Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Chadema wanahangaika sana naona wamechanganyikiwa kabisa na hizi habari.
 
waasisi wa ACT ni watatu tu - Zitto, Mkumbo na Mwigamba!!

Hiki ni chama kilichoasisiwa mahsusi kupunguza kura za CDM 2015 ili CCM ipate ahueni - nyie mtaona kama kitapigwa hata bomu moja kwenye mikutano yake!!
Tatizo la chadema ni ubaguzi sio zitto wala mwigamba wala kitila mkumbo
 
waasisi wa ACT ni watatu tu - Zitto, Mkumbo na Mwigamba!!

Hiki ni chama kilichoasisiwa mahsusi kupunguza kura za CDM 2015 ili CCM ipate ahueni - nyie mtaona kama kitapigwa hata bomu moja kwenye mikutano yake!!
Watapunguza kura vipi wakati mnasema hawakubaliki.
 
Nashikwa na Wasiwasi baada ya buku saba team kufurahia habari hii kuna kitu nyuma ya Pazia.
Hiki chama kitamezwa na ccm taka usitake maana wao ndo wameshinikiza kipate usajili mapema sana.
 
Dk kitila mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa act kupitia clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri zito aje kugombea uwenyekiti.

Safi sana; waacheni waende huko wajichukulie vyeo wananvyovitaka ili tuwaone if they can bulid a formiddable political organisation that can withstand the test of time.
The bottom line is if they succeed; Tanzania wins; wala wasijione kwamba watakuwa wameikomoa CDM! la hasha kama hilo ndio lengo lao pekee; basi they have failed evenm before they got started.

Kujenga chama imara kikasimama na kuwakosesha usingizi watawala kama CDM, CUF na NCCR kwa nyakati tofauti; against backdrop ya hila zote za chama dola CCM kama tunavyozijua na kuzisikia sio lelemama kama Kitila, Zitto & party wanavyofikiria. kama wanabisha wamuulize mzee Nji hii Augustine Lyatonga Mrema!
Walichokifanya ulikuwa ni usaliti wa karne.
Good riddance ZZK & Co and best wishes; may be you have something to offer they reform proccess in tanzania lakini mlikosea approach hapo awali.
 
Mlezi wa ACT analea chama kwa hela za CCM. Ule waraka wa siri ulikuwa uisambaratishe CDM moja kwa moja kama Wassira alivyotabiri lakini wakawahiwa.

Na wao huo mrija utakatika baada ya uchaguzi mkuu!
 
Alafu kwanini mnaoishabikia sana act ni watu kutoka ccm,je hamtaki chama chenu kiendelee kutawala?
 
lakini awa naweza kuwaita wanaume wa ukweli, sio unafukuzwa chadema then uraud cccm kamawatanguliziwao, unakomaa kiume kuonesha kuwa ccm hamtaki tangu mwanzo na cdm amekushinda...tangu mwanzo ndo ulikuwa ushauri wangu, kama haukubaliani na maamuzi ya wengi kama kamti kuu, unatoka na kwenda unakoona utaeleweka vyema!! Hongera wana ACT, sisi watz tunachotaka si vijembe ni kujituma mtuletee maendeleo!
 
Alafu kwanini mnaoishabikia sana act ni watu kutoka ccm,je hamtaki chama chenu kiendelee kutawala?

jana lukosi kaleta mada apa kuwa tz pangekuwa na upinzani imara, ccm 2015 ingebwagwa vibaya, sasa hapo si inaonesha wazi wazi kuwa hata wao wanakosa jinsi ila pia wamejichoka wenyewe...wapinzani wakikaza kidogo, ccm inabinuka kama mende!
 
Kitila Mkumbo is a Political itinerant!
 
Juliana na Mtela mnaruhusiwa kuja ACT kwani ccm Mnakufa kisiasa rudini upinzani Mwigulu hawezi kuwadai fedha.
Hongo Haidaiwi.
 
Hakuna mwana siasa mkweli duniani wote wako after masilahi yao taratiiibu naacha ushabiki wa vyama.
 
Akiongea leo kwenye redio ya mawingu fm, Dr kitila amesema Mh Zitto Kabwe ni mmwanasiasa maarufu na mwenye akili nyingi na ni watu wajinga tu ndiyo watamuacha kwenye vyama vyao. Amesema atafanya kila njia ili ajiunge nao kwenye chama kipya kitakacholeta upinzani wa kweli kilichopata usajili wa kudumu hivi karibuni. :A S 39:
 
Juliana na Mtela mnaruhusiwa kuja ACT kwani ccm Mnakufa kisiasa rudini upinzani Mwigulu hawezi kuwadai fedha.
Hongo Haidaiwi.

Nadhani wapo kwenye harakati hizo.!
 
huu mtindo wa kuanzisha vyama mwaka mmoja kabla ya uchaguzi, hautawasaidia, tuliona hayo kwa CCJ/CCK, ADC na sasa ACT, sionakama wana nia saf zaidia kusaa ulaji, na kuwakandmia waTZ chini ya kongwe la CCM
 
Back
Top Bottom