Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Miaka 58.4 life expectancy ya Mtanzania baada ya miaka 7 tu ya Kikwete madarakani. Kabla yake kwa miaka 44 na Marais watatu na mmoja wao katawala miaka 24 walituwacha Watanzania taabani na life expectancy ya chini ya miaka 48.

Sasa ulitaka maiti ziche hapa? wamechukuwa maiti wakaona wachukuwe na waginjwa wao.

Wewe unajuwa kuwa miaka ya hivi karibuni jinsi huduma zetu zilivyoboreshwa kuna Wakenya wengi na wengine wa nchi za jirani wanaokuja kutibiwa Tanzania? au hujui hilo? Hususan kwenye tiba ya kansa, tumepiga hatua kubwa sana kwa uongozi wa Dokta Ngoma pale ocean road.

Katazame Hospitali na vituo vya afya vya leo na unavijuwa vilivyokuwa kabla Kikwete hajachukuwa madaraka? sema kweli. Leo hospitali zetu zinatazamika na huduma zimeboreshwa maradufu. Wanaoziharibu ni hawa wanaosaliti kwa kuwa wamebaniwa mianya yao ya kuiba na matarajio ya agenda zao za siri. Hizo mbinu tunazijuwa wala hazitupi shida, tunapambana nazo na ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
Unamdanganya nani hapa? Mbona viongozi wa Tanzania bado wanapelekwa India? Mbona Watanzania wanaojiweza bado wanakwenda Nairobi? Kikwete ni janga la taifa na madhara ya sera zake zisizo na ruuya yatatutesa kwa miaka 25 ijayo.
 
My brother Zomba, je nawe unategemea kuvuna nini Kati ya ulivyovipanda na unaendelea kupanda? Hebu basi ukatubu na kugeuka usije angamia. Soma Zaburi ya 35 yote hata Kama sio mkristo. The GRACE of God can save you from curses you are receiving because of such comments. Wagalatia 6:7. Ogopa laana ya maneno maana maneno huumba kaka yangu mpendwa. Usihukumu usihukumiwe.
God bless you.
Queen Esther.

Nakushangaa humsaidii Ulimboka kwa dhambi alizofanya, au kitabu chako kinafundisha kugomea wagonjwa? Ungemsaidi kwa kumwambia aungame na kutubu kwa kuwaumiza wagonjwa wengi wengine kufa kwa yeye kuwaweka rehani na baadae akaenda kwa nia ya kupokea rushwa leaders club. Dhambi juu ya dhambi. Mshauri akatubu sana.

Nami nawaonea huruma nyinyi mnaemtetea muuaji na mtesaji anaetisha (terrorist) kwa kutumia unyonge wa binaadamu walio wagonjwa kutaka kutimiza matakwa yake binafsi.
 
Dr. Ulimboko kuficha ukweli ni dhuluma kwa wananchi tuliokuchangia matibabu yako. Wengi tunahisi serikali ilikufanyia ujasusi, hivyo tunataka kuwajua hao majasusi.

Dr. Ulimboko kama umetishwa au umehaidiwa cheo na serikali, kumbuka ni serikali hiyo hiyo iliokutesa na inaogopa nguvu ya umma. Dr.Ulimboko! kama Mh Mwakyembe angeweka ukweli hadharani, yasingekutokea yaliyokupata maana serikali ni DHAIFU. UDHAIFU wa serikali, uliwatumia watu wake ambao walishindwa kutekeleza kazi 100% kwako na Mwakyembe.

Dr. Ulimboko kuficha maradhi, ni kueneza maradhi maana we don't know who is going to be a next victim? Dr. Ulimboko sasa wakati umefika kusema ukweli, kwani ni haki yetu kuujua. Dr. Ulimboko remember " GOD do not like ugly" ulipona kwa dua zetu na utaangamia kwa dua zetu

Aaaah! swahiba mbona unaaanza kumsimanga tena Dr Uli kwani ulichanga kwa shinikizo lipi? hivi ikitokea akataja usiowategemea itakuwaje au ndio utameza maneno yako. Vuta subira ukweli utamwaga hadharani sie tubaki wasikilizaji.
 
Alitakiwa achezee kichapo tu, ajuwe wagonjwa wanakuwaje, auguwe kama wanavyouguwa wao, natumai ataendelea kuuguza majeraha na maumivu kwa muda mrefu ili asisahau wagonjwa wanakuwaje. Somo kalipata.

Haya bwana Ramadhani wa usalama wa Taifa, sina la ziada ! mimi nasubiria sensa.
 
