Weka akiba ya maneno mheshimiwa. Mliwaponda sana CUF kwamba ni CCM 'B' na mkamwita James Mbatia ni shoga. Lakini leo hawa ndio wanaowafichia aibu. Hii nchi ni huru. Acheni watu wafanye siasa, na nyie fanyeni siasa zenu. Hasira za nini wakati watu mliwafukuza wenyewe kama wezi?
Ndugu Imebidi hiyo ndiyo siasa kama ulikuwa hujui. Unaweza kumwita mtu gaidi lakini mkikutana kesho mnacheka pamoja kana kwamba hakuna kilichotokea jana.