Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,845
- 90,306
- Thread starter
- #141
St Francis Ifakara walizuiwa udahili wa MD.
Kwa pass mark hizo dogo hana budi kusoma diploma japo nazo zipo too competitive, akishindwa ajaribu degree nyingine mf ualimu. Karibu vyuo vyote sasa hivi vipo tight kwenye udahili. Mama Ndalichako kalikomalia sana la udahili, kama huna sifa haupati. Ukiingia kiujanjaujanja mbeleni cheti kitahojiwa na utapata tabu sana!![/QUOT
AISEEE!