Dj Fetty wa Clouds FM ahamasisha punyeto

Wewe ndio una tatizo la kisaikolojia. Umeshindwa kujua nazungumzia kitu gani hapo
Kwanza kichwa cha habari kilivyo hakiendani na ulichoandika. Anahamasisha punyeto au ni wewe una tatizo? Ulitaka aongee kwa sauti ya kukwaruza kama mla unga??? Kama unaweza hadi kununua line uwe unazima upige kuisikia hiyo sauti ikusisimue bila shaka kuna kitu hakiko sawa kwenye kichwa chako.
 
Kwanza kichwa cha habari kilivyo hakiendani na ulichoandika. Anahamasisha punyeto au ni wewe una tatizo? Ulitaka aongee kwa sauti ya kukwaruza kama mla unga??? Kama unaweza hadi kununua line uwe unazima upige kuisikia hiyo sauti ikusisimue bila shaka kuna kitu hakiko sawa kwenye kichwa chako.

Uwezo wako wa kufikiria ni mdogo sana, nashindwa hata ku argue na wewe. Hakuwezi kuwa na consensus ya kimawazo between me and you. U cannot understand what i mean in this post, so please kama hauna kitu cha kufanya nenda Bagamoyo ukapige ramli, wache wanao jua nimepost kitu gani hapo tujadiliane.
 
Addiction

Ukiendelea hivyo ipo siku hata mbuzi akilia "meeee" utasikia hamu ya punyeto

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Uwezo wako wa kufikiria ni mdogo sana, nashindwa hata ku argue na wewe. Hakuwezi kuwa na consensus ya kimawazo between me and you. U cannot understand what i mean in this post, so please kama hauna kitu cha kufanya nenda Bagamoyo ukapige ramli, wache wanao jua nimepost kitu gani hapo tujadiliane.
Wewe ndo uende kwenye ramli wakakuague manake si mzima. Post yako tu inaongea mengi.
 
unapo piga simu kwenye namba ya airtel halafu mpokeaji akawa hapatikani basi itasikika sauti ya dj fetty wa clouds fm ikisema " airtel yatosha blah blah blah , then baadaye inakuja samahani, namba unayo piga haipatikani kwa sasa , then blah blah blah. Hapa kwenye samahani,namba unayopiga haipatikani kwa sasa ndo huwa balaa! Sauti imekaa kimahaba balaa, kila inapofikia hapo huwa lazima nisisimkwe! Wakati mwingine huwa nalowanisha boxer ! Nimenunua line mpya ya airtel maalumu kwa ajili ya kusikiliza sauti ya dj fetty, huwa naizima halafu naipiga ili nimsikie fetty nisisimkwe. Ebana ni nouma sana. Nimekubali, airtel yatosha


wewe sio mzima una ugonjwa unaitwa mfadhaiko. Yaani ukisikia sauti ya dj fetty unalowesha mzuka! Tatizo lako ni kuwa umatengeneza taswira kichwani na katika mawazo yako kiai kwamba ukisikia tu unavuja maji meupe. Huo ni upuuzi. Je umeshaangalia matokeo yako baada ya standardization?
 
wewe sio mzima una ugonjwa unaitwa mfadhaiko. Yaani ukisikia sauti ya dj fetty unalowesha mzuka! Tatizo lako ni kuwa umatengeneza taswira kichwani na katika mawazo yako kiai kwamba ukisikia tu unavuja maji meupe. Huo ni upuuzi. Je umeshaangalia matokeo yako baada ya standardization?

Fomu four nimemaliza mwaka 2002 wakati huo bado upo kwenu kisiwani ukara una vua samaki
 
Jamani mods hawa "Great Jingaz" kwanini msiwatengenezee jukwaa lao?
Eti Roulette hamna mpango wa kuanzisha walau ka sub-forum kwa ajili ya magreat jinga kama huyu jamaa??
Tusave space kwa ajili ya servers!
Kweli kabisa


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Njia moja wapo ya kutafuta likes hiyo,
Kwa akili ya fasta fasta huna mpenzi, bado mtoto mdogo maana ni rare mtu mzima kuzungumzia mambo mengine waziwazi, unapenda kufanya masturbation, huna mambo mengi ya kufikiria vilevile, ni mwanafunzi wa sekondari ambaye hutumia sana facebook hasa page zilizochoka, em nirekebishe hapo
 
duh,babu itakua unamfuatlia kinoumer yan uyo mama,coz mi na2mia eatel bt cjawai kumjua uyo binadam...!!so'ndo unamtaka dizain au ndo ushapaisha penalt yake af unakuja'ku2pumzkia umu co!!
 
Hembu mods tuma likes zangu nyingii tu kwa Kipipi kisha naunga mkono hoja ya kipipi asilimia mia. Kipipi umeweka Tabasamu usoni mwangu this night, cjui kama ntaweza mlipa mwanadamu mwingine wema kama huu wako ha ha ha ha ha.
 
Hembu mods tuma likes zangu nyingii tu kwa Kipipi kisha naunga mkono hoja ya kipipi asilimia mia u said it full. Kipipi umeweka Tabasamu usoni mwangu this night, cjui kama ntaweza mlipa mwanadamu mwingine wema kama huu wako ha ha ha ha ha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom