Divisions (Madaraja) yapangwa upya vijana wajiandae vizuri.Division one mwisho 13.

Hizi division one hazina thamani kama zamani...Imekua cheap sana.Juzi nashangaa kila mtu anampongeza mtoto wake divion one - hee! has it become so cheap?? Tusijekuwa tunatengeneza mazingira ya watoto kuonekana wana faulu vizuri kumbe kiuhalisia ni tofauti
 
Heading yako siielewi!!? Hayo ni maamuzi yako (ushauri) au ni maamuzi ya Serikali?
 
Back
Top Bottom