Kasema ukweli anaujuwa yeye mwenyewe na yuko eda ya siku 40 kabla hajasema lolote kuhusu kichapo alichochezea.

Ni matumaini yangu kuwa hatarudia. Hata hizo fedha alizozifata leaders usiku hana hamu nazo. Angoje chenji ya mchango wa matibabu, hiyo ni halali yake, tena msimzike mnaozishikilia, msione karudi mkasema ndio basi kisha pona mumtie ndani chenji yake. Inabidi baada ya muda aende tena akaone na madaktari wake waliomtibu waone maendeleo yake na.

utakuwa umevimbiwa futari wewe sio bure
 
Unamdanganya nani hapa? Mbona viongozi wa Tanzania bado wanapelekwa India? Mbona Watanzania wanaojiweza bado wanakwenda Nairobi? Kikwete ni janga la taifa na madhara ya sera zake zisizo na ruuya yatatutesa kwa miaka 25 ijayo.

Janga la Taifa hulijui? lilituwachaje Tanzania?

Ulimboka atarudia? mimi nasema SUBUTU!
 
Nakushangaa humsaidii Ulimboka kwa dhambi alizofanya, au kitabu chako kinafundisha kugomea wagonjwa? Ungemsaidi kwa kumwambia aungame na kutubu kwa kuwaumiza wagonjwa wengi wengine kufa kwa yeye kuwaweka rehani na baadae akaenda kwa nia ya kupokea rushwa leaders club. Dhambi juu ya dhambi. Mshauri akatubu sana.

Nami nawaonea huruma nyinyi mnaemtetea muuaji na mtesaji anaetisha (terrorist) kwa kutumia unyonge wa binaadamu walio wagonjwa kutaka kutimiza matakwa yake binafsi.

Ndugu nimekupa mistari usome ikupe ufahamu, chondechonde Hilo neno ni upanga na ni moto ulao usilidhihaki litakumaliza Zomba.
Queen Esther
 
quote_icon.png
By Fitinamwiko

Dr. Ulimboko kuficha ukweli ni dhuluma kwa wananchi tuliokuchangia matibabu yako. Wengi tunahisi serikali ilikufanyia ujasusi, hivyo tunataka kuwajua hao majasusi.

Dr. Ulimboko kama umetishwa au umehaidiwa cheo na serikali, kumbuka ni serikali hiyo hiyo iliokutesa na inaogopa nguvu ya umma. Dr.Ulimboko! kama Mh Mwakyembe angeweka ukweli hadharani, yasingekutokea yaliyokupata maana serikali ni DHAIFU. UDHAIFU wa serikali, uliwatumia watu wake ambao walishindwa kutekeleza kazi 100% kwako na Mwakyembe.

Dr. Ulimboko kuficha maradhi, ni kueneza maradhi maana we don't know who is going to be a next victim? Dr. Ulimboko sasa wakati umefika kusema ukweli, kwani ni haki yetu kuujua. Dr. Ulimboko remember " GOD do not like ugly" ulipona kwa dua zetu na utaangamia kwa dua zetu

Chenji ya michango yenu anaboresha nyumba yake, hukuona inakula bonge la ukarabati? baada ya kukosa mshiko leaders na kupokea kichapo.
 
Sidhani kama Dr Ulimboka anaogopa kuongea ukweli,nahisi amegundua waliomtuma kuendeleza mgomo wamemgeuka.
 
Miaka 58.4 life expectancy ya Mtanzania baada ya miaka 7 tu ya Kikwete madarakani. Kabla yake kwa miaka 44 na Marais watatu na mmoja wao katawala miaka 24 walituwacha Watanzania taabani na life expectancy ya chini ya miaka 48.

Sasa ulitaka maiti ziche hapa? wamechukuwa maiti wakaona wachukuwe na waginjwa wao.

Wewe unajuwa kuwa miaka ya hivi karibuni jinsi huduma zetu zilivyoboreshwa kuna Wakenya wengi na wengine wa nchi za jirani wanaokuja kutibiwa Tanzania? au hujui hilo? Hususan kwenye tiba ya kansa, tumepiga hatua kubwa sana kwa uongozi wa Dokta Ngoma pale ocean road.

