Labda haipatani na ukweli, by Nyerere JKNyalandu alikuwa hana jinsi zaidi ya kuondoka CCM hasa baada ya baraza la Mawaziri kutangazwa na Wizara ya Maliasili na Utalii kupewa Kingwangalla.
Hahahahah!Ngosha inabidi aongeze mafuta ya taa kwenye kichuguu...inaonekana bado kuna nyoka wengi...na kila anayetokeza analamba rungu la kichwa....Hapa kazi tuu
Sawa Mkuu.Hata humu JF ni haki tangu kuchangia uzi wowote bila kujali aliyeleta hoja ni ccm au ukawa
Kamkaangaje?Lakini si amesema ukwelii, kamteteaje sasa, hajampinga Nyalandu
Ni wachambuzi waliobobea kwenye masuala ya kisiasa.Bashiru na Bana ni sawa!
Ni ujinga kufikiria kuwa kila kosa ni lazima litamkwe na mahakama. Kuna watu ni wajinga kiasi kwamba hata mtu akipigwa na mwenzake au hata na kiongozi wake wa kazi watasema siyo kosa mpaka mahakama itamke kuwa aliyempiga mwenzake ametenda kosa.Taasisi inayotafsiri sheria, haki na katiba ni mahakama.
Kuandika hapa kuwa haki, sheria na katiba inavunjwa bila ya mahakama kutoa tafsiri ni haki ya fikra zako.
Sio kosa!Anatafuta kumrithi Prof.Mukandala.
Dkt. Bushiri amemkaanga kweli kweli.Dr kaeleza facts mwanzo mwisho. Tatizo kuna watu wanataka awaze kama wao.
NjaaNi wachambuzi waliobobea kwenye masuala ya kisiasa.
Kwani umeingia katika fikra zao ukagundua kuwa wamehama?Mmehama wa Dr.Bana sasa mmekuja wa Bashiru
Kwa hiyo ni marufuku kuhama... Au?Dkt. Bushiri amemkaanga kweli kweli.
Nani kasema ni kosa?Sio kosa!
Kwa ulipenda nani amrithi?
Nyalandu ana kasha nyingi sana, ila kwa bahati mbaya zaidi Dr. amejibu kama kada na sio kama mwanataalumaDr bhana eti haoni ujasiri wa Dr slaa,
Kile kitendo cha mtu kusimamia anachokiamini ninujasiri tosha,
Hatuwezi kuogopa kusimamia tunavyoviamin kwa kuogopa kupotea hizi PhD sijui wanazipataga wap
Halafu habari ya mihimili kuingilia hatuwezi kuendelea kuruhusu kisa kuna nchi nyingi tu zipo hivyo au zamani ilikuwa hivyo,
Hapa simtetei Nyalandu kwa sababu najua naye ana majanga yake ya kutosha tu ila tukitaka kujenga hoja lazima tulete maoni yenye mashiko
Hata wabunge na vyama vya siasa na vinalipwa na serikali ya CCM kutokana na makusanyo ya kodi!Hivi huyo Bashiru analipwa na CCM unategemea aje na majibu gani?
Sawa mkuu ...nashkur KWA kunielewa..nawe pia huna tofaut na kuku aliyekatwa kichwaMmmh!
Wewe kuandika tu ni majanga, utaweza kweli kupima uwezo wa wachambuzi wa masuala ya kisiasa na kiuchumi?
Mkuu;Ungekuwa na hekima usingetuletea habari hii hapa maana hutaki tukuhoji kwa hichi ulichokileta.