Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Huyo kashindwa kusimamia kanisa, kashindwa kusimamia wanawe, kashindwa kusimamia hawara (jikumbushe ya Khalid Kagenzi). Ataweza kusimamia nchi?

Hivi hizo shule huwa mnakwenda kusomea ujinga?

Kwa kweli hakushindwa kusimamia kanisa ni bora huyu kuliko kuwa na vichwa nazi
 
Kashindwa hata kusimamia mapato ya matumizi ya chadema akamweka hawara ndiyo asimamie programu za mapato na matumizi ya chadema. Eti akakopa fedha za chama kumjengea hawara mabwepande, sasa hicho chama cha siasa au saccos, huyo akifanywa Rais (Mungu apishe mbali) si ataigeuza BOT kuwa saccos yake binafsi.

Hivi yote hayo hamyaoni?

Amma kweli mkiitwa "misukule" hakuna kosa.
 
Unajuwa neno "elimu" limetokea wapi?

Jibu swali mrehemu alikuwa na elimu gani?

Ngoja nikwambie kitu. Waumini wa dini nyingi kwa sasa wamesoma sana wengine ni Profs, wengine ma Dr, wengi masters holders na Bachelors.

Linapokuja suala la wahubiri kuwa na uelewa mdogo kuliko waumini, hapa ndio shida ina anzia. Mahubiri yake ni kuua, kulipiza kisasi, kuhimiza sana sadaka, na misimamo ya ajabu ajabu.

Mfano: kuna kijana kamaliza darasa la saba namfahamu, hajawahi hata kupata exposure ya nje ya mikoa mbalimbali, ila kwa sababu ya madrasa na blahblah kibao ni Shekh, sijui maalimu! Uelewa wake wa dunia ni butu!!

Elimu ya Mhubiri neno/Injili ina uhusiano mkubwa sana na mafundisho yatolewayo kwa waumini. Japo exceptional zipo!! Ukifundishwa na mtu wa Elimu ya darasa la 4 au la 7 ktk karne hii hata mind yako haitafanya kazi vzr na utakuwa unafikiria vitu kinyumekinyume tu!!
 
Kashindwa hata kusimamia mapato ya matumizi ya chadema akamweka hawara ndiyo asimamie programu za mapato na matumizi ya chadema. Eti akakopa fedha za chama kumjengea hawara mabwepande, sasa hicho chama cha siasa au saccos, huyo akifanywa Rais (Mungu apishe mbali) si ataigeuza BOT kuwa saccos yake binafsi.

Hivi yote hayo hamyaoni?

Amma kweli mkiitwa "misukule" hakuna kosa.

Misukule nyie maimuna wenye kuongozwa na akili ndogo
 
Sema anawajuwa misukule, maana mnamchangia kwenye mabakuli yeye anamjengea mke wa mtu jumba la kifahari mabwepande. Cheza na Daktari wa kanoni
Sema unareason nyingine ya kutompenda dr.slaa wala sio sura wala elimu yake...ushauri wa bure tuu chuki ikipitiliza unaweza kutafuta hata uchawi.be moderate mkuu
 
Sema unareason nyingine ya kutompenda dr.slaa wala sio sura wala elimu yake...ushauri wa bure tuu chuki ikipitiliza unaweza kutafuta hata uchawi.be moderate mkuu

Kwanini uione kuwa ni chuki wakati kila kitu kipo wazi?

"Kiongozi" hana maadili hata chembe. "Kiongozi" ameshindwa kutumikia kanisa na kanoni alyoisomea.

"Kiongozi" anaekopa fedha za chama kujengea nyumba hawara.

"Kiongozi" aliyezaa na mke wa mtu.

"Kiongozi" aliyetenganisha wana ndoa.

"Kiongozi" aliyeacha mwanamke mwengine na watoto bila kuwahudumia mpaka wamemfikisha mahakamani.

"Kiongozi" anemwambia "body guard" wake akamaliziane na "mama".

"Kiongozi" anaeamuru mtu ateswe.

Hivi huyo ni "Kiongozi" au majanga! Fikiri.
 
Kwanini uione kuwa ni chuki wakati kila kitu kipo wazi?

"Kiongozi" hana maadili hata chembe. "Kiongozi" ameshindwa kutumikia kanisa na kanoni alyoisomea.

"Kiongozi" anaekopa fedha za chama kujengea nyumba hawara.

"Kiongozi" aliyezaa na mke wa mtu.

"Kiongozi" aliyetenganisha wana ndoa.

"Kiongozi" aliyeacha mwanamke mwengine na watoto bila kuwahudumia mpaka wamemfikisha mahakamani.

"Kiongozi" anemwambia "body guard" wake akamaliziane na "mama".

"Kiongozi" anaeamuru mtu ateswe.

Hivi huyo ni "Kiongozi" au majanga! Fikiri.

UNAMATATIZO YA UBONGO PUNGUZA MATUMIZI YA UGORO UTAPATA NAFUU.,..Usihofu dr slaa ni rais mtarajiwa wakufikisha nch kwenye neema ambyo ccm ilishndwa zaid miaka 5 .
 
Back
Top Bottom