Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 16,493
- 18,559
Ni Mrundi kutoka Mkoa wa Rumonge amejivika Uha na tukamkubali!
Ni Mrundi kutoka Mkoa wa Rumonge amejivika Uha na tukamkubali!
Ma-Professor na Ma-Doctor wa Tanzania bhana!!!😆😆😆😆 kaamua kuitupilia mbali paper yake ya kupata u-Professor hukoo kisa siasa😆😆😆😆 Mungu atusaidie kuwa na macho ya kuona mbali!!!!Kaacha paper yake angekua Professor, kaitupiria mbali
Mbona jina lina vina vya mkoa wa Kigoma?Ni mjita anatokea either BUTIAMA au MUSOMA VIJIJINI na alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya ujenzi-over.
Kwahiyo ni kweli alikuwa anamiliki toyota corona?Ni suala la muda tu. Stay tuned. Ngosha vital signs zipo njema. Though alikuwa anaumwa.
Yes. Ila ameishinda. Now ni mazoezi ya kifua tu.Kwahiyo ni kweli alikuwa anamiliki toyota corona?
Best na akizinduka tutakoma kwasababu atakuwa na herd immunity haumwi tena hadi akiamua mwenyewe kufa. And he will revenge






Kagoma kwenda kuwa kiongozi wa malaika uko mbinguniYes. Ila ameishinda. Now ni mazoezi ya kifua tu.
Achaneni na ujinga wa habari za upotoshaji za mitandaoni nyie watu, yaani najiuliza huyo mnaye danganyana eti anaumwa sana siku mnamuona akiwa fiti sijui mtaficha wapi sura zenu na hao wapotoshaji wenu wa twita yaan nyie sijui kwakweli.Hata mimi natamani kumfahamu maana naskia ndio anayemuekea mama Samia kiwungu
Tunataka uhusika wake na VP
Unadhani najua basi?wala.Kuna huyu mtanzania anaitwa Dr. Leonard Chamuriho, huyu ni nani hasa katika historia ya Tanzania?
Nini mafanikio yake katika utumishi wa Tanzania? Naomba tumjadili kwa pamoja hapa free media JF
Kama Wànasema ni mzima Sasa kuhombania cheo kunatoka wapi? Basi siyo mzima Kama ni hivyoMama Samia hatakiwi kama VP kukaimu kwani wanadhani anaweza kubaki hadi 2025 hivyo wanataka wafanye mapinduzi ya kibabe ili huyo Chamunriho achukue uVP.
Ata kuwa kapoma tutafurahi tukimuonaAchaneni na ujinga wa habari za upotoshaji za mitandaoni nyie watu, yaani najiuliza huyo mnaye danganyana eti anaumwa sana siku mnamuona akiwa fiti sijui mtaficha wapi sura zenu na hao wapotoshaji wenu wa twita yaan nyie sijui kwakweli.
Ulichosema ni kweli mkuu..mie iliniaafect kbs brain..nilikua nawaza kwa muda mrefu mno ndo nijibu..kifupi mm.nilikua nawehuka kbs sasa sipatii picha yeyeCorona inaharibu mapafu, brain na moyo. Huyo moyo wake tayari ulikuwa una hitilafu kubwa hivyo hata kama hajafa kurudi tena madarakani inawezekana ikawa ni kwa ubishi tu but health wise he’ll be UNFIT to remain in SH.
Kuugua sio kufa ni kawaida kwa binadamuAchaneni na ujinga wa habari za upotoshaji za mitandaoni nyie watu, yaani najiuliza huyo mnaye danganyana eti anaumwa sana siku mnamuona akiwa fiti sijui mtaficha wapi sura zenu na hao wapotoshaji wenu wa twita yaan nyie sijui kwakweli.
Kama Wànasema ni mzima Sasa kuhombania cheo kunatoka wapi? Basi siyo mzima Kama ni hivyo
Ulichosema ni kweli mkuu..mie iliniaafect kbs brain..nilikua nawaza kwa muda mrefu mno ndo nijibu..kifupi mm.nilikua nawehuka kbs sasa sipatii picha yeye
Inategemea na unaweza ona kuna ambao wanakuwa na Corona hata dalili hawana. Siyo automatic kuwa kwa vile kapata Corona basi atapata Permanent damage. Yes yupo kwenye risk. But as for now the man is coming back. Tujiandae kwa vichambo.Corona inaharibu mapafu, brain na moyo. Huyo moyo wake tayari ulikuwa una hitilafu kubwa hivyo hata kama hajafa kurudi tena madarakani inawezekana ikawa ni kwa ubishi tu but health wise he’ll be UNFIT to remain in SH.
Jamaa king'ang'anizi yule. Kafight for his life mpaka tone la mwisho. Na kashinda.Kagoma kwenda kuwa kiongozi wa malaika uko mbinguni