Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
Kuanzia mwaka wa fedha 2023/24 kutakuwa na msamaha wa Bidhaa unaotozwa kwa mujibu wa uwezo wa Injini (Engine Capacity) kwenye magari yanayotumia Nishati ya Umeme pekee yanayotambulika kwa HS Code 8702.40.11; 8702.40.19; 8703.80.10; na 8703.80.90 pamoja na magari yanayotumia Nishati ya Gesi Asilia (CNG) pekee
Lengo la hatua hii ni kuhamasisha matumizi ya nishati ya umeme na gesi asilia nchini na hivyo kuokoa matumizi ya fedha za kigeni inayotumika kuagiza nishati ya mafuta kutoka nje ya nchi.