Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Zitto aliamua kuunda kundi la uasi ndani ya chama. Baadhi ya waliounda kundi hili ni:
§ Zitto Z. Kabwe
§ Juliana Shonza
§ Habib Mchange
§ Mtela Mwampamba
§ Gwakisa Burton
§ Eddo Makata
§ Greyson Nyakarungu
§ Adams Chagulani
§ Deogratius Kisandu
§ John M. Shibuda
§ Kitila Mkumbo

Lengo la Zitto ilikuwa ni kudhoofisha upinzani kama alivyotumwa na kulipwa na mabwana zake, ingawa victims wake hawajitambui kama ni victims bali wana sympathise nae. The guy is smart.. waangalie hao wote uliowataja hapo juu nguvu yao kisiasa kwa sasa ukilinganisha na walivyokuwa CHADEMA. Zitto kafanikiwa kuwavuruga haswaa. Mwigulu alikuwa hana amani na kasi aliyokuwa anapanda nayo Kitila kuelekea ubunge wa Iramba, leo hii yuko wapi Kitila. hahahahahaaa.. Indeed Zitto is smart.Lengo lake katimiza. Mtela Mwampamba alikuwa na matumaini makubwa ya kuchukua jimbo la Mbozi kwa Zambi hapo 2015 lakini leo yuko wapi baada ya kuingia kwenye mtego wa mwanaume Zitto.. kabaki kuwa mwanamipasho facebook. Akina Juliana Shonza walikuwa wanaonekana ni hazina katika siasa za Tanzania in a nearby future... wako wapi leo baada ya kuchezeshwa ngoma wasioijua na kichwa Zitto.. leo wamebaki kumsifia Kinana na kumkashifu Mbowe ili angalau waendelee kusikika.Hao wote hawakujua lengo la Zitto ingawa wakijitazama leo ndo wanagundua ni kiasi gani amewasambaratisha. Kwa akili yao walidhani Zitto amewalenga Mbowe na Slaa tu. Kweli ukitaka kujua Zitto ni kichwa angalia alipowafikisha hao jamaa ukilinganisha na walipokuwepo. KWELI AMEFANIKIWA KUWAVURUGA.Big up Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Daa kweli siasa ya ajabu leo kitila yuko tayari kutumika na maccm ka condom


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.

==============

JamiiForums imefanikiwa kumtafuta Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).

Zitto awe mwenyekiti wa ACT mara ngapi? Hapo anasubiri mshiko wake wa ubunge.
 
Waje wauze sera zao tuwasikie..!! kama zinanunulika hamna shaka watapata support..
 
Excellent!Ningekuwa napenda kuwa mwanasiasa nami kesho ningechukua kadi yao!
 
Mkuu usiende huko maana ukienda huko utawatukana makamanda wetu wengi sana kuanzia Tundu Lissu, Dr Slaa, Lema n.k,hilo kwa siasa za Africa achana nalo.

Mkuu wote unaowataja ni chama cha pili. Lisu katoka NCCR akatulia CHADEMA, Lema TLP kaja CHADEMA, Slaa CCM kaja CHADEMA. Ila huyu jamaa katoka CCM karudi tena CCM na akahama tena. Kunani? Anamzidi hata Tambwe Hiza!!!!!?????
 
Hata popo hudhani anamnyea Mungu kumbe anajinyea mwenyewe. Kosoa nilichokiandika hapo nikurudishe darasani jomba. I'll teach you for free..!

Kama umeandika broken lazima tukwambie zombi wewe ili ujifunze......malizeni kuiokoa saccos yenu isife kwanza
 
Kama umeandika broken lazima tukwambie zombi wewe ili ujifunze......malizeni kuiokoa saccos yenu isife kwanza

We endelea kuonyesha utupu wako kichwani.. nimekwambia kosoa nilipoandika broken unaishia kulialia.. Sasa sijui kati yangu na wewe nani ni zombie. Mnakimbia shule afu mnadandia magari kwa mbele. Utagongwa .. shauri yako.
 
We endelea kuonyesha utupu wako kichwani.. nimekwambia kosoa nilipoandika broken unaishia kulialia.. Sasa sijui kati yangu na wewe nani ni zombie. Mnakimbia shule afu mnadandia magari kwa mbele. Utagongwa .. shauri yako.



