Dk. Nchimbi tulia! Mwosha huoshwa

Mkuu KJ unakumbuka kama ile tume iliundwa kuchunguza vyeti hivi vya waheshimiwa imefikia wapi au hata kama imekufa imefia wapi? It is disgusting kuona watu wanaendelea kupeta kwa kutumia vyeti wasivopata kutoka vyuo vinavotambulika..na hivyo kutia shaka uwezo wao kitaaluma

Wako wengi labda ndio maana wame-i-mute hiyo topic. Kikwete aliwapasisha pale aliposema kuwa uwaziri hausomewi kwa hiyo hata ubunge ni vivo hivyo. Kisheria hii ni kweli, lakini hatutaendelea kama tutaiendekeza maana, the poorly the Minister's/ MP's education is the more likely is for him/her to make unprofessional and unwise decisions.
 
Na Mama Nagu ya kwake kasomea wapi manake nasikia ina utata pia?

Na yeye Nagu anayo Ph.D kutoka kwenye hivyo hivyo vyuo vya kununua vyeti. Cha kwake alinunulia Washington International University. Nafikiri kuliingia fasheni hasa kwenye timu ya wana mtandao na maswahiba wao kutafuta degree za kununua, ili kupamba CV na majina yao. Ndio maana utawakuta wengi wakiwa na hizi digree za kununua online kutoka kwa maduka kama ya Washington International University, Commonwealth Open University, n.k.
 
Wako wengi labda ndio maana wame-i-mute hiyo topic. Kikwete aliwapasisha pale aliposema kuwa uwaziri hausomewi kwa hiyo hata ubunge ni vivo hivyo. Kisheria hii ni kweli, lakini hatutaendelea kama tutaiendekeza maana, the poorly the Minister's/ MP's education is the more likely is for him/her to make unprofessional and unwise decisions.

That aside, basi wasitake kujipa vyeo vya kitaaluma waivyokuwa navyo....kwa nini wanang'ang'ania kuitwa madaktari wakati huhitaji kuwa daktari kuwa waziri au mbunge?

In the wake ya hili la mbunge wa mafia hapa, nadhani ipo haja ya kuliangalia kwa undani hili...na nadhani pia kusema uongo kuhusu elimu ni kosa kisheria.
 
Wapo wengi tu Mathayo David naye alijinunulia PhD yake kilaini

Mwanamtama mwaga mtama kweli kwelo tukusikie ndugu yangu.Mathayo huyo naye ya kwake ni ya kuyumbyumba ? Haya nipeni habari za Kamala maana naye nasikia yake ni fanfa la nguvu .
 
HA HA HA, Wapo wengi na tunawajua ila mwisho wao unakuja.Washukuru Mungu Chama ila vinginevyo..... muda wao unawadia kilichobakia tuu wajiandae......
 
Vihiyo walianza zamani. Na hata leo bado wanaendeleza. Kama thesis zao ni sawasawa mbona hata sioni publication hata moja? Hata Remmy alijulikana kama Dr. hata masangoma wanajulikana kama ma DR. Hivi kuna utaratibu gani wa kusail vyeti hasa vya nje? maana kama system ni bomu basi wajanja wanatumia mianya kujitangazia cheap Umaarufu
 
Kama mna uhakika wamefoji vyeti basi nendeni Mahakamani...JF si mahakama. Mtikila kwa muda amekuwa anasimama Mahakamani kupinga mambo mengi tu...mengine ameshinda na mengine kushindwa. Kama mmeshindwa basi Basi tumuombe Mtikila asimamie hilo!!! kinyume chake itakuwa kuwalaumu watu pasi na Hoja nzito.

Bado zipo Online degree nyingi tu na wengi wamekuwa wanafanikiwa. Leo TZ kipo Open University sijui wao graduate wao wanafanyaje. Nakumbuka Mzee Malecela nae alipewa Dr. wa Heshima na Open University hapa DSM..(kama nimekosea naomba mniweke sawa)
 
Kama mna uhakika wamefoji vyeti basi nendeni Mahakamani...JF si mahakama. Mtikila kwa muda amekuwa anasimama Mahakamani kupinga mambo mengi tu...mengine ameshinda na mengine kushindwa. Kama mmeshindwa basi Basi tumuombe Mtikila asimamie hilo!!! kinyume chake itakuwa kuwalaumu watu pasi na Hoja nzito.

Bado zipo Online degree nyingi tu na wengi wamekuwa wanafanikiwa. Leo TZ kipo Open University sijui wao graduate wao wanafanyaje. Nakumbuka Mzee Malecela nae alipewa Dr. wa Heshima na Open University hapa DSM..(kama nimekosea naomba mniweke sawa)

Bora Mzee Malecela na wengine walio pewa za bure na kuwajua hatuna noma now maana tunajua wapi wamezipata ila za hawa wa kuzipata na kuzitumia kama rungu ama kivutio cha madaraka no way .Na bado wanaitwa ma Dr.Wakati they cannot prove it .
 
Nchimbi anataka kumpaya kiongozi ambaye atakuwa anawajibika kwake. Kwa maana nyingine anataka kuifanya Kin Maker wa vijana na baadaye kutumia remote kuwageuza anavyo taka kwa masalhi yake siku zijazo .Hili liko wazi na Nchimbi hawezi kutoa tamko kama hili labda yeye akiandikiwa akawa anasoma kwa mara ya kwanza bila ya kutafakari .

