MTRANSPARENT
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 740
- 205
pamoja sana
inakufa mara ngap na huo ukabila wao! wanahaha kuungana na waliowaita mashoga kaz ipo. CHEZEA ZZKKwa hiyo walitaka waiuwe CDM kwanza ndiyo wasepe.
Shame
fanya mambo ya intarahamwe utashika mangapi?Hahahaha! Raha sana si mliwafukuza mbona mnahangakika, leo umekuwa mtoa ushauri wa ACT.
waasisi wa ACT ni watatu tu - Zitto, Mkumbo na Mwigamba!!
Hiki ni chama kilichoasisiwa mahsusi kupunguza kura za CDM 2015 ili CCM ipate ahueni - nyie mtaona kama kitapigwa hata bomu moja kwenye mikutano yake!!
Ni maoni yetu pia kwamba kuanzia sasa MM aenende katika mwenendo ambao utarahisisha ushindi. Mfano tunapendekeza afanye yafuatayo kuanzia sasa:Naamini hiyo orodha ni ndogo sana. Wapo wengi tu... mwigamba, kafulila, MM2 nk.
Orodha ndefu kama hiyo hamuwezi kuwashawishi watu makini waamini kuwa ni wasaliti.. hapo kuna tatizo la msingi hamtaki kutuweka wazi.
Wanaomchagulia ni wafuasi wake kama wewe... Hii hapa chini ni kauli ya kitila na Mwigamba katika waraka wa siri wa USALITI:Usimchagulie marafiki huyu ni mwanauume anayejitambua nini afanye.
Ni maoni yetu pia kwamba kuanzia sasa MM aenende katika mwenendo ambao utarahisisha ushindi. Mfano tunapendekeza afanye yafuatayo kuanzia sasa:
i. Apunguze ukaribu na viongozi wa serikali na wa chama tawala na awe crical zaidi na utendaji wa serikali nje na ndani ya bunge.
mi nitakuwa kama tomaso kuamini kuhusu usaliti wa zitto
Kwanini Mkuu?
Halafu umepoteaa
Mkuu alishakuambia usimuulize kwa nn
una akili ndogo kama mdudu panzi
Cdm imejiua yenyewe kwa mikono yake
Huyu jamaa kafa nini mbona haonekani hapa now days.
Swissme