Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Baada ya siku arobaini? Anakusanya ushahidi nini? Au kwa sasa hawezi kunena bado afya haijatengekaa? Watu tuna mambo na vijambo kwelikweli ngoja baada ya siku arobaini aje amtambe Mlundi kuwa ndiye aliyemteka sijui tutasemaje?
siku arobaini?ulimsikia ulimboka akiyasema hayo au ni magazeti yetu?
 
nachelea kuamini kwamba huyu jamaa anaweza kutozungumza pengine kapewa kitu kidogo ,lakini akumbuke hakuna ga siri ya wawili jamaa wanavuta muda wanajifanya friendly akiji changanya tu kapotea ni vizuri akaweka ukweli peupe bado mapema tujue nani yumo nyuma ya issue
 
ulimboka sio mnafiki !ndio maana alifika hapo alipofika ambapo mwakyembe hakufika.
 
siku arobaini?ulimsikia ulimboka akiyasema hayo au ni magazeti yetu?

Mkuu mimi sijawahi kukutana na Ulimboka na mambo yote ya Ulimboka nimekuwa nikiyapata kupitia vyombo vya habari kama JF, magazeti na Radio. Hiyo ya siku 40 nimeisikia kupitia radio wakati wanasoma magazeti. Upo hapo? Au sikusikia vizuri manake wamerudia kama mara tatu hivi. Una habari ataongea lini na wanahabari kuweka wazi kilichomsibu?
 
Mkuu mimi sijawahi kukutana na Ulimboka na mambo yote ya Ulimboka nimekuwa nikiyapata kupitia vyombo vya habari kama JF, magazeti na Radio. Hiyo ya siku 40 nimeisikia kupitia radio wakati wanasoma magazeti. Upo hapo? Au sikusikia vizuri manake wamerudia kama mara tatu hivi. Una habari ataongea lini na wanahabari kuweka wazi kilichomsibu?

mkuu najua una hamu ya kusikia maneno ya ulimboka.trust jf kwa sababu siku atakayoamua kujieleza utasikia hapa hapa kwa mara ya kwanza na sio redioni
 
Siku 40? kama wanaweza kuzima umeme mji mzima kumkomoa Dr. Slaa, wanaweza kutia sumu maji regardless watu wangapi watatumia kukuangamiza wewe Dr. Ulimboko. Get out and spitt
 
Uko sahihi kabisa mkuu lakini kumbuka pia kwamba ukitaka kujua kifo chingulia kaburi. Dr. Ulimboka ameishachungulia kaburi

uzuri ni kwamba Dr ulimboka alishajiaandaa kufa kwa hiyo sio tatizo kwake kufa huku akipigania haki ya msingi na kweli.
 
Kasema ukweli anaujuwa yeye mwenyewe na yuko eda ya siku 40 kabla hajasema lolote kuhusu kichapo alichochezea.

Ni matumaini yangu kuwa hatarudia. Hata hizo fedha alizozifata leaders usiku hana hamu nazo. Angoje chenji ya mchango wa matibabu, hiyo ni halali yake, tena msimzike mnaozishikilia, msione karudi mkasema ndio basi kisha pona mumtie ndani chenji yake. Inabidi baada ya muda aende tena akaone na madaktari wake waliomtibu waone maendeleo yake na.
Go to hell!
 
Siku 40? kama wanaweza kuzima umeme mji mzima kumkomoa Dr. Slaa, wanaweza kutia sumu maji regardless watu wangapi watatumia kukuangamiza wewe Dr. Ulimboko. Get out and spitt
anaweza kurecord mazungumzo yake na kuyasambaza kabla ya kifo chake.hata ukitia maji sumu kuna wachache watapona na ulimboka aweza kuwa kati ya hao wachache.
 
How could you be so insensitive to a plight of a fellow human being? What makes you think that you are safe? Particularly when the "jungles rule returns?

May be he is in favour of the Chama Chetu, so he is confident that he is safe.
 
Namshukuru sana tena sana Mungu kusikia dua na mombi yetu juu ys Dr Ulimboka, Bwana Mungu wetu amemponya kwanjia ya Mwanae Yesu Kristo. Jina la Bwana Yesu, jina lipitalo majina yote libarikiwe.

Kwa habari ya kuwataja waliomteka, binafsi sioni sababu ya kuumpa shinikizo Dr Ulimboka kuwataja hao hayawani. Kama anataka kuwataja basi akawataje kule the Hague (ICC). Ndugu yangu mleta mada hii mfumo wa utawala wa nchi hii umeshaoza, after law hawa watu si Mwanahalisi ilishawabaini, yanini kumshinikiza Dr Ulimboka?

Nikweli mfumo wa utawala umekwisha oza lakini faraja kwa watanzania nikwamba mfumo huu haujaharibu KALENDA. TISS iwike isiwike kunakucha, na siku za hawa hayawani kukalia ofisi zinahesabika. Wana uwezo wa kuteka nyara watu, kuwatesa vibaya na hata kuua lakini hawana uwezo wa kuteka nyara Jua. hawawezi kuteka nyara mawio na machweo ya Jua. Kwa mantiki hiyo wataondoka tu ofisini na hapo ndipo ukweli utawekwa bayana
 
How could you be so insensitive to a plight of a fellow human being? What makes you think that you are safe? Particularly when the "jungles rule returns?

How could he be so insensitive to lead the strike of doctors which is against the lawa and against humanity. And how could you be so insensitive as to support him?

