Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

mi nadhani tuache demokrasia ifanye kazi yake mkuu...walichokitaka wanaweza kukipata huko ACT au hata CCM kama wanajiamini kiasi hicho....lakini hilo walilolotaka kufanya kisiri siri halikubaliki popote pale..all the best to them

Mkuu ukiangalia kwa jicho la 3 utaona kbs kuwa hiki chama kipya ni figa jingine la ccm,kumbuka sufuria ya pilau la harusi hulazimishiwa hata mafiga matano ili pilau liive vizuri na hiki ndicho kinachotokea

Nampa hongera sana Mwigulu kwa ushauri wake kwa CC ya ccm kuhusu mbinu za kuibomoa cdm japo cdm nao wamekuja na huu muungano wa UKAWA ambao umewachanganya sana ccm na jana cc ya ccm imeitana kwa ghafla ili kutoa maelekezo kwa wabunge wake wa bunge la bajeti 2014/2015(wa ccm)

Pamoja na hayo yote ACT ya zitto,kitlya,mwigamba,bila pesa za ccm haitaenda popote,pesa ya zitto pekee haiwezi ingiza wabunge hata 5 mjengoni 2015 ila kwa vile imekuja kuugawa upinzani ccm itawekeza pesa nyingi sana ndani ya ACT.....kila la kheri wajanja wa siasa za bongo
 
Hakuna mwana siasa mkweli duniani wote wako after masilahi yao taratiiibu naacha ushabiki wa vyama.

Mwana umeokoka sasa. Kwasasa yule shetani mwenye afadhali kisha tunamuunga mkono.
 
Hio kila njia atakayofanya ni IPI hiyo? Anataka kumpa nini? mmmhh siasa bhana, hivi huyu si alisema hashiriki siasa? sasa imekuaje leo kaibukia huko?
 
amesema pia kama mwanachama wa ACT angependa sana na kuwashauri viongozi wa ACT wamchukue ZZK kwa sababu ni kiongozi mwenye kipaji cha siasa ,,pia amekanusha kuwa yeye sio kiongozi ndani ya chama hiko kwa sababu kazi za serikali anazofanya sasa(mtumishi wa umma) na uongozi wa chama na siasa ni kinyume cha sheria
 
Watu wana tishika na zzk mm amekua na muona alivyo nimbishi hata kwenye kitu kinacho eleweka sas leo hii eti mwanasiasa.
 
Dk kitila mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa act kupitia clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri zito aje kugombea uwenyekiti.

Chadema walikurupuka bila kupima upepo. Sasa kuna wabunge 24 wa chadema wanaomuunga mkono Zitto watafuata nyayo ikiwa jamaa ataondoka CDM.
 
Haya...subirini ile demokrasia iliyokuwa ikihubiriwa.......demokrasia isiyo na mipaka wala ethics......Hapa hapa JF tutajua yote.....Nadhani ya chama mbadala yametimia........yetu macho...:israel:
Demikrasia ya mtu mmoja kutakiwa kuwa Mwenyekiti.....hata kama ni kwa gharama ya kuharibu chama na hatimae kuanzisha chama kipya.

Mpenda demokrasia, unaeichukia the current regime unataka msururu wa vyama ukijua vyama vimetoka mbali na sasa ndio kwanza vinaweza kupata wabunge 40, leo unafikiri ukigawana mbao na hao wapinzani wenye 20 yrs experience utakuwa unajenga upinzania au unafanya show za kitoto.
 
Huyu anatafuta gia ya kuinadi ACT. Sijui kwanini wanajiita Alliance for Change and Transparency wakati wenyewe wanajifichaficha. Dr. Kitila, mh. Zitto siyo dini inayohitaji kuabudiwa, Tanzania tunahitaji kiongozi muadilifu na wenye matendo yaliyonyooka ili watanzania tumwamini na kumpa dhamana.
 
Ngoja tuone na wao kama wataruhusu "uhaini" na kuvumilia "usaliti".
 
Kama ilivyokuwa kwa ccj, chama hiki kitakufa ndani ya mwaka mmoja.
 
Huyu anatafuta gia ya kuinadi ACT. Sijui kwanini wanajiita Alliance for Change and Transparency wakati wenyewe wanajifichaficha. Dr. Kitila, mh. Zitto siyo dini inayohitaji kuabudiwa, Tanzania tunahitaji kiongozi muadilifu na wenye matendo yaliyonyooka ili watanzania tumwamini na kumpa dhamana.

Na huyo ni Zito.
 
Pandikizi zumeishaingia huko watajuta na wao jinsi watakavyosaritiwa nao wasikie machungu.

kabisa JikeDume waone maumivu yake

nao vip watajiunga na ukawa???

hivi zzk atakuwa na miaka 40 za kuruhusu kugombea urais .? au watakua wasindikizaji??
 
Last edited by a moderator:
Huyu kitira naZZK wakishika chama hiki baada ya miezi6 kita kufa maana nisawa na kumukabiz mawe kichaaa.
 
Mkuu ukiangalia kwa jicho la 3 utaona kbs kuwa hiki chama kipya ni figa jingine la ccm,kumbuka sufuria ya pilau la harusi hulazimishiwa hata mafiga matano ili pilau liive vizuri na hiki ndicho kinachotokea

Nampa hongera sana Mwigulu kwa ushauri wake kwa CC ya ccm kuhusu mbinu za kuibomoa cdm japo cdm nao wamekuja na huu muungano wa UKAWA ambao umewachanganya sana ccm na jana cc ya ccm imeitana kwa ghafla ili kutoa maelekezo kwa wabunge wake wa bunge la bajeti 2014/2015(wa ccm)

Pamoja na hayo yote ACT ya zitto,kitlya,mwigamba,bila pesa za ccm haitaenda popote,pesa ya zitto pekee haiwezi ingiza wabunge hata 5 mjengoni 2015 ila kwa vile imekuja kuugawa upinzani ccm itawekeza pesa nyingi sana ndani ya ACT.....kila la kheri wajanja wa siasa za bongo
WORD.
Right to the point.
 
Nafahamu Dr. Mkumbo ni member wa JF na atakuwa anapita huu uzi. Mimi nina maswali mawili madogo tu ya kumuuliza. Kwanza viongozi wakuu wa mda/mpito wa ACT ni akina nani? Pili, Je wapi ninaweza kupata katiba ya ACT? Nitanguliza shukurani zangu za dhati kwa majibu yako.
 
Ndo maana walishiriki kupanga mapinduzi ndani ya Cdm ili mwanasiasa maarufu na mtu mwenye akili nyingi ndo awe kiongozi lol..
 
Back
Top Bottom