Kuna watu wanaufinyu wa akili wanadhani wakiwatenga wakristo kwa kuwattack wakatoliki wataweza TEC,CCT ni wamoja weka kichwani hilo ,ukigombana na Wakatoliki ni wakristo wote na nia yenu nikuingiza nchi katika vita vya kidini hakuna itakayeokoka,taifa litaangamia munamwendekeza Jakaya ni mambo ya muda tuu ,siku zitapita hata kwepa hata siku moja dhambi kubwa aliyoingiza kwenye nchi yetu KIKWETE ni shetani anatakiwa atolewe mapepoNa wakifuata ushauri huu wako ndio watakuwa wameuwasha moto kwani iko wazi kabisa kuwa viongozi wa CHADEMA ni vibaraka wa viongozi wa dini ya ukatoliki, na ndio wao wanaotoa kauli zao na zinapitishwa vinywani kwa kina Slaa na wenzake, na kwenye uchaguzi mkuu makanisa yamedhihirisha hilo wazi kabisa
Genius Brain kama unapinga ushauri wa Chadema kukutana na viongozi wa dini ya Kiislam nimekushutukia unayo ajenda ya siri na yenye nia mbaya nyuma yake. Ukweli daima utashinda.Na wakifuata ushauri huu wako ndio watakuwa wameuwasha moto kwani iko wazi kabisa kuwa viongozi wa CHADEMA ni vibaraka wa viongozi wa dini ya ukatoliki, na ndio wao wanaotoa kauli zao na zinapitishwa vinywani kwa kina Slaa na wenzake, na kwenye uchaguzi mkuu makanisa yamedhihirisha hilo wazi kabisa
Kuna watu wanaufinyu wa akili wanadhani wakiwatenga wakristo kwa kuwattack wakatoliki wataweza TEC,CCT ni wamoja weka kichwani hilo ,ukigombana na Wakatoliki ni wakristo wote na nia yenu nikuingiza nchi katika vita vya kidini hakuna itakayeokoka,taifa litaangamia munamwendekeza Jakaya ni mambo ya muda tuu ,siku zitapita hata kwepa hata siku moja dhambi kubwa aliyoingiza kwenye nchi yetu KIKWETE ni shetani anatakiwa atolewe mapepo
Genius Brain kama unapinga ushauri wa Chadema kukutana na viongozi wa dini ya Kiislam nimekushutukia unayo ajenda ya siri na yenye nia mbaya nyuma yake. Ukweli daima utashinda.
Hivi karibuni Sheikh Mkuu alitoa kauli ya kuwataka waislam wasishiriki maandamano yanayoandaliwa na Chadema. Baada ya siku moja Katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa akajibu kwa kusema Sheikh Mkuu hakufanya utafiti. Kauli ya Slaa ni sahihi lakini haikustahili kutolewa na kiongozi kama yeye katika kipindi hiki ambacho kuna tension kubwa ya udini na mikakati ya makusudi ikifanyika kukihusisha chama hicho na mambo hayo. Slaa kwa kufanya hivyo anataka kukiingiza Chadema na yeye binafsi kwenye mtego wa malumbano ya kidini kitu ambacho kitawanufaisha wapinzani wao CCM. Naishauri Chadema kuwa waangalifu sana na mitego ya aina hiyo na ikiwezekana baadhi ya majibu au matamko yawe yanatolewa na viongozi wa chini kama wenyeviti wa mikoa au viongozi wa jumuia za chama kama BAVICHA ili iwe rahisi kukihami chama endapo kutakuwa na utata kutokana na kauli iliyotolewa. Chadema isione aibu kujifunza kutoka CCM kwa kutoa matamko kupitia jumuia zao kama UVCCM viongozi wa juu wanapotakiwa kuthibitisha husema 'hayo ni maoni yao' hata kama ndio msimamo wa chama. Naomba kuwasilisha.
Ww ndio sasa una mapepo, kwani ni ukweli uko wazi kuwa kampeni za uchaguzi mkuu CHADEMA walitumia sana makanisa kufanya kampeni, sasa kama ww huishi Tanzania huwezi kujua, na nina wasiwasi huo. Mambo ya wakatoliki Sumbawanga unayajua ww ?
Umenena mkuu,nami uwa mara nyingi napenda viongozi wa cdm wawe makini katika kujibu,si kila kitu lazima wakijabu mfano malumbano yanayoendelea sasa ya kuichafua chadema naomba wao wasijibu huo ujinga kwani ni mkakati wa kuonyesha kuwa hawana jipya,wao wajikite kuonyesha ukweli kwa wananchi uozo wa serikali tu,vyama vingine vinahitaji umaarufu tu kwa kujibizana na cdm wakati huo huo kujipendekeza ccm.Hivi karibuni Sheikh Mkuu alitoa kauli ya kuwataka waislam wasishiriki maandamano yanayoandaliwa na Chadema. Baada ya siku moja Katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa akajibu kwa kusema Sheikh Mkuu hakufanya utafiti. Kauli ya Slaa ni sahihi lakini haikustahili kutolewa na kiongozi kama yeye katika kipindi hiki ambacho kuna tension kubwa ya udini na mikakati ya makusudi ikifanyika kukihusisha chama hicho na mambo hayo. Slaa kwa kufanya hivyo anataka kukiingiza Chadema na yeye binafsi kwenye mtego wa malumbano ya kidini kitu ambacho kitawanufaisha wapinzani wao CCM. Naishauri Chadema kuwa waangalifu sana na mitego ya aina hiyo na ikiwezekana baadhi ya majibu au matamko yawe yanatolewa na viongozi wa chini kama wenyeviti wa mikoa au viongozi wa jumuia za chama kama BAVICHA ili iwe rahisi kukihami chama endapo kutakuwa na utata kutokana na kauli iliyotolewa. Chadema isione aibu kujifunza kutoka CCM kwa kutoa matamko kupitia jumuia zao kama UVCCM viongozi wa juu wanapotakiwa kuthibitisha husema 'hayo ni maoni yao' hata kama ndio msimamo wa chama. Naomba kuwasilisha.
Yaelekea wengi wameshikwa kubaya!!Asingeweza kuacha kusema hivyo kama wale wenye chama wamemuamrisha kufanya hivyo,e.g. Pengo nk
Mbona umeandika upumbavu mtupu? Hivi viongozi wa dini zote kipindi cha uchaguzi si walikaa na kuongea na vyama vyoteNa wakifuata ushauri huu wako ndio watakuwa wameuwasha moto kwani iko wazi kabisa kuwa viongozi wa CHADEMA ni vibaraka wa viongozi wa dini ya ukatoliki, na ndio wao wanaotoa kauli zao na zinapitishwa vinywani kwa kina Slaa na wenzake, na kwenye uchaguzi mkuu makanisa yamedhihirisha hilo wazi kabisa
Asingeweza kuacha kusema hivyo kama wale wenye chama wamemuamrisha kufanya hivyo,e.g. Pengo nk
Wapo wengi wa aina hii wengine wanaugulia kimya kumya.Yaelekea wengi wameshikwa kubaya!!
Kauli ya Slaa ni sahihi lakini haikustahili kutolewa na kiongozi kama yeye katika kipindi hiki ambacho kuna tension kubwa ya udini na mikakati ya makusudi ikifanyika kukihusisha chama hicho na mambo hayo.
Asingeweza kuacha kusema hivyo kama wale wenye chama wamemuamrisha kufanya hivyo,e.g. Pengo nk