Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Wewe mama kama sio hii elimu ya Nyerere ya bure uliyopata na ukawa mwalimu ,,,,, sasa hivi ungekua unauza mama ntilie Maneromango.
Kwanini unachukia anything in trousers na anybody who is not a muslim ?
Nitaslim nikufanye wife number two.

Kumbe ni bibi?? Duuh
 
Kashindwa hata kusimamia mapato ya matumizi ya chadema akamweka hawara ndiyo asimamie programu za mapato na matumizi ya chadema. Eti akakopa fedha za chama kumjengea hawara mabwepande, sasa hicho chama cha siasa au saccos, huyo akifanywa Rais (Mungu apishe mbali) si ataigeuza BOT kuwa saccos yake binafsi.

Hivi yote hayo hamyaoni?

Amma kweli mkiitwa "misukule" hakuna kosa.

Stress mbaya sana
 
Achana na mimi, changia hoja zangu.

Ata achana vp na ww na wakat huo huo achangie hoja zako???

Najua utaona kama masihara au tunazingua ila kiukweli unahitaji msaada mkubwa sana wa ushauri ili uwe sawa
 
Kumbe ni bibi?? Duuh

Kiukweli ni mtu mzima japo sio mzee ki vile, alikua mwalimu wa rafiki yangu wa karibu sana enzi zile.
Ila sijui kama bado ni mwalimu mpaka sasa. Ila yuko bright mambo mengine ukiachilia ushabiki wa kidini na anaipenda sana CCM.
 
Kiukweli ni mtu mzima japo sio mzee ki vile, alikua mwalimu wa rafiki yangu wa karibu sana enzi zile.
Ila sijui kama bado ni mwalimu mpaka sasa. Ila yuko bright mambo mengine ukiachilia ushabiki wa kidini na anaipenda sana CCM.

Kama ni mtu wa zamani sana lazima aipende ccm,ila mkuu tafsiri ya elimu ni matendo..kitendo cha yy kuwa mdini tu kinamdisqualify kutoka ktk bright people
 
Huna akili kabisa. Hivi hii thread inahusiano gani na mbio za urais? Yaani ukiwa CCM lazima uwe mpumbavu. Your comments have no coherance to what has been posted. There is no contextual relation btn your comments and what has been posted.
Stress mbaya sana
 
Huna akili kabisa. Hivi hii thread inahusiano gani na mbio za urais? Yaani ukiwa CCM lazima uwe mpumbavu. Your comments have no coherance to what has been posted. There is no contextual relation btn your comments and what has been posted.

Kabla cjacomment na kukujibu maneno yako hapo juu,ni kweli mkuu ulidhamiria kuniambia mm hivi vitu au??
 
Ata achana vp na ww na wakat huo huo achangie hoja zako???

Najua utaona kama masihara au tunazingua ila kiukweli unahitaji msaada mkubwa sana wa ushauri ili uwe sawa

Nnauhakika wewe una ujinga wa kuzaliwa na si wa kufundishwa shuleni. Hata ufanye nini unao huo, haufutiki.

Pole sana na Muombe Mungu wako sana usiwarithishe wanao.
 
Nnauhakika wewe ua ujinga wa kuzaliwa na si wakufundishwa shuleni. Hata ufanye nini unao huo, haufutiki.

Pole sana na Muombe Mungu wako sana usiwarithishe wanao.

Unahitaji msaada bibi yangu japo ww hulioni hilo kwasasa.
 
Back
Top Bottom