Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Huu ni utani mkubwa kuliko wa cheka tu
Ingemshinda saizi ungekuwa umeshabakwaNchi imemshinda huyo
Kwa nini?Natumai biteko hafungi kwaresma
Kwa nini?Huu ni utani mkubwa kuliko wa cheka tu
anatania tuNatumai biteko hafungi kwaresma
Na mama yako mzazi si ndioIngemshinda saizi ungekuwa umeshabakwa
Yeyote yule ilimradi uwe umebakwa.Uko salama Kwa sababu Nchi Iko mikono salama ya Samia ndio maana unapata hata fursa ya kuropoka.Na mama yako mzazi si ndio
Sawa MkuuYeyote yule ilimradi uwe umebakwa.Uko salama Kwa sababu Nchi Iko mikono salama ya Samia ndio maana unapata hata fursa ya kuropoka.
Aliyeruhusu kula kwa urefu wa kamba atataka vipi watu watoke kwenye umasikini?Kwa nini?
Kula Kwa urefu wa kamba kuna ubaya gani? Kwani wewe unataka kula Kwa urefu wa kamba ya nani?Aliyeruhusu kula kwa urefu wa kamba atataka vipi watu watoke kwenye umasikini?
Mama anasema wale wezi wa mali ya umma watupishe nikajua hayuko serious, wezi hawapaswi kupisha wanapaswa kuwa jelaKula Kwa urefu wa kamba kuna ubaya gani? Kwani wewe unataka kula Kwa urefu wa kamba ya nani?
Hawa ni kina nani? Nikajua na wewe umekula Rushwa Sasa unaleta ushuhuda kumbe unaongea za kuambiwa 😁😁Mama anasema wale wezi wa mali ya umma watupishe nikajua hayuko serious, wezi hawapaswi kupisha wanapaswa kuwa jela
Labda wale wenye kula kwa urefu wa kamba zao ndiyo umasikini utawatoka. Lakini sisi tusio na kamba tutafisadi wapi baba wee! Kila siku yetu afadhali ya jana
Hao walioshitakiwa wamekwapua mil65, walioambiwa watupishe walipiga bil80Hawa ni kina nani? Nikajua na wewe umekula Rushwa Sasa unaleta ushuhuda kumbe unaongea za kuambiwa 😁😁View attachment 2945338View attachment 2945339