Ukiambiwa una ubongo wa kuku tunamaanishazito mmemshindwa chadema mnabaki kulialia tu mitandaoni.. michadema yooote mtu.mmoja tu amewashinda. halafu mnataka kuongoza nchi.. labda nchi ya kiborloni
Bwanako Zitto anapigania uanachama wake mahakamani. Chadema tulishamaliza...nyie visaka tonge ndo hamtusumbui kabisaaaaaa