Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Wasomi wetu hawa ni Tatizo sana kwenye jamii bora zije serikali 3 ili jeshi lochukue nchi vyama vyote vifutiliwe mbali na wasomi wabaki huko maofisini na vyuoni sio kwenye siasa.
Hivi huyo mtu wa kufuata Mkumbo wa CCM kwa kujiunga na ACT anafikiri uwazi ndani ya hicho chama utakuwepo na kuushuhudia akiwa hai?
Amesahau kuwa mungu wa ccm , Nyerere (zidumu fikra zake) ndiye aliyekaa kwa muda mrefu kwenye kiti cha uenyekiti kuliko mwanasiasa yeyote hapa TZ? Na bado aliendelea kukisimamia chama hadi umauti wake.

Kwa hiyo kuwalaumu viongozi na waasisi wa CDM kwa sasa ni kuwapotosha wananchi kwani chama kikiachwa tu kivamiwe na kila Mtu anayetaka madaraka ni kukiua chama chochote.

Na niwakumbushe tu kuwa hawa wahadhiri wa vyuo vikuu sio watu wa kuaminika na sio watu salama kwenye vyama vya upinzani.
Wengi wao ni mawakala wa Serikali na usalama wa Taifa. Akitokea mpinzani halisi kwenye vyuo vikuu vya umma basi ujue atanyofolewa kucha. Tafakarini kuhusu Mkumbo.
 
mlipowafukuza mlitaka waanzishe club ya kuogelea? kama chenu kimesimama waacheni na wengine wasimamishe vya kwao tuone na uwezo wao we thought chenu kilikuwa atomic science kumbe inawezekana wishing the goodluck wapigwe mabomu kwani Lema kaenda huko? si amebaki na wahafidhina wenzie
waasisi wa ACT ni watatu tu - Zitto, Mkumbo na Mwigamba!!

Hiki ni chama kilichoasisiwa mahsusi kupunguza kura za CDM 2015 ili CCM ipate ahueni - nyie mtaona kama kitapigwa hata bomu moja kwenye mikutano yake!!
 
Akiongea leo kwenye redio ya mawingu fm, Dr kitila amesema Mh Zitto Kabwe ni mmwanasiasa maarufu na mwenye akili nyingi na ni watu wajinga tu ndiyo watamuacha kwenye vyama vyao. Amesema atafanya kila njia ili ajiunge nao kwenye chama kipya kitakacholeta upinzani wa kweli kilichopata usajili wa kudumu hivi karibuni. :A S 39:

Haya maneno yanafurahisha sana. Hata CDM, CUF au NCCR - MAGEUZI zilileta na zinaendelea kuleta ushindani wa kweli. Sijui huyu Dr kama anajua ni kwanini vyama hivi vilipata na vinaendelea kupata misukosuko ili visikue! Kama hiki chama kinaongozwa na watz hawa hawa akina Dr na wenzake kama wale watz niliwaona kwenye bunge maalumu la kutunga katiba mpya, basi chama kitakuwa na kuporomoka kama vyama vingine mpaka pale watz tutakapo tambua umuhimu wa kusema ukweli na kutokuwa wanafiki na kuacha USALITI ktk harakati za kuleta mabadiliko ktk nyanja mbalimbali za kisiasa, uchumi na kijamii.
 
kwa kua watu wakin wanaekekea huko ngoja ni assemble dots... Nikapata mstar najiunga fasta,huku nliko spat fursa ya kufunguka kiujana ujana.
 
Good luck. Ila asubiri hadi 2015 baada ya Bunge kumaliza muda wake maana Zitto akijiengua sasa ina maana ubunge wake bye bye. Dr. Kitila ameingia katika kundi lile la 'nomads' wa kisiasa!

Nomads are really NOT MAD!
MAD ARE THOSE WHO MAKE THEM 'NOMADS!'
 
Yap hiyo ni CCM "C". Kwa heri Zitto, kwa heri Mkumbo, kaendeleze usaliti wenu kupitia hiyo CCM "C".

Tiba
pole sana kwa maumivu ya moyo wenzenu wanafanya siasa za ukweli wala siyo kubabaisha kama chadema hapa ndipo tutajua nani mwanaume na nani mvulani zitto na kitila ni kiboko yenu.
 
