Divisions (Madaraja) yapangwa upya vijana wajiandae vizuri.Division one mwisho 13.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,455
21,167
Miaka ya hivi karibuni naona kuna mafuriko ya division one mpaka zimekosa thamani yake.

Sasa huu ni wakati sahihi kwa wizara ya elimu kurekebisha madaraja.

Madaraja mapya yanapaswa kuwa hivi;

  • Division one inapaswa iwe kuanzia one ya 7 mpaka 13. Inamaana kuwa ili mtu uhesabike umepata division one angalau uwe na A moja na B sita . Ukipata B flat (points 14) uhesabike una division two.
  • Division two ianzie 14 mpaka 19 . Inamaana ili uhesabike umepata division two basi angalau upate B mbili na C tano . Points 20 uhesabike kama division 3.
Division 3 ianzie points 20 mpaka 24. Inamaana ili uhesabike umepata division 3 basi angalau upate C nne na D tatu. Points 25 uhesabike kama division 4.
  • Division 4 ianzie points 25 mpaka 28 . Hii inamaana ili uhesabike una division 4 na upewe cheti basi angalau uwe na flat D .Ukiwa na points 29 na kuendelea uhesabike umepata Zero.
Kingine inabidi pafanyiwe marekebisho kwenye upande wa grades.

A ianzie 81 kama ilivyokuwa miaka ya nyuma na isiwe hii 75
 
Tangu mwaka 2012 walipanua magoli kweli kweli, ili kuwafurahisha wanasiasa. Sasa mnataka kuyapunguza upana. Mmejiandaa Kwa kelele za wanasiasa?

Anyway! Ndivyo ilivyo Elimu ya Tanzania (kuyumbishwa yumbishwa).

Na mimi Maoni yangu: kidato Cha pili wachujwe Kwa wastani wa kuanzia 30 (yaani apate D zote) ndipo awe na sifa ya kuingia kidato cha tatu. Siyo kama sasa D mbili tu zinamuingiza kidato cha tatu (ilifanywa hivyo ili kupunguza kelele za wanasiasa)
 
Tangu mwaka 2012 walipanua magoli kweli kweli, ili kuwafurahisha wanasiasa. Sasa mnataka kuyapunguza upana. Mmejiandaa Kwa kelele za wanasiasa?

Anyway! Ndivyo ilivyo Elimu ya Tanzania (kuyumbishwa yumbishwa).

Na mimi Maoni yangu: kidato Cha pili wachujwe Kwa wastani wa kuanzia 30 (yaani apate D zote) ndipo awe na sifa ya kuingia kidato cha tatu. Siyo kama sasa D mbili tu zinamuingiza kidato cha tatu (ilifanywa hivyo ili kupunguza kelele za wanasiasa)
Kwa kweli na hili pia walichukue wakalifanyie kazi.

Eti kijana anapata division 4 anaruhusiwa kuingia kidato cha tatu
 
Miaka ya hivi karibuni naona kuna mafuriko ya division one mpaka zimekosa thamani yake.

Sasa huu ni wakati sahihi kwa wizara ya elimu kurekebisha madaraja.

Madaraja mapya yanapaswa kuwa hivi;

  • Division one inapaswa iwe kuanzia one ya 7 mpaka 13. Inamaana kuwa ili mtu uhesabike umepata division one angalau uwe na A moja na B sita . Ukipata B flat (points 14) uhesabike una division two.
  • Division two ianzie 14 mpaka 19 . Inamaana ili uhesabike umepata division two basi angalau upate B mbili na C tano . Points 20 uhesabike kama division 3.
Division 3 ianzie points 20 mpaka 24. Inamaana ili uhesabike umepata division 3 basi angalau upate C nne na D tatu. Points 25 uhesabike kama division 4.
  • Division 4 ianzie points 25 mpaka 28 . Hii inamaana ili uhesabike una division 4 na upewe cheti basi angalau uwe na flat D .Ukiwa na points 29 na kuendelea uhesabike umepata Zero.
Kingine inabidi pafanyiwe marekebisho kwenye upande wa grades.

A ianzie 81 kama ilivyokuwa miaka ya nyuma na isiwe hii 75
Hii nzuri, hata ule wa ushenzi wa mtu ana D mbili anaenda certificate anaunga Diploma kesho mnamsikia ni mwanasheria/daktari msomi huu nao ni upuuzi.
Nchi kama SA kufika College tu bonge la sifa. Bongo siasa.
 
Miaka ya hivi karibuni naona kuna mafuriko ya division one mpaka zimekosa thamani yake.

Sasa huu ni wakati sahihi kwa wizara ya elimu kurekebisha madaraja.

Madaraja mapya yanapaswa kuwa hivi;

  • Division one inapaswa iwe kuanzia one ya 7 mpaka 13. Inamaana kuwa ili mtu uhesabike umepata division one angalau uwe na A moja na B sita . Ukipata B flat (points 14) uhesabike una division two.
  • Division two ianzie 14 mpaka 19 . Inamaana ili uhesabike umepata division two basi angalau upate B mbili na C tano . Points 20 uhesabike kama division 3.
Division 3 ianzie points 20 mpaka 24. Inamaana ili uhesabike umepata division 3 basi angalau upate C nne na D tatu. Points 25 uhesabike kama division 4.
  • Division 4 ianzie points 25 mpaka 28 . Hii inamaana ili uhesabike una division 4 na upewe cheti basi angalau uwe na flat D .Ukiwa na points 29 na kuendelea uhesabike umepata Zero.
Kingine inabidi pafanyiwe marekebisho kwenye upande wa grades.

A ianzie 81 kama ilivyokuwa miaka ya nyuma na isiwe hii 75
Haya ni maamuzi yako au ya serikali ??huelewekiii....subiri hadi mama akitoka uweke yako...sasa tunataka Div 1 hadi kiximkaxiiii
 
Back
Top Bottom