Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Si ajabu ataanza kupambana na CDM badala ya kutafuta mageuzi ya kweli,time will tell.
 
Yap hiyo ni CCM "C". Kwa heri Zitto, kwa heri Mkumbo, kaendeleze usaliti wenu kupitia hiyo CCM "C".

Tiba
 
HUU ndio uungwana kama unataka kuanzisha chama hata cha mashoga, siasa au hata footboli anzisha tu. Lakini tabia ya kutumiwa na TISS kutaka kuhujumu vyama vya ukombozi wa watanzania huku uko ndani tena kiongozi haivumiliki. Lakini mjue cdm ndio iliwafanya muonekane mna maana!

Sasa kama chadema ndo iliwafanya waonekane wa maana alaf ikawafukuza we unataka wafanyeje??? Mbona iwewauma sana.
 
Yap hiyo ni CCM "C". Kwa heri Zitto, kwa heri Mkumbo, kaendeleze usaliti wenu kupitia hiyo CCM "C".

Tiba

Weka akiba ya maneno mheshimiwa. Mliwaponda sana CUF kwamba ni CCM 'B' na mkamwita James Mbatia ni shoga. Lakini leo hawa ndio wanaowafichia aibu. Hii nchi ni huru. Acheni watu wafanye siasa, na nyie fanyeni siasa zenu. Hasira za nini wakati watu mliwafukuza wenyewe kama wezi?
 
Sasa kama chadema ndo iliwafanya waonekane wa maana alaf ikawafukuza we unataka wafanyeje??? Mbona iwewauma sana.
Hivi wewe unapokunya mavi ambayo ni chakula ulikula mwenyewe itakuuma sana?
 
Wakiichoka chadema ndio waje ACT? watanzania sio wajinga hivyo...

Jamani hivi siasa za Tanganyika mmeanza kuzifuatilia 2010?kwa historia tu,Watanganyika waliacha kuipenda DP wakahamia NCCR, wakaiacha NCCR wakahamia TLP, wakaiacha TLP wakahamia CUF, na wakaiacha CUF wakahami Chadema, sasa sijui baada ya kuichoka Chadema (na dalili zote zinaonyesha kuwa sasa inachokwa)sijui watahamia wapi.
 
Weka akiba ya maneno mheshimiwa. Mliwaponda sana CUF kwamba ni CCM 'B' na mkamwita James Mbatia ni shoga. Lakini leo hawa ndio wanaowafichia aibu. Hii nchi ni huru. Acheni watu wafanye siasa, na nyie fanyeni siasa zenu. Hasira za nini wakati watu mliwafukuza wenyewe kama wezi?

Shirikisha brain dogo. Sio unapost tu kama uko maliwatoni
 
Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.

==============

JamiiForums imefanikiwa kumtafuta Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).

hongela Dr kitila kwa kutoka kwenyemakucha ya mbwamwitu Cdm. Wenye akili timamu hawaburuzwi na vichwa panzi.
 
Saccos ya Mtei na Saccos ya Zitto tofauti iko wapi?

zito mmemshindwa chadema mnabaki kulialia tu mitandaoni.. michadema yooote mtu.mmoja tu amewashinda. halafu mnataka kuongoza nchi.. labda nchi ya kiborloni
 
Back
Top Bottom