William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mkuu naona umewadhamiria hasa!
Mkuu sijamdhamiria mtu, ila wao ndio wamenidhamiria maana wanadai wananijua sana kwamba ninasema uongo, sasa na mimi ninasema hivi ninawajua sana, ni waongo na wanafiki pia, na huwadaganya hata wake zao na ushaidi ninao, na wake zao ninawajua, sasa waamue kusuka au kunyoa, wako watu watatu wanafikiri kukaa nyuma ya internent na kubadili mnajina hapa frum ni ujanja sana, ninawaambia tu kuwa ninawajua sana, sasa either tukate ishus za taifa, au wakitaka mengine nipo tayari, au tushiriki hapa JF kwa kuheshimiana.