Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,557
....kukaribisha hao watu ni kuwa chadema ni chama kisicho na itikadi yake inayo iamani. Tafuta clip ya Nasari akiwa bungeni umsikiliza jinsi akimchambua, kumchamba na kumtukana Nyalandu. Then leo ana cross the other side anakuwa jasiri !Lililo wazi ni kwamba, hao wote mnaowataja ni kwamba hawakufukuzwa CCM bali walitoka wenyewe! Mbaya zaidi wengi wao kama sio wote walikuwa NEC.
Ningekuwa CCM ningeona aibu kutamba hadharani kwamba eti CHADEMA inapokea mafisadi manake kama ni mafasadi, kumbe CCM imekuwa ikikaa na mafisadi miaka yote hii na bado iliendelea kuwakumbatia kwa kuwapa nafasi mbalimbali ikiwa pamoja na kugombea ubunge hadi pale walipoamua kutoka wenyewe!!!
Hata pale CCM ilipojaribu kuwachukulia hatua wanachama wake basi hawa ni wale walioitwa ni wasaliti lakini mafisadi mnaendelea kuyakumbatia!! Narudia, ni aibu kwa mwana-CCM kujitapa kwamba CCM ndio wazalishaji wa mafisadi manake, kama hawa wanaenda upinzani wakiwa tayari ni mafisadi ina maana hao watu wamekwiva kwa ufisadi wakiwa CCM!
Ingekuwa walifukuzwa huko CCM, ingeeleweka wazi kwamba CCM imeyatimua mafisadi ambayo yamekimbilia upinzani lakini hamjayafukuza!! Na mlivyokosa aibu bado mnaendelea kutamba kwamba mna mifisadi mingine kama akina Chenge huko CCM ambayo na yenyewe mmeyapa madaraka!!!
Lakini kwavile chama chenyewe kimezoea kukumbatia mafisadi, mnashindwa kuwafanya lolote zaidi ya kutamba kwamba bado mnafuga mafisadi kwenye chama chenu na watabaki hapo hadi watakapotoka wenyewe!!!!
Na labda nikukumbushe!! Huyo Chenge unayetutambia kwamba bado mnae ana kashifa ya radar na Escrow!!! Lakini pamoja nae, baadhi ya waliobaki ambao pia unatakiwa kutamba kwamba mnao ni:-
Hao ni wale tu ambao hadi kesho CCM imeendelea kuwaamini kiasi cha kuwapa dhamana ya kukiwakislisha chama.
- John Pombe Magufuli- Nyumba za serikali na boti yenye mwendokasi sawa na mtumbwi
- Sospeter Muhongo- Escrow + makinikia
- Anna Tibaijuka- Escrow
- William Ngeleja- Escrow
- Nimrod Mkono- Malipo ya shaka kutoka BoT.
Kwahiyo, wakati unaendelea kuonea fahari kuwa na fisadi Chenge ndani ya CCM, usisahau kutembea kifua mbele huku ukitambia na hao mapapa wengine ambao bado wanakubalika ndani ya CCM!!
Mimi ninacho wasikitikia ni kuwa your fight will not live long, hardly 20 yrs !
Where is NCCR, TLP, CUF !?