Atakuwa amerukwa na akili! Kama hata yeye mwenyewe elimu yake ni mushkeli kiasi hicho, anawezaje kuwa king maker?!?!?!
 
Kaka Tanzania haya yanawezekana kwa imani ya kurukwa na akili huku mtu anafanya kweli.

Mugisha nakubaliana nawe kabisa .Kwa TZ lile gumu ni rahisi kwake na rahisi linakuwa ni gumu zaidi .Yangu macho na masikio
 
Watz bwana!

Hivi ukiitwa Dr. au Prof. inakuongezea nini ktk jamii?

Nyerere hakuwa Dr. ila Mahalu ni Prof.--je ni yupi ana heshima zaidi ktk jamii!

Mimi inanikera sana...kama wanazuoni wa Chuo kikuu huko2 ndo Udr. na Uprof. unafaa... otherwise kwa Mtz wa kawaida mimi naona kama ni aina nyingine tu ya usanii!

Mimi ningekuwa kiongozi wa nchi maskini ya usanii kila siku kama Tz hata kama nina PhD au ni Prof. ningevificha!
 
Hivi kwa nini huwsa hawabandiki tafiti zao kwenye tovuti ya bunge?


Mfwatiliaji, heshima mbele mkuu, ndo maana nilikuwa nimeuliza pia the same question....kama unajiita daktari au una masters ya chuo chochote, na umetaka kuwa mtumishi wa watu, basi watu wana haki ya kujua elimu yako umeipataje....watu wanasotea PhD miaka 3 au miine na zaidi, wengine wanafanya PhD na masters within 2 years inakubaliaka?

Heshima mbele mkuu.

Maadam ni viongozi wa wananchi watuwekee na tafiti/thesis zao tuzipitie ili tujiridhishe kwamba wanastahili title walizojipachika.
 
Watz bwana!

Hivi ukiitwa Dr. au Prof. inakuongezea nini ktk jamii?

Nyerere hakuwa Dr. ila Mahalu ni Prof.--je ni yupi ana heshima zaidi ktk jamii!

Mimi inanikera sana...kama wanazuoni wa Chuo kikuu huko2 ndo Udr. na Uprof. unafaa... otherwise kwa Mtz wa kawaida mimi naona kama ni aina nyingine tu ya usanii!

Mimi ningekuwa kiongozi wa nchi maskini na usanii kila siku hata kama nina PhD au ni Prof. ningevificha!



Mzalendo umenimaliza lakini umasema mambo makubwa na mazito .Mwenye akili nadhani kesha jua unaongelea nini .
 
Kama mna uhakika wamefoji vyeti basi nendeni Mahakamani...JF si mahakama. Mtikila kwa muda amekuwa anasimama Mahakamani kupinga mambo mengi tu...mengine ameshinda na mengine kushindwa. Kama mmeshindwa basi Basi tumuombe Mtikila asimamie hilo!!! kinyume chake itakuwa kuwalaumu watu pasi na Hoja nzito.

Bado zipo Online degree nyingi tu na wengi wamekuwa wanafanikiwa. Leo TZ kipo Open University sijui wao graduate wao wanafanyaje. Nakumbuka Mzee Malecela nae alipewa Dr. wa Heshima na Open University hapa DSM..(kama nimekosea naomba mniweke sawa)

Bwana Chuma,

Kuna vyuo vingi "CREDIBLE" ambavyo vinatoa "AUTHENTIC" degrees online. Hata Harvard wanatoa online courses kwa kutumia "Harvard Extension School". Kwa maelezo zaidi unaweza ingia hapa http://www.extension.harvard.edu/

Hivi vinavyotajwa humu na wachangiaji vinajulikana kote ulimwenguni kama "DIPLOMA MILLS". Washington International University alikopata degree Waziri wa zamani wa sheria kiko listed kama ni mojawapo ya ivyo diploma mills. It is only in Tanzania ambako Waziri wa Sheria anaweza akavunja sheria na kuachwa untouched... Poor us!!!

I suggest tuanzishe upya thread mpya kuzungumzia hivi vyeti feki walivyonavyo hawa mafisadi. Tuwalisti mmojammoja na degrees zao feki... Tuangalie na maamuzi yao katika utekelezaji wa mambo sensitive... Tuone kama izo degrees zao feki ndio ziliwakwaza wasiweze ku-think critically na ku-come up with sensible solutions. Ushahidi tunao... Hatuifanyii mema nchi yetu kwa kukaa kimya na kuacha tuendelee kuongozwa na jamaa wenye credentials from fake universities. I suggest tuwashambulie kwa nguvu... Kila kitu kinawezekana..
 
Dk. Nchimbi tulia, mwosha huoshwa

Irene Mark

Hizi ndio siasa za TZ: ngono, mizengwe, makundi, majungu, takrima
Napendekeza tujadili kwa kina namna ya kuleta siasa za hoja
Maana hata muandishi wa habari hakuongelea hoja/platform, mafanikio, kushindwa, matarajio ya uongozi wa Nchimbi katika UVCCM (Kwa misingi ya hoja, sera n.k.)

Hatahivyo namshukuru muandishi wa habari kwa "courage" ya kuyatoa mambo haya hadharani
 
Back
Top Bottom