JAKOBO
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 934
- 194
Wakati Wao wakipata usajiri sisi wana ✌ tunaotaka serikali��tunazidi kupiga kampeni mpaka kwenye kivuko
pamoja kwamba nimeajiriwa na serikali ya magamba nimetoka eneo linaitwa Kome wilaya ya Sengerema nimepiga kampeni yakutosha kwa wananchi tuliokuwanao pamoja kivukoni nakuwaambia waiunge mkono Cdm kwani ndio Chama pekee chenye nia njema kwa Wtz,mwitikio ulikuwa mzurisana hasa baadaya kuwaambia madhara ya Ccm nahao ACT nikiwaonyesha mfano wa Barabara ya Sengerema mpaka Nyakalilo inavyotisha kwamashimo ambako ndio kwa Mh Charles Tzeba wa Ccm
pamoja kwamba nimeajiriwa na serikali ya magamba nimetoka eneo linaitwa Kome wilaya ya Sengerema nimepiga kampeni yakutosha kwa wananchi tuliokuwanao pamoja kivukoni nakuwaambia waiunge mkono Cdm kwani ndio Chama pekee chenye nia njema kwa Wtz,mwitikio ulikuwa mzurisana hasa baadaya kuwaambia madhara ya Ccm nahao ACT nikiwaonyesha mfano wa Barabara ya Sengerema mpaka Nyakalilo inavyotisha kwamashimo ambako ndio kwa Mh Charles Tzeba wa Ccm