AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,873
- 5,566
Kwa hiyo walitaka waiuwe CDM kwanza ndiyo wasepe.
Shame
kwani bado ipo CDM ipo?.
Kwa hiyo walitaka waiuwe CDM kwanza ndiyo wasepe.
Shame
Unajua kaka hii ni ACT-Tanzania yaani haka ni ka-branch chetu tu hapa TZ makao makuu yetu yapo New Zealand, mambo ya Ulaya ulaya huko kwa wazungu, mambo matamtam, mambo mazuri.
ACT-New Zealand tuko imara sasa tumewaletea ACT-Tanzania lengo letu KUBWA ni kupambana na Chadema TU.
Wanaisumbua sana CCM, jasho linawatoka hawapumui sasa sisi tumekuja kuokoa jahazi la CCM.
Kama sijakosea nimesoma Uzi asbh eti wa ACT uenezi anasema eti katiba bado haijawa tayari na hiyo ofisi ipo Dar na haijatajwa maeneo ilipo,sasa nashangaa hapo Kuna nini nyumayake!
taahira at work
Aaaa aaaaaaaaaaaa!!!, haya bana! Nimekusoma!
mbona uweleweki cdm mtahangaika sana kitapunguzaje kura wakati hakikubaliki na wafananisha na mwanamke anaetukana mume wake huku bado anampenda
Karibu sana kaka ACT-Tanzania chama makini.
Usisahau sera yetu kuu ni kupambana na upinzani especially Chadema.
Inasumbua sana CCM
amesema pia kama mwanachama wa ACT angependa sana na kuwashauri viongozi wa ACT wamchukue ZZK kwa sababu ni kiongozi mwenye kipaji cha siasa ,,pia amekanusha kuwa yeye sio kiongozi ndani ya chama hiko kwa sababu kazi za serikali anazofanya sasa(mtumishi wa umma) na uongozi wa chama na siasa ni kinyume cha sheria
na bado.. chadema mtakoma mwaka huu.. act itaipoteza kabisa
Naam, hiyo ndiyo kazi yetu kuu tuliyotumwa. Tokomeza Chadema