Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,343
Hazitoshi tembelea TCU 2018 Admission Guide.Akosomee nursing hizo alama zinatosha
Hazitoshi tembelea TCU 2018 Admission Guide.Akosomee nursing hizo alama zinatosha
Diploma a afya wana angalia cheti cha F4 tu sijui kwa nini? Inashangaza lakini ni kweli.Diploma hata kwa chetibcha form six anasoma mkuu
Ni program wanayotoa Open University unasoma kwa mwaka mmoja either science au arts na ukifaulu unakuwa na vigezo vya kujiunga na Open University degree courses. Sijajua vyuo vingine zinaikubali hiyo program kwa kiwango gani. Tembelea OUT website kwa maelezo zaidi.Kvp mkuu hyo foundation ?
Two principal passes, sio three.d ni mbili,jumlisha e ni moja,sasa e anazo mbili ,ukijumlisha unapata 4
Ushindani ni mkubwa, wanaofaulu ni wengiHata mimi sijajua ushindani wa sasa mkuu. Zamani ufaulu huo mtu hafikirii kabisa
Huyo haendi mpaka apitie Diploma .D
E
E
ualimu au mazingira kuleeeDegree hawezi..ajaribu diploma
kama umesoma gvt ipovp loan huwa ipo kwel
Hapo ahesabu maumivu kwa degree lakini Diploma ataweza kupata. Ingekuwa D, D, S pointi 14 angepata degree.D
E
E
Mwambie ajiajiri hapo education haikwepeki!hataki kusikia hayo makitu
Ha haaaa haaaaaa we Jamaa bwana!Enzi za kila kiumbe kusoma digrii zimeshakwisha. Zama zile kila mtu na vilaza wote waliomba kwenda degree hata awe na scores mbovu, huu ujinga umekwisha sasa na kama madogo hawasomi hakika jua na mvua ni haki yao. Wanapoteza mda mwingi wanaigiza maisha kana kwamba kuingia Advance ni sawa na kuwa kaole, shule iheshimiwe na watu wote
Hiyo kozi ya mifupa inaitwa bsc in prothestics and orthotics ...
Nayenyewe nimeangalia wanataka Awe na C ya kemia plus D na E...
Nenda kwenye website ya kcmc utaiona...
Kusema hataki kabisa diploma inaonyesha bado hana akili... We ngoja mambo yatapomfika shingon ndio atajitambua...
Kwa sasa aombe degree na wenda round ya kwanza akakosa, akikosa aombe tena round ya pili na tatu... Na akikosa kote akasome diploma!!
Huyo moja kwa moja ana anzia level ya diploma, kwa degree wana hitaji awe na ufaulu wa point 4 kwenye masomo mawili yani D + D....,
Muhimbili aiweke tu lakini achague na vyuma vingine pia . Hata kwa Kairuki ipo Nursing Degree
Asante.
Umenikumbusha wakati naingia CoET nakuta darasani nasoma na majitu yamepata Division One za 8 huko wakati watu tumekomaa kumamake tumetoka na One za 3 kali kinoma.
D
E
E
UsidhN hakusoma.mimi hist nilisoma sana na paper likaja easy ila matokeo nikapata Dmasikini, Dogo anavyolilia hapa. Hakuna namna ilimpasa akaze