Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Think tank ya CCM ilikuwa inatetea ujinga kwa kuweka kipengele hicho kwenye ilani ya uchaguzi 2015?Sasa ukiona mtu kama Sarungi na Fatuma Karume wanavyo jishaua na takataka zingine kule twitter huwq nashangaa sana!
Alafu mtu kama Zitto tulifikiri msomi atoe mawazo chanya kwa jamii lakini lenyewe lipo tu kutetea ujinga halina tofauti kabisa na ccm
Sent using Jamii Forums mobile app