Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

naona Padre aliekimbia kanisa kaenda kumzika shekh
 

Attachments

  • 1434584256417.jpg
    1434584256417.jpg
    8.4 KB · Views: 139
Mtazame Kikwete.

Kikwete ndo SI unity ya personality ya kuwa rais tanzania?

Mara mia tusiwe na rais mwenye personality na anatuletea maendeleo kuliko kuwa na rais handsome ila bogus kichwani...
 
Kikwete ndo SI unity ya personality ya kuwa rais tanzania?

Mara mia tusiwe na rais mwenye personality na anatuletea maendeleo kuliko kuwa na rais handsome ila bogus kichwani...

Tulinganishe maendeleo ya Kikwete kwa miaka 9 yake na ya wote wa kabla yake kwa miaka yao zaidi ya 44, nnakuhakikishia hata nusu ya maendeleo aliyoyaleta Kikwete hawamfikii kwenye kila nyanja.
 
Back
Top Bottom