makundi4619
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 486
- 141
ulizaliwa peke yako na utapokufa utakufa peke yako, usipoteze nafasi yako na muda wako kwa ajili ya kutetea watu ambao watakuja kukugeuka baadae, yu wapi Gadaf aliyeijenga libya na kuwapa kila k2 walibya? Ulimboka kaa na familia yako utulie achana na hayo mambo, Afrika hakuna shujaa.
Hakuna jambo lisilo na mwanzo Dr. Uli anaweza akatokea kuwa shujaa wa kwanza Afrika!!!