Hope now he knows how those sick feel. Atarudia?
 
Dr. Ulimboko kuficha ukweli ni dhuluma kwa wananchi tuliokuchangia matibabu yako. Wengi tunahisi serikali ilikufanyia ujasusi, hivyo tunataka kuwajua hao majasusi. Dr. Ulimboko kama umetishwa au umehaidiwa cheo na serikali, kumbuka ni serikali hiyo hiyo iliokutesa na inaogopa nguvu ya umma. Dr.Ulimboko! kama Mh Mwakyembe angeweka ukweli hadharani, yasingekutokea yaliyokupata maana serikali ni DHAIFU. UDHAIFU wa serikali, uliwatumia watu wake ambao walishindwa kutekeleza kazi 100% kwako na Mwakyembe. Dr. Ulimboko kuficha maradhi, ni kueneza maradhi maana we don't know who is going to be a next victim? Dr. Ulimboko sasa wakati umefika kusema ukweli, kwani ni haki yetu kuujua. Dr. Ulimboko remember " GOD do not like ugly" ulipona kwa dua zetu na utaangamia kwa dua zetu

"Ulimboko" ni tusi mzee, anaitwa Dr. Ulimboka
 
Namshukuru sana tena sana Mungu kusikia dua na mombi yetu juu ys Dr Ulimboka, Bwana Mungu wetu amemponya kwanjia ya Mwanae Yesu Kristo. Jina la Bwana Yesu, jina lipitalo majina yote libarikiwe.

Kwa habari ya kuwataja waliomteka, binafsi sioni sababu ya kuumpa shinikizo Dr Ulimboka kuwataja hao hayawani. Kama anataka kuwataja basi akawataje kule the Hague (ICC). Ndugu yangu mleta mada hii mfumo wa utawala wa nchi hii umeshaoza, after law hawa watu si Mwanahalisi ilishawabaini, yanini kumshinikiza Dr Ulimboka?

Nikweli mfumo wa utawala umekwisha oza lakini faraja kwa watanzania nikwamba mfumo huu haujaharibu KALENDA. TISS iwike isiwike kunakucha, na siku za hawa hayawani kukalia ofisi zinahesabika. Wana uwezo wa kuteka nyara watu, kuwatesa vibaya na hata kuua lakini hawana uwezo wa kuteka nyara Jua. hawawezi kuteka nyara mawio na machweo ya Jua. Kwa mantiki hiyo wataondoka tu ofisini na hapo ndipo ukweli utawekwa bayana

Hakutakiwa afe huyo hakuna cha dua wala maombi mngezuia asile kichapo kama mnaweza. Angetakiwa afe risasi zinafanya kazi gan? huyo alitakiwa aelewe wagonjwa wanavyumwa wanakuwaje, na nna uhaki kajifunza vya kutosha na adabu katia.

Adabu aliyoipata mpaka kajenga geti jipya nyumbani kwake, amekuwa mwoga hata wa kivuli chake. Aliyempa kichapo ni shujaa wa wagonjwa wa Tanzania na kafanya kazi nzuri sana.

Na sasa tunaendelea na kazi ya kusafisha vile virushwa vya mahospitali wanavyopokea hao madokta, wakae mkao wa kula Hosea kisha agizwa rasmi. Watashikwa tu, hakuna ujanja labda waache kazi na kuhama nchi.

Atarudia?
 
Namshukuru sana tena sana Mungu kusikia dua na mombi yetu juu ys Dr Ulimboka, Bwana Mungu wetu amemponya kwanjia ya Mwanae Yesu Kristo. Jina la Bwana Yesu, jina lipitalo majina yote libarikiwe.

Kwa habari ya kuwataja waliomteka, binafsi sioni sababu ya kuumpa shinikizo Dr Ulimboka kuwataja hao hayawani. Kama anataka kuwataja basi akawataje kule the Hague (ICC). Ndugu yangu mleta mada hii mfumo wa utawala wa nchi hii umeshaoza, after law hawa watu si Mwanahalisi ilishawabaini, yanini kumshinikiza Dr Ulimboka?

Nikweli mfumo wa utawala umekwisha oza lakini faraja kwa watanzania nikwamba mfumo huu haujaharibu KALENDA. TISS iwike isiwike kunakucha, na siku za hawa hayawani kukalia ofisi zinahesabika. Wana uwezo wa kuteka nyara watu, kuwatesa vibaya na hata kuua lakini hawana uwezo wa kuteka nyara Jua. hawawezi kuteka nyara mawio na machweo ya Jua. Kwa mantiki hiyo wataondoka tu ofisini na hapo ndipo ukweli utawekwa bayana

Mkuu labda sijakuelewa "kuwataja basi akawataje kule the Hague (ICC)" unadhani huko ndiko mahali pekee kwa kujua ukweli? Wananchi tukijua ukweli, 2015 tutaiadhibu/kuipongeza serikali hii.
 
Tusitegemee sana jipya toka kwa Ulimboka tena.... Bila shaka ndo wanamweka sawa sasa. Hadithi zinazoendelea sasa: kajificha, akitaka ulinzi atapewa, atahojiwa nk, zitaendelea kututumbuiza.
Kuweka ukweli wote hadhari, sitashangaa asipofanya, ila atakuwa msaliti wa wote waliomwamini.
Pamoja na yote hayo, kama hajaungana nao, anahitaji zaidi maombi yetu, kwani hayuko salama.
 
Back
Top Bottom