Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 25,094
- 27,182
Basi tutamchagua mkatoliki Charles Makongoro Nyerere. :becky::becky::becky:Huyo hata "personality" ya kuitwa "President" hana.
Basi tutamchagua mkatoliki Charles Makongoro Nyerere. :becky::becky::becky:Huyo hata "personality" ya kuitwa "President" hana.
Personality ya kuitwa president inatakiwa iweje? Nipe mfano wa mtu mwenye hiyo "personality".
Sikusoma bure, kumbuka hilo.
Unatamani slaa angekuoa laki wewe ni Elimu duni.Sema anawajuwa misukule, maana mnamchangia kwenye mabakuli yeye anamjengea mke wa mtu jumba la kifahari mabwepande. Cheza na Daktari wa kanoni wewe?
Sema anawajuwa misukule, maana mnamchangia kwenye mabakuli yeye anamjengea mke wa mtu jumba la kifahari mabwepande. Cheza na Daktari wa kanoni wewe?
Mi nimeona pua yake
Slaa ameenda kuuza sura tu, hana upendo wa dhati.
Huyo hata "personality" ya kuitwa "President" hana.
Huyo hata "personality" ya kuitwa "President" hana.
mbona misiba ya mashekh wenye kutetea uislamu hajaja
Sema anawajuwa misukule, maana mnamchangia kwenye mabakuli yeye anamjengea mke wa mtu jumba la kifahari mabwepande. Cheza na Daktari wa kanoni wewe?
Hakuna mwana ccm mwenye akili timamu,wewe ndo kiongozi wa mataahira ya ccm,that's why ulifukuzwa Canada kwa uchawi.
Kwa bahati mbaya watanzania hatuchagui "personality"tunachagua MTU atakae simamia rasilimali zetu vizuri ili ziweze kutuletea maendeleo tunayohitaji
Vp Elimu ya marehemu, inaeleweka?
Unatamani slaa angekuoa laki wewe ni Elimu duni.
swissme
Najua hukusoma bure lakini ulisomea seminary ya kikatoliki kwa bei poa, kwani kwa pasi zako usingeweza kuzipata Kinondoni muslim na Kibohehe ambazo ndio zilikua seminary za kiislamu tu enzi za ujana wako. Maana naona umri wako uko magharibi zaidi.