Ha ha ha naona Mkuu umepanic mpaka unatokwa povu teh teh teh


ACT itauwa wàtu kwa presha
 
Ha ha ha naona Mkuu umepanic mpaka unatokwa povu teh teh teh


ACT itauwa wàtu kwa presha

Hahahahaaaa hapana mkuu.. kuna dogo mmoja humu kafaulu QT mwaka jana basi anakurupukia watu asiowajua ndo nilikuwa nam fix.. hiyo ACT acha iendelee kuigiza kama jina lake lilivyo.. Pamoja mkuu.
 
Hahahahaaaa hapana mkuu.. kuna dogo mmoja humu kafaulu QT mwaka jana basi anakurupukia watu asiowajua ndo nilikuwa nam fix.. hiyo ACT acha iendelee kuigiza kama jina lake lilivyo.. Pamoja mkuu.

Hajajua we mwalimu wake?

Watoto wa siku hizi hawana adabu
 
Lengo la Zitto ilikuwa ni kudhoofisha upinzani kama alivyotumwa na kulipwa na mabwana zake, ingawa victims wake hawajitambui kama ni victims bali wana sympathise nae. The guy is smart.. waangalie hao wote uliowataja hapo juu nguvu yao kisiasa kwa sasa ukilinganisha na walivyokuwa CHADEMA. Zitto kafanikiwa kuwavuruga haswaa. Mwigulu alikuwa hana amani na kasi aliyokuwa anapanda nayo Kitila kuelekea ubunge wa Iramba, leo hii yuko wapi Kitila. hahahahahaaa.. Indeed Zitto is smart.Lengo lake katimiza. Mtela Mwampamba alikuwa na matumaini makubwa ya kuchukua jimbo la Mbozi kwa Zambi hapo 2015 lakini leo yuko wapi baada ya kuingia kwenye mtego wa mwanaume Zitto.. kabaki kuwa mwanamipasho facebook. Akina Juliana Shonza walikuwa wanaonekana ni hazina katika siasa za Tanzania in a nearby future... wako wapi leo baada ya kuchezeshwa ngoma wasioijua na kichwa Zitto.. leo wamebaki kumsifia Kinana na kumkashifu Mbowe ili angalau waendelee kusikika.Hao wote hawakujua lengo la Zitto ingawa wakijitazama leo ndo wanagundua ni kiasi gani amewasambaratisha. Kwa akili yao walidhani Zitto amewalenga Mbowe na Slaa tu. Kweli ukitaka kujua Zitto ni kichwa angalia alipowafikisha hao jamaa ukilinganisha na walipokuwepo. KWELI AMEFANIKIWA KUWAVURUGA.Big up Zitto.

Juliana akisoma may be she can understand although it will be too late
 
Last edited by a moderator:
Juliana akisoma may be she can understand although it will be too late

Wengi wao wameshagundua kuwa Zitto kawaingiza choo cha watoto, tatizo ni yale matusi na kashfa walizozitoa wakati wanaondoka, na alishawaaminisha kuwa wakiondoka wao CHADEMA inakufa but what they came to realize was contrary to what they were made to believe. Kurudi wanaogopa wamemtukana mamba, huko waliko hawathaminiki kama walivyoaminishwa kuwa watakuwa mashujaa. Wamebaki kuwapokuwapo tu. Wengine ndo wameamua kukaa kimya mazima. Zitto mwenyewe. anajua akitoka tu CHADEMA ndo kwisha habari yake. Yaani pale anaiona mahakama kama Mungu wake wa pili.
 
Wengi wao wameshagundua kuwa Zitto kawaingiza choo cha watoto, tatizo ni yale matusi na kashfa walizozitoa wakati wanaondoka, na alishawaaminisha kuwa wakiondoka wao CHADEMA inakufa but what they came to realize was contrary to what they were made to believe. Kurudi wanaogopa wamemtukana mamba, huko waliko hawathaminiki kama walivyoaminishwa kuwa watakuwa mashujaa. Wamebaki kuwapokuwapo tu. Wengine ndo wameamua kukaa kimya mazima. Zitto mwenyewe. anajua akitoka tu CHADEMA ndo kwisha habari yake. Yaani pale anaiona mahakama kama Mungu wake wa pili.

Hahahahahaha
 
Nitafurahi sana siku Zitto akigombea uraisi kama mpinzani wa CCM... Msiniulize kwa nini...
 
Back
Top Bottom