Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Huyo hata "personality" ya kuitwa "President" hana.

Wewe mama kama sio hii elimu ya Nyerere ya bure uliyopata na ukawa mwalimu ,,,,, sasa hivi ungekua unauza mama ntilie Maneromango.
Kwanini unachukia anything in trousers na anybody who is not a muslim ?
Nitaslim nikufanye wife number two.
 
Huyo hata "personality" ya kuitwa "President" hana.

what is personality by the way? Ungetufafanulia personality ya rais inatakiwa kuwaje ningekuelewa. Lakini kusema mtu hana personality ya kuwa na cheo fulani ni tathmini ya jumlajumla sana isiyo na tafiti zinazoishikilia hoja. Punguza kuhukumu kwani hata wewe huna personality ya kuwa ulivyo kwani upo kichina zaidi.
 
Wewe mama kama sio hii elimu ya Nyerere ya bure uliyopata na ukawa mwalimu ,,,,, sasa hivi ungekua unauza mama ntilie Maneromango.
Kwanini unachukia anything in trousers na anybody who is not a muslim ?
Nitaslim nikufanye wife number two.

Labda utamsadia sana huyo
 
mkuu natamani sana nibahatike kukuona ili niweze kutadhimini unachokiandikaga humu kama kinaendana na ulivyo.

Poleni wote waliogushwa na msiba huu,Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awape Amani mioyoni mwenu.
Hauko peke yako mkuu unaotamani kumwona huyo mtu pamoja wale wa jamii yake,ukweli naweza kumuomba tupige picha nikaitengenezee frame niibandike chooni, kila nikiingia basi naitazama.
 
Hakika dr.slaa anazijua shida za watanzania.Mungu ametushushia kiongoz tusipomtumia itatuchukua miongo mitatu tena kumpata mtu km huyu

Sema anawajuwa misukule, maana mnamchangia kwenye mabakuli yeye anamjengea mke wa mtu jumba la kifahari mabwepande. Cheza na Daktari wa kanoni wewe?
 
Aliefariki alikuwa ni remote-controlled na CCM wakati wa maandamano ya CHADEMA lakini bado Dr. Slaa ameenda bila hiyana Kweli Dr. Ni Rais wa Tanzania.
 
MUSSA ALLAN, kuna wakati japo mara moja moja unatakiwa kuutendea haki moyo wako!. Najua ni vigumu sana kama hujazoea lakini ukifanya mazoezi ya kusema kilichoko moyoni mwako utazowea na utakuwa ukiwashanga wasiotaka kusifia tendo au neno jema likifanywa na wanayedhani hawako upande wake.. Kama vile ccm bungeni wanavyopigia kura mtu badala ya hoja!.

Jizoeshe utazoea na utaona namna gani ukweli unavyokuweka huru!

BTW, hivi huko ccm ni kipi kinachompa mtu kuonekana bora na kukubalika kati ya "Wema" na "Uovu"?

MUSSA ALLAN nina mashaka hata afya yake itakuwa ipo mashakani. Hivi ni mtu gani anakuwa mtumwa wa mawazo kiasi hiki. Hata kama unalipwa lakini siyo kwa kujikosesha amani kwa kutawaliwa kifikra.

Binafsi ningekuwa nimefungwa kimawazo kama huyu jamaa, ningekuwa milembe au india.
Kwanza anatumia muda mwingi jf akiwa na mawazo yaliyofungwa, huwezi kujifunza zaidi kwa hali hii,
unaboa watu wenye mawazo huru.
 
Sema anawajuwa misukule, maana mnamchangia kwenye mabakuli yeye anamjengea mke wa mtu jumba la kifahari mabwepande. Cheza na Daktari wa kanoni wewe?

Bora Daktari wa Kanoni kuliko Profesa wa Kichina.
 
MUSSA ALLAN, kuna wakati japo mara moja moja unatakiwa kuutendea haki moyo wako!. Najua ni vigumu sana kama hujazoea lakini ukifanya mazoezi ya kusema kilichoko moyoni mwako utazowea na utakuwa ukiwashanga wasiotaka kusifia tendo au neno jema likifanywa na wanayedhani hawako upande wake.. Kama vile ccm bungeni wanavyopigia kura mtu badala ya hoja!.

Jizoeshe utazoea na utaona namna gani ukweli unavyokuweka huru!

BTW, hivi huko ccm ni kipi kinachompa mtu kuonekana bora na kukubalika kati ya "Wema" na "Uovu"?

Mkuu kumpigia gitaa mbuzi ni kazi kubwa sana hasa anapokuwa ameona majani ya kula. Hapo unacharanga solo au kinanda kwa mbuzi.
 
Wewe mama kama sio hii elimu ya Nyerere ya bure uliyopata na ukawa mwalimu ,,,,, sasa hivi ungekua unauza mama ntilie Maneromango.
Kwanini unachukia anything in trousers na anybody who is not a muslim ?
Nitaslim nikufanye wife number two.

Sikusoma bure, kumbuka hilo.
 
Back
Top Bottom