Haya maneno yanafurahisha sana. Hata CDM, CUF au NCCR - MAGEUZI zilileta na zinaendelea kuleta ushindani wa kweli. Sijui huyu Dr kama anajua ni kwanini vyama hivi vilipata na vinaendelea kupata misukosuko ili visikue! Kama hiki chama kinaongozwa na watz hawa hawa akina Dr na wenzake kama wale watz niliwaona kwenye bunge maalumu la kutunga katiba mpya, basi chama kitakuwa na kuporomoka kama vyama vingine mpaka pale watz tutakapo tambua umuhimu wa kusema ukweli na kutokuwa wanafiki na kuacha USALITI ktk harakati za kuleta mabadiliko ktk nyanja mbalimbali za kisiasa, uchumi na kijamii.

sijaona upinzni ulioletwa na vyama ulivyovitaja vyama hivi vimeleta vurugu na malumbano lakini siyo upinzani kama unavyodai.
 
Kwenye hili Chadema walikosea...sitaki kuamini kuwa watu walio tayari kuongoza nchi walishindwa kulimaliza hilo la Zitto humo ndani ya chama kimyakimya bila kuleta sintofahamu au udhaifu wao kwa wananchi huko nje.Hapa ndipo lilipokuwa kosa la Chadema,waliweka mbele jazba kuliko busara, hilo ni kosa bila kujali kama Zitto alikuwa na makosa au hakuwa nayo.

Mkuu sina uhakika sana na mambo yatokeayo ndani ya vyama haswa Chadema ila ninachoamini huwa kunakuwa na misuguano ya chini kwa chini ambayo mingine huwa hatari kwa maslahi ya chama...

Hata hili sakata la Zitto, Mwigamba na wengineo naamini ni jambo lililokuwa likifukuta muda mrefu pasipo sisi tulio nje kuliona hilo.

Limetufikia sisi pengine ni kwa sababu lilifikia ukomo wa uvumilivu, ni kama tu enzi zile ambavyo tulikuwa tukiona mwanachama msumbufu sana ndani ya CCM anapelekwa Dodoma kujadiliwa na wakulu wa CCM.
 
Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.

==============

JamiiForums imefanikiwa kumtafuta Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).
..ukombozi hasa wa taif hili hautaletwa na chama cha siasa kamwe....hili jambo naona watanzania wengi(wakiwemo wasomi)bado hawajalitambua....Ukombozi wa kweli wa taifa hili utaletwa na mtu mmoja tu kwenye nafasi ya juu ya urais...mtu atakayekuwa radhi kuwageuka wenzake...washkaji na wapambe wote na kuamua kusimamia na kuipigania katiba ya nchi ..kwa kupambana na madui wote wa taifa hili...yani ubinafsi...anguko la maadili ya umma..ufisadi..rushwa...umaskni...ujinga na maradhi......rais atakaeweza kupambana na maadui hawa ndie atakuwa mkombozi wa taifa hili....na si chama cha siasa....
 
Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.

==============

JamiiForums imefanikiwa kumtafuta Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).

Hii ndiyo demokrasia ya africa watu siku zote wanatafuta madaraka na si kuwatumikia wananchi wako tiari kwa lolote hata kumwaga damu za wengine ili wapate madaraka. Naamini kitala na zito hawatakuwa na jipya kama wengine waliopita. Je ni lini waafrika tutabadilika kimawazo na kuanza kufikiria well fare ya watu wetu badala ya kujifikiria sisi wenyewe. Ni lini tutaacha unafiki ili mataifa yetu yapate kusonga mbele?
 
waache waende tu, nchi haiendeswhi kwa vyama kuwa vingi, aya sasa wasaliti wote wameshaundiwa chama chao, njia nyeupe sasa, maana najua mtakuwa chama cha upinzani kwa cdm, na mkijisahau kuwa adui yenu ni ccm.
 
Chadema walikurupuka bila kupima upepo. Sasa kuna wabunge 24 wa chadema wanaomuunga mkono Zitto watafuata nyayo ikiwa jamaa ataondoka CDM.

Let them Go for their Democracy. Siasa ni Ngumu na Longolongo nyingi ila Kwa Bongo imezidi mbona yaonekana kwa macho hata kwa kupapasa waeza kuona wanasiasa ni wanafiki kwa kiasi gani. Haya sisi kazi yetu macho tu kuona yanayojiri siasa imekuwa ni source of income purely kama ilivyo kwa dini kila mtu anaanzisha cha kwake. Utengano ni nguvu umoja ni udhaifu hahahah
 
Back
Top Bottom