Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

"Memkwa" ndiyo mdudu gani?

Husiufanye moyo wako kuwa mgumu,kubali ombi langu la kukusaidia...watu wa umri wakomara nyingi hilo tatzo huwa linawapata sana ww sio wa kwanza Bibi Faiza
 
Husiufanye moyo wako kuwa mgumu,kubali ombi langu la kukusaidia...watu wa umri wakomara nyingi hilo tatzo huwa linawapata sana ww sio wa kwanza Bibi Faiza

= usiufanye

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga au wewe ni yule mwenye ujinga wa kurithi?
 
= usiufanye

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga au wewe ni yule mwenye ujinga wa kurithi?

Ninafanya hivi kwa faida yako bibi yangu,kuwa na afya ya akili ni jambo la kheri sana.Kubali upate matibabu
 
Ninafanya hivi kwa faida yako bibi yangu,kuwa na afya ya akili ni jambo la kheri sana.Kubali upate matibabu

Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpangilio.

Halafu utakuta umekaa ofisini badala ya kutumia muda wako wa kazi kwa faida yako na aliyekuajiri wewe unamshobokea FaizaFoxy utakwenda na maji.

Punguani wahed.
 
Last edited by a moderator:
Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpangilio.

Halafu utakuta umekaa ofisini badala ya kutumia muda wako wa kazi kwa faida yako na aliyekuajiri wewe unamshobokea FaizaFoxy utakwenda na maji.

Punguani wahed.

Ni vigumu sana kudeal na watu wenye tatzo kama lako,ila nakuahidi sitokata tamaa mpaka nihakikishe nimekusaidia.Hebu jaribu basi hata kwa dakika kadhaa kuijali afya yako bibi yangu
 
Last edited by a moderator:
Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpangilio.

Halafu utakuta umekaa ofisini badala ya kutumia muda wako wa kazi kwa faida yako na aliyekuajiri wewe unamshobokea FaizaFoxy utakwenda na maji.

Punguani wahed.

Samahani kwani wewe huwa unajibu ukiwa wapi manake mchana,usiku, asubuh yaani nishida au nyani haoni ku.....
 
Last edited by a moderator:
Kwanini uione kuwa ni chuki wakati kila kitu kipo wazi?

"Kiongozi" hana maadili hata chembe. "Kiongozi" ameshindwa kutumikia kanisa na kanoni alyoisomea.

"Kiongozi" anaekopa fedha za chama kujengea nyumba hawara.

"Kiongozi" aliyezaa na mke wa mtu.

"Kiongozi" aliyetenganisha wana ndoa.

"Kiongozi" aliyeacha mwanamke mwengine na watoto bila kuwahudumia mpaka wamemfikisha mahakamani.

"Kiongozi" anemwambia "body guard" wake akamaliziane na "mama".

"Kiongozi" anaeamuru mtu ateswe.

Hivi huyo ni "Kiongozi" au majanga! Fikiri.

duuuu kweli we umeshindikana.
Hata mohamed said mkongwe humu hana chuki km hizo.
Tatizo lako unachanganya mihemuko ya dini uliyojazwa chuki na huko msikitin juu ya dini zingine na unaileta kwenye siasa.
Mbna kina shehe kipozeo ni waislam safi tu,halafu ww ni mwanamke kwa chuki zako nch km Tanzania hupat hata uenyekit wa mtaa.labda Jk akuhurumie akupe u DC kabla ya october.ila ungekuwa nchi km somalia ungekuwa lulu km WHITE WIDOW,pengine we ungeitwa BLACK WIDOW
 
Kiukweli ni mtu mzima japo sio mzee ki vile, alikua mwalimu wa rafiki yangu wa karibu sana enzi zile.
Ila sijui kama bado ni mwalimu mpaka sasa. Ila yuko bright mambo mengine ukiachilia ushabiki wa kidini na anaipenda sana CCM.

hawez kuwa mwalimu huyu,she is so intelgent ila kaathiriwa ni ILIMU NA UKAADA WA CCM,pia kwa jinsi mwandiko wake ulivyo sio mtu wa kujichanganya,mda mwingi yupo home
 
duuuu kweli we umeshindikana.
Hata mohamed said mkongwe humu hana chuki km hizo.
Tatizo lako unachanganya mihemuko ya dini uliyojazwa chuki na huko msikitin juu ya dini zingine na unaileta kwenye siasa.
Mbna kina shehe kipozeo ni waislam safi tu,halafu ww ni mwanamke kwa chuki zako nch km Tanzania hupat hata uenyekit wa mtaa.labda Jk akuhurumie akupe u DC kabla ya october.ila ungekuwa nchi km somalia ungekuwa lulu km WHITE WIDOW,pengine we ungeitwa BLACK WIDOW

Mkiambiwa ukweli mnauita chuki. Mkikosa hoja mnakuja na ngao ya "udini", sijuwi "ubanini" mtakuja nalo lini nyie kila mkikosa hoja mmekalia "udini", "udini".
 
Mkiambiwa ukweli mnauita chuki. Mkikosa hoja mnakuja na ngao ya "udini", sijuwi "ubanini" mtakuja nalo lini nyie kila mkikosa hoja mmekalia "udini", "udini".

Udini na ukabila utaipeleka ccm kaburini mwaka huu.
 
Mkiambiwa ukweli mnauita chuki. Mkikosa hoja mnakuja na ngao ya "udini", sijuwi "ubanini" mtakuja nalo lini nyie kila mkikosa hoja mmekalia "udini", "udini".

Nilikuambia Faizafoxy ni mwalimu sio wa shule ya msingi bali elimu ya juu. Hua hakani jambo linalomhusu au kulikubali nina wasiwasi kapitia kile chuo cha wale watu wa Kijitonyama
 
Hv Unaposema Msibani Una Maana Ipi Sabu Hapo Siuoni Msiba Zaidi Ya Watafuta Sifa Wamekusanyana Kuuza Sura Zao Kama Dua Si Wafanye Msikitini Au Majumbani Mwao?
 
Back
Top Bottom