Kwanza kichwa cha habari kilivyo hakiendani na ulichoandika. Anahamasisha punyeto au ni wewe una tatizo? Ulitaka aongee kwa sauti ya kukwaruza kama mla unga??? Kama unaweza hadi kununua line uwe unazima upige kuisikia hiyo sauti ikusisimue bila shaka kuna kitu hakiko sawa kwenye kichwa chako.Wewe ndio una tatizo la kisaikolojia. Umeshindwa kujua nazungumzia kitu gani hapo