Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Walimu wa chuo kikuu wamekuwa makada wa ccm, wanajipanga kupokea rushwa ya vyeo toka kwa pombe. Namshukuru M/Mungu kwa kuninyima nafasi ya kwenda kupoteza muda kwenye vyuo hivi
Uhuru Kenyata alivyoona uchaguzi umetenguliwa na Jaji Maraga, akamwambia hadharani ataona cha mtema kuni ! Mahakama ikapelekewa kesi ya kusimamisha uchaguzi wa marejeo, wakahepa.....eti idadi haijatimia !Rubbish, huoni tofauti kati ya awamu zilizopita na hii in terms of haki, sheria, Katiba zinavyovujwa?
Uchambuzi haukuelemea mrengo wako !udsm scholars kwa sasa wako mguu sawa kusubiri teuzi kamwe hawawezi kua critical. Mtego umewanasa. Katiba hairuhusu mgombea binafsi?
....kabakia Chenge kuja huko !Chama Cha Mapinduzi ni genge la wezi, wala rushwa na wabadhirifu wakubwa nchi hii! Ni genge ndani msitu mnene uliojaa muumiani na monsters!!
Ndani ya genge hili hatari duniani, wanahakikisha kuna vikaragosi wao wa kutosha nje ya msitu huo wa mafedhuli! Vikaragosi hivyo vitakuwa vitapewa kwa vipipi na vibiskuti na wakati mwingine kuishia kudanganywa kwa kauli na baada ya hapo, wataingia duniani kuwatetea mafedhuli na manduli wanaoiangamiza nchi!!
Ni kweli, kwavile ni msitu mnene uliojaa majahiri wa kila aina, haishangazi wengine kujikuta wamezaliwa kwenye hilo limsitu la waovu na kujikuta wakitenda kama manduli mengine yaliyomo humo yanavyotenda!! Hata hivyo, wapo miongoni mwao ambao hatimae wanakuja kupata maono kwamba udhalimu na uovu unaofanywa na jamii yao haukubaliki, sio dunia tu bali hata akhera!
Hawa ni wale wanaoamua kuukumbia msitu huku wakirushiwa kila aina ya silaha kutoka kwa mafedhuli wao ambao hawataki kuona watu wakiungama... wanachotaka ni kuona kizazi chao cha majahiri kikiendelea kushikamana!!!
Kweliiii aisee hata akina Barner wote sasa wamekuwa wasemaji wa serikali tukufuudsm scholars kwa sasa wako mguu sawa kusubiri teuzi kamwe hawawezi kua critical. Mtego umewanasa. Katiba hairuhusu mgombea binafsi?
Rubbish, huoni tofauti kati ya awamu zilizopita na hii in terms of haki, sheria, Katiba zinavyovujwa?
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] Your 100% right [emoji106]udsm scholars kwa sasa wako mguu sawa kusubiri teuzi kamwe hawawezi kua critical. Mtego umewanasa. Katiba hairuhusu mgombea binafsi?
Nimeshindwa kusoma Mpaka mwisho maana nimepata kichefuchefu katikati ya andiko
kaka usihangaike na hao darasa la saba utaumiza kichwa chako bure hawawezi kukuelewa hata kidogo. mpaka waambiwe na viongozi wao kutoka ufipa.Taasisi inayotafsiri sheria, haki na katiba ni mahakama.
Kuandika hapa kuwa haki, sheria na katiba inavunjwa bila ya mahakama kutoa tafsiri ni haki ya fikra zako ambazo inawezekana hazina hata nguvu kisheria.
Pamoja na kuwa na katiba wanayo isifia sana hapo Kenya, Uhuru Kenyata kaingilia mihimili yote ili abaki madarakani (mahakama, tume ya uchaguzi, bunge)Nyalandu ana kasha nyingi sana, ila kwa bahati mbaya zaidi Dr. amejibu kama kada na sio kama mwanataaluma
Dr bushiru hana tofaut na yule prof wa bugurun. .
Huko kwa Kenyata, kaingilia bunge, tume ya uchaguzi na mahakama.Ukiangalia mijadala ya wasomi wetu wa YUDII ni tofauti kabisa na wasomi wa kule kwa Kenyatta. Wasomi wetu ni aibu tupu. Anaulizwa kingine ana-prolong majibu hatimaye hata haeleweki anajibu swali gani.
kwahiyo Nyalandu kuhamia CDM ni kuungama. basi tuelezwe na sisi wanachama tujue kaungama nnini?Chama Cha Mapinduzi ni genge la wezi, wala rushwa na wabadhirifu wakubwa nchi hii! Ni genge ndani msitu mnene uliojaa muumiani na monsters!!
Ndani ya genge hili hatari duniani, wanahakikisha kuna vikaragosi wao wa kutosha nje ya msitu huo wa mafedhuli! Vikaragosi hivyo vitakuwa vitapewa kwa vipipi na vibiskuti na wakati mwingine kuishia kudanganywa kwa kauli na baada ya hapo, wataingia duniani kuwatetea mafedhuli na manduli wanaoiangamiza nchi!!
Ni kweli, kwavile ni msitu mnene uliojaa majahiri wa kila aina, haishangazi wengine kujikuta wamezaliwa kwenye hilo limsitu la waovu na kujikuta wakitenda kama manduli mengine yaliyomo humo yanavyotenda!! Hata hivyo, wapo miongoni mwao ambao hatimae wanakuja kupata maono kwamba udhalimu na uovu unaofanywa na jamii yao haukubaliki, sio dunia tu bali hata akhera!
Hawa ni wale wanaoamua kuukumbia msitu huku wakirushiwa kila aina ya silaha kutoka kwa mafedhuli wao ambao hawataki kuona watu wakiungama... wanachotaka ni kuona kizazi chao cha majahiri kikiendelea kushikamana!!!
LOGIC BRO USE LOGIC BROWalimu wa chuo kikuu wamekuwa makada wa ccm, wanajipanga kupokea rushwa ya vyeo toka kwa pombe. Namshukuru M/Mungu kwa kuninyima nafasi ya kwenda kupoteza muda kwenye vyuo hivi
ukiwa mtanzania mwenye akili timamu tueleze kwa nini hakuna ripoti ya ben saanane na wale wanaotupwa kwenye viroba?Taasisi inayotafsiri sheria, haki na katiba ni mahakama.
Kuandika hapa kuwa haki, sheria na katiba inavunjwa bila ya mahakama kutoa tafsiri ni haki ya fikra zako ambazo inawezekana hazina hata nguvu kisheria.
Mbona hoja zake ni nzuri tu....
Sielewi kwa nini watu wanamponda!