Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

mbona misiba ya mashekh wenye kutetea uislamu hajaja

Unataka ahudhurie wa mashehe wanaohifadhi majambia msikitin?
Kuwa muelewa kijana...muft simba ni muislam mwenye elimu na ilimu anijitambua vizur...sio mashehe wanaohubir chuki juu ya iman za watu.huwa tunawapuuza tuu
 
Huyo hata "personality" ya kuitwa "President" hana.


Huyu atagombea urais na sio BEUTY CONTEST kama unavyofikiri wewe. Haendi ikulu kuuza sura ila kutoa mwelekeo wa taifa lako wewe. Haendi kugombea u miss magomeni au Tandale ulikoolewa.
Hebu mcheki Dr. Slaa vizuri... Unaweza kumlinganisha na Hasira ? au Hata mende au hata Magamba au Chemba ya maji taka
 
Unaonyesha jinsi ulivyo na akili finyu, asingeenda ungekuwa mstari wa mbele kupiga chapuo kwamba hakwenda kilioni kwa sababu aliyefariki ni muislam.

Slaa ameenda kuuza sura tu, hana upendo wa dhati.
 
Slaa ameenda kuuza sura tu, hana upendo wa dhati.
Duuh, kwahiyo upendo wa dhati anao yule aliyeseam fedha za ESICUROUW si za umma, ili wanafunzi waendelee kukaa chini, na mahospitalini kuendelee kukosa dawa na gharama za nishati zipande
 
Unaonyesha jinsi ulivyo na akili finyu, asingeenda ungekuwa mstari wa mbele kupiga chapuo kwamba hakwenda kilioni kwa sababu aliyefariki ni muislam.

Huo ni kama msiba wa taifa, na Dr. Slaa ni moja ya viongozi wa chama kikubwa Tanzania...
Kutembeleana na kupeana pole ni uungwana ambao watanzania wote huwa tunafanya regardless dini, kabila au rangi...
Wapuuze wajinga wanaobeza uwepo wa Dr. Slaa kwenye huo msiba...
Poleni wafiwa na waislamu wote...
 

Attachments

  • 1434469209598.jpg
    1434469209598.jpg
    7.9 KB · Views: 293
Back
Top Bottom