Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Raisi mtarajiwa wetu Dr.Slaa amefanya jambo la maana kwenda kutoa pole kwa wahusika wote.

Nikweli mkuu kwani kiongozi makini lazima ashiriki shughuli za kijamii
 
Jamani huo ni msiba wa kiongozi wa juu hapa nchini... Sasa mpaka kwenye misiba mnaleta siasa ili nn?
 
MUSSA ALLAN, kuna wakati japo mara moja moja unatakiwa kuutendea haki moyo wako!. Najua ni vigumu sana kama hujazoea lakini ukifanya mazoezi ya kusema kilichoko moyoni mwako utazowea na utakuwa ukiwashanga wasiotaka kusifia tendo au neno jema likifanywa na wanayedhani hawako upande wake.. Kama vile ccm bungeni wanavyopigia kura mtu badala ya hoja!.

Jizoeshe utazoea na utaona namna gani ukweli unavyokuweka huru!

BTW, hivi huko ccm ni kipi kinachompa mtu kuonekana bora na kukubalika kati ya "Wema" na "Uovu"?

Huyu alisha kula kiapo cha kupinga kila kitu kinachopinga ufisadi.
 
mkuu natamani sana nibahatike kukuona ili niweze kutadhimini unachokiandikaga humu kama kinaendana na ulivyo.

Poleni wote waliogushwa na msiba huu,Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awape Amani mioyoni mwenu.

Mkuu ukitaka kumuona njoo hapa Arusha siku kinana akiwepo hapa mkoani
 
Duuh, kwahiyo upendo wa dhati anao yule aliyeseam fedha za ESICUROUW si za umma, ili wanafunzi waendelee kukaa chini, na mahospitalini kuendelee kukosa dawa na gharama za nishati zipande

Hayo ndiyo anawaona bora,watoto wetu waendelee kuteseka kwa kukaa chini,kukosa madawa hospitalini kwa kuendelea kuwakumbatia mafisadi
 

Attachments

  • 1434470307211.jpg
    1434470307211.jpg
    92.6 KB · Views: 181
Unaonyesha jinsi ulivyo na akili finyu, asingeenda ungekuwa mstari wa mbele kupiga chapuo kwamba hakwenda kilioni kwa sababu aliyefariki ni muislam.

Mkuu huyu msalani ni kati ya vilaza wa kutupa na hawafai ktk jamii,siasa anaiona kama ni uadui.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom