Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
Kwahiyo ulishika hapo hapo! ili uje kutusumbua..?Mathayo 15:24..
jifunze kukosoa kitu ulicho kichunguza vizuri.
Kwahiyo ulishika hapo hapo! ili uje kutusumbua..?Mathayo 15:24..
Kumbe ndio unastick kwenye mstari mmoja? Hahaha, Biblia haisomwi hivyoMathayo 15:24..
Ndio nasema , Mohamad alikufa kibogoyo, ila Yesu aliechomwa mikuki , kupigwa makofi na kutemewa mate, alikufa soft kama mtoto mchanga , haya ni maajabu ya duniaNdio, Yesu alikufa kwa malengo makubwa, kwa Ukombozi wetu sisi sio kwa kuwalazimisha watu wabatizwe kuwa wakristo
Kinyume na waisrael nyie wengine mliitwa MBWA wala makombo na Yesu mwenyeweKumbe ndio unastick kwenye mstari mmoja? Hahaha, Biblia haisomwi hivyo
Mkuu, Yesu Kristo alikufa kwa ajili ya ulimwengu wote na kwaajili ya binadamu wote wenye mwili.
Nikiamua kukupa maandiko katika Biblia takatifu yapo mengi mno
Ila soma tu kwanza mstari common kuliko yote katika Biblia Yoh 3 :16, Pia soma
I Yohana 2:2
Waebrania 2:9
Hiyo tu kwanza inajibu swali lako kwa 100%
Hahaha, wewe nenda kaoge janaba, kumbe hata huna uelewa kwa kile unachokisikiaKinyume na waisrael nyie wengine mliitwa MBWA wala makombo na Yesu mwenyewe
Alikufa soft ndiyo nini, sema alikufa softly...kuchat na watu wasiojua kusoma wala kuandika ni ukichaaNdio nasema , Mohamad alikufa kibogoyo, ila Yesu aliechomwa mikuki , kupigwa makofi na kutemewa mate, alikufa soft kama mtoto mchanga , haya ni maajabu ya dunia
Mtume asiye na akili aliyewaahidi haya ndio mnamwamini enyi wauminNdio nasema , Mohamad alikufa kibogoyo, ila Yesu aliechomwa mikuki , kupigwa makofi na kutemewa mate, alikufa soft kama mtoto mchanga , haya ni maajabu ya dunia
Ajabu hiko wapi bwana mdogo , ata Adam aliumbwa kwanza , Mungu akaona amekuwa MPWEKE akamletea mwanamke, kuna ubaya gani sisi kuletewa wanawake peponi ambapo tutaishi milele?acha wivu , wewe jiandae ukaimbe imbe huko mbinguniMtume asiye na akili aliyewaahidi haya ndio mnamwamini enyi waumin
View attachment 1641799
Umetoka kwenye hoja umeanza kujadili maneno, huku ni kushindwa , unataka tuandike kama tunajibu mtihani huu ni ujinga , hoja ya msingi Yesu kafa bila jeraha ? maana unashangaa mtume kufa kibogoyo Kwa kipigo kile kadanganye watu kanisani kwako kuwa Yesu hakupata jerahaAlikufa soft ndiyo nini, sema alikufa softly...kuchat na watu wasiojua kusoma wala kuandika ni ukichaa
Unajua mnashindwa kupima hoja na ahadi za Mwamedi...!Ajabu hiko wapi bwana mdogo , ata Adam aliumbwa kwanza , Mungu akaona amekuwa MPWEKE akamletea mwanamke, kuna ubaya gani sisi kuletewa wanawake peponi ambapo tutaishi milele?acha wivu , wewe jiandae ukaimbe imbe huko mbinguni
Sitaki uandike kama unajibu mtihani, andika kwa usahihi maneno yasomeke, hii sio taraweeUmetoka kwenye hoja umeanza kujadili maneno, huku ni kushindwa , unataka tuandike kama tunajibu mtihani huu ni ujinga , hoja ya msingi Yesu kafa bila jeraha ? maana unashangaa mtume kufa kibogoyo Kwa kipigo kile kadanganye watu kanisani kwako kuwa Yesu hakupata jeraha
Umetoka kwenye hoja umeanza kujadili maneno, huku ni kushindwa , unataka tuandike kama tunajibu mtihani huu ni ujinga , hoja ya msingi Yesu kafa bila jeraha ? Kwa kipigo kile kadanganye watu kanisani kwako kuwa Yesu hakupata jerahaAlikufa soft ndiyo nini, sema alikufa softly...kuchat na watu wasiojua kusoma wala kuandika ni ukichaa
Wewe ni Mbwa kwa mujibu wa Yesu, tena sio MBWA wakaida ila mla makomboHahaha, wewe nenda kaoge janaba, kumbe hata huna uelewa kwa kile unachokisikia
Wewe ni sawa na Muddy (The only Illiterate prophet) aliyekiri kutojua kusoma wala kuandika
Makombe ndio nini?Umetoka kwenye hoja umeanza kujadili maneno, huku ni kushindwa , unataka tuandike kama tunajibu mtihani huu ni ujinga , hoja ya msingi Yesu kafa bila jeraha ? Kwa kipigo kile kadanganye watu kanisani kwako kuwa Yesu hakupata jeraha
Wewe ni Mbwa kwa mujibu wa Yesu, tena sio MBWA wakaida ila mla makombe
Kuna neno alisomeki ? kama alisomeki ulifikaje ukalikosoa kwa neno mbadala? au hujui unachoandika hapa !!Sitaki uandike kama unajibu mtihani, andika kwa usahihi maneno yasomeke, hii sio tarawee
Rejea tena 288, ukaone kilichokusudiwa haraka ya nini, rudi juu , hapa mipasho sio mahali pake, ni hoja kwa hojaMakombe ndio nini?
Kwanza unajiquote mwenyewe, Nenda katawadhe kisha ujibishane na wa msikitini wenzio wasijua kuandika kama wewe
Muhammad was Unlettered and Illiterate just like youKuna neno alisomeki ? kama alisomeki ulifikaje ukalikosoa kwa neno mbadala? au hujui unachoandika hapa !!
Peponi ni ahadi tu za Allah, Allah akisha ruhusu nani atapinga? unataka Allah akufungishe ndoa !! Ruksa ya Allah maana yake jambo lile ni halaliUnajua mnashindwa kupima hoja na ahadi za Mwamedi...!
Yaani huku mkatazwe kuzini, muambiwe oeni wanawake mwisho wanne ila eti ