U know what? kosa langu is that, nina assume kila mtumiaji wa JF anajua mimi ni tajiri kiasi gani,. So i say everything hoping that u guys will just take it easy coz am so so rich maaaan. So i say everythin i wish, nyinyi msio kuwa na hela ndo mnatumia muda mwingi sana kufikiri.
...sijui nimefuata nini kwenye huu uzi,bado najishangaa..
Huyu ni wa mirembe kabisa.Loooh..Maskini pole sana kijana makazi yako yalipaswa kuwa I.C.U.
Unapo piga simu kwenye namba ya AIRTEL halafu mpokeaji akawa hapatikani basi itasikika sauti ya DJ FETTY wa Clouds FM ikisema " AIRTEL YATOSHA blah blah blah , then baadaye inakuja SAMAHANI, NAMBA UNAYO PIGA HAIPATIKANI KWA SASA , then blah blah blah. Hapa kwenye SAMAHANI,NAMBA UNAYOPIGA HAIPATIKANI KWA SASA ndo huwa balaa! sauti imekaa kimahaba balaa, kila inapofikia hapo huwa lazima nisisimkwe! wakati mwingine huwa nalowanisha boxer ! Nimenunua line mpya ya airtel maalumu kwa ajili ya kusikiliza sauti ya DJ FETTY, huwa naizima halafu naipiga ili nimsikie fetty nisisimkwe. Ebana ni nouma sana. NIMEKUBALI, AIRTEL YATOSHA
Matokeo yenu ya form 4 yametoka tena vip ile 0 wameitoa?au haujabebeka
kweli kabsa mkuu!kuna haja ya kuboresha taratibu za kuwa memba JF
Unapo piga simu kwenye namba ya AIRTEL halafu mpokeaji akawa hapatikani basi itasikika sauti ya DJ FETTY wa Clouds FM ikisema " AIRTEL YATOSHA blah blah blah , then baadaye inakuja SAMAHANI, NAMBA UNAYO PIGA HAIPATIKANI KWA SASA , then blah blah blah. Hapa kwenye SAMAHANI,NAMBA UNAYOPIGA HAIPATIKANI KWA SASA ndo huwa balaa! sauti imekaa kimahaba balaa, kila inapofikia hapo huwa lazima nisisimkwe! wakati mwingine huwa nalowanisha boxer ! Nimenunua line mpya ya airtel maalumu kwa ajili ya kusikiliza sauti ya DJ FETTY, huwa naizima halafu naipiga ili nimsikie fetty nisisimkwe. Ebana ni nouma sana. NIMEKUBALI, AIRTEL YATOSHA