Katazame Hospitali na vituo vya afya vya leo na unavijuwa vilivyokuwa kabla Kikwete hajachukuwa madaraka? sema kweli. Leo hospitali zetu zinatazamika na huduma zimeboreshwa maradufu. Wanaoziharibu ni hawa wanaosaliti kwa kuwa wamebaniwa mianya yao ya kuiba na matarajio ya agenda zao za siri. Hizo mbinu tunazijuwa wala hazitupi shida, tunapambana nazo na ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
"Wewe unajuwa kuwa miaka ya hivi karibuni jinsi huduma zetu zilivyoboreshwa kuna Wakenya wengi na wengine wa nchi za jirani wanaokuja kutibiwa Tanzania? au hujui hilo? Hususan kwenye tiba ya kansa, tumepiga hatua kubwa sana" Nakubaliana sana na wewe, nakumbuka tulituma Jeshi kujenga barabara ili kurahisisha usafiri kufuka Luliondo. Tanesco pia walivyoagizwa kupeleka Umeme kwa Babu na tuliwaona Lukuvi na wenzake walivyojitolea kujenga wodi. Pia Habari leo kutwa lilitoa habari za wageni wakija kupata KIKOMBE.
Tatizo sio awamu ya 4, bali ni serikali ya CCM yote kwa ujumla. Mimi siamini kama JK aliagiza Dr. Ulimboka ateswe, lakini naamini serikali ya ccm imehusika kumtesa,
.
 
Nyie watu ebu muacheni Dr Ulimboka apumzike bado mgonjwa anaitaji kukaa na familia yake pamoja na wana ndugu uku akiendelea kupata nafuu, tatizo mnataka Dr Ulimboka afuate ule ushahidi wa Mwanahalisi yeye kaupitia wote kausoma kaona ni porojo ndio maana kasema ukweli anaujua mwenyewe...Dr Ulimboka kuwa makini kuna kundi la watu wanataka kukutumia kwa maslahi yao ya kisiasa.
 
Nyie watu ebu muacheni Dr Ulimboka apumzike bado mgonjwa anaitaji kukaa na familia yake pamoja na wana ndugu uku akiendelea kupata nafuu, tatizo mnataka Dr Ulimboka afuate ule ushahidi wa Mwanahalisi yeye kaupitia wote kausoma kaona ni porojo ndio maana kasema ukweli anaujua mwenyewe...Dr Ulimboka kuwa makini kuna kundi la watu wanataka kukutumia kwa maslahi yao ya kisiasa.
Acha kupiga bao hapa, kujua ukweli ni mtaji wa nani kisiasa? Nani kamwelekeza Dr. Ulimboka cha kusema hapa? usituletee mambo ya intelijensia hapa.
 
Mimi nilishasema kwenye thread moja kuwa dr uli lazma awekwe mfukoni wa sirikali vinginevyo atalazwa mahala pema na nilitoa ushauri dr uli akamwulze mwakyembe ampe ushaul kabla ya kufungua kinya na ndicho kilichotokea.Hii ndo bongo bhana

Kiukweli hata mimi nahisi hii ni very possible. Only time will tell.
 
Nyie viherehere wa CDM akija kuwataja viongozi wenu ndio mtatafuta pa kutokea. Hivi kama ni serikali ndio ilimfanyizia angerudi bongo kweli? Shughulisheni ubongo wenu hata kidogo basi.
 
Dr Ulimboka, mbona alishazungumza yote? Naamini atakua anarudia yaliyopo youtube...
 
Kasema ukweli anaujuwa yeye mwenyewe na yuko eda ya siku 40 kabla hajasema lolote kuhusu kichapo alichochezea.

Ni matumaini yangu kuwa hatarudia. Hata hizo fedha alizozifata leaders usiku hana hamu nazo. Angoje chenji ya mchango wa matibabu, hiyo ni halali yake, tena msimzike mnaozishikilia, msione karudi mkasema ndio basi kisha pona mumtie ndani chenji yake. Inabidi baada ya muda aende tena akaone na madaktari wake waliomtibu waone maendeleo yake na.

pumbafu mkubwa wewe kama huelewi kaa kimya na uzoba wako..leaders alipigiwa simu na ndio maana hata wakubwa zako wa usalama wa taifa hawajaihusiaha wala kuiongelea..ny..ko yako.
 
Nyie viherehere wa CDM akija kuwataja viongozi wenu ndio mtatafuta pa kutokea. Hivi kama ni serikali ndio ilimfanyizia angerudi bongo kweli? Shughulisheni ubongo wenu hata kidogo basi.

na wewe umezidi..kila kitu chadema?! ni bana zako hao? kaa kimya au umekuwa msemaji wao?!!!!!! kwani inashindikana nini kurudi bongo, wakati maharamia wa kutoka somalia wanapokuja kukamatwa katikati mwa nchi( dodoma)...kama hiyo ndiyo unadhani ni sababu ya msingi umedanganywa..p..mbi mkubwa wewe!
 
Back
Top Bottom