Usiwadhalilisbe waislam. Waislam wa kweli ni watu wanaoelewa mambo siyo kama unavyotaka waeleweke. Hakuna muislamu wa kweli atakayeona eti Dr Slaa kumshauri shehe mkuu kujiridhisha kabla ya kutoa matamko ni kuutukana uislam. Hakuna jumuiya ya kiislam itakayokubaliana na picha unayotaka kuionyesha hapa kwamba uislamu ni udictator katika umaskini wa fikra, taarifa na ueledi.
Tafadhali usiwasingizie waislam wala shehe mkuu. Hili litakuwa lako tu.
Tafadhali usiwasingizie waislam wala shehe mkuu. Hili litakuwa lako tu.
Nimekubali J.K Ni Mkareeeeeeeeeeeeeeeee!! Kwani akiona anashindwa anachochea udini.
sasa kashawistahi udini hadi Sheikh mkuu kamsikiliza, sasa kamsemea Dr. Slaa kwa Mkuu Na Dr. Slaa Kaingia Choo cha Kike kilainiiiii japo ****** alijua slaa ni mjanja ila ndege mjanja hunaswa kwa Tundu bovu..
Hiyo Kumjibu Sheikh Mkuu ni kosa Kubwa ambalo hato lisahau maishani mwake kwani jumuiya ya kiislam itaona kama imetukanwa ni kheri kuikosoa CCM Kuliko uislam kwa hili Slaa anaweza kushtakiwa kwa jumuia kote duniani.
kila aina ya neno baya kumchochea achukiwe na waislam wote mie namshauri amuombe tu msamaha sheikh ndio kiasi inaweza kuwa salama yake Kidogoooooooo... ila avumilie maneno mengine ikiwemo laana. japo alaanie nae hulaaniwa, hata kama hatoliona kosa lake.
Jumuiya Ya kiislam haita jali anatetea haki na usawa wala nini kosa ni kumsema mkuu hajatumia utafiti kama nilivyonukuu Pole zake... Hongera j.k kwa kufadhiri uchochezi wa udini japo na upande wa pili hautaafiki nchi haita kalika hii utaufanya U.N Ije kulinda amani.....
Poleni Watanzania Nchi ****** kesha ishindwa anaona bora tukose wote ... Damu ikimwagika ipo juu yako. Utacukiwa hadi na vizazi vyako rekebisha hilo mapema j.k.
Why Afrika Naipenda Afrika Mungu Ibariki Tanzania ... Wacha nianze Kuitafuta Passport Yangu... Niende Kwetu SheliSheli....
PEMBE NA NG'OMBE HALIFICHIKI!