Nchi ilishapotea kitambo sana hii ndio maana tumeambiwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Suspect bwanasuspected/expected
To othersThe poorest choice
We expected this - hapa 99.99 ni chadema tupu hapa JFHahaha yani jamvi zima kapata like 7
Kipimo cha Taifa.....
AnatoshaAcha kusifia vitu visivyostahili sifa. Huyo kibaraka ana Moto gani?. Mnasifia kinafiki tuu mkijua CHADEMA haipo bungeni, na Sasa bunge litasimamiwa na serikali. Mtapata machungu zaidi ya tozo. Muulize mtesaji wa CHADEMA ndugai kilichomtokea.
Yes ndio hivyo tena!, ila she might be different!. Hata naniliu, alikuwa ni Bora Rais, hivyo baada ya NANILIU kumnaniliu na Deputy wake kushika nafasi yake, huyu Deputy kawa Rais Bora!.Bora Spika
Na utapanic sana dogo!Wewe una makubwa zaidi chukua firm unafaa na hilo wezere bwana aunt aggrey
Cv yake ya kawaida sana ni Mgeni kwenye siasa ana bahati amekua akibebwaAsante mleta mada kwa taarifa hii muhimu. Pia nauliza toka 2003 Mpaka 2005 , Mheshimiwa Dr Tulia alikuwa anajishughulisha na nini?
Na Je. Ni kweli PhD aliisoma miaka 2 ama 3 ?
Samweli Sitta vp ??? au umemsahau
Independeza lakini Sio Mbunge labda ateuliwe kuwa Mbunge kwanzaMsesela Naibu
Watanzania ni waoga sana mpaka wanajeshi wao pia ni waoga. Usitegee coup kutokea.