Lakini Zitto kwa maneno yake alisema atakuwa wa mwisho kuondoka CHADEMA.
Akiongea leo kwenye redio ya mawingu fm, Dr kitila amesema Mh Zitto Kabwe ni mmwanasiasa maarufu na mwenye akili nyingi na ni watu wajinga tu ndiyo watamuacha kwenye vyama vyao. Amesema atafanya kila njia ili ajiunge nao kwenye chama kipya kitakacholeta upinzani wa kweli kilichopata usajili wa kudumu hivi karibuni. :A S 39:
waasisi wa ACT ni watatu tu - Zitto, Mkumbo na Mwigamba!!
Hiki ni chama kilichoasisiwa mahsusi kupunguza kura za CDM 2015 ili CCM ipate ahueni - nyie mtaona kama kitapigwa hata bomu moja kwenye mikutano yake!!
Mwajiri wa Kitila Mkumbo anasemaje juu ya hili?
Akiongea leo kwenye redio ya mawingu fm, Dr kitila amesema Mh Zitto Kabwe ni mmwanasiasa maarufu na mwenye akili nyingi na ni watu wajinga tu ndiyo watamuacha kwenye vyama vyao. Amesema atafanya kila njia ili ajiunge nao kwenye chama kipya kitakacholeta upinzani wa kweli kilichopata usajili wa kudumu hivi karibuni. :A S 39:
Chadema walikurupuka bila kupima upepo. Sasa kuna wabunge 24 wa chadema wanaomuunga mkono Zitto watafuata nyayo ikiwa jamaa ataondoka CDM.
Mwajiri wa Kitila Mkumbo anasemaje juu ya hili?
Mwajiri wa Kitila Mkumbo anasemaje juu ya hili?
Huyu anatafuta gia ya kuinadi ACT. Sijui kwanini wanajiita Alliance for Change and Transparency wakati wenyewe wanajifichaficha. Dr. Kitila, mh. Zitto siyo dini inayohitaji kuabudiwa, Tanzania tunahitaji kiongozi muadilifu na wenye matendo yaliyonyooka ili watanzania tumwamini na kumpa dhamana.
Chadema walikurupuka bila kupima upepo. Sasa kuna wabunge 24 wa chadema wanaomuunga mkono Zitto watafuata nyayo ikiwa jamaa ataondoka CDM.
chadema imechokwa sana na watanzania
ACT tunapambana na changamoto zinazoikabili taifa. Hatuna mapambano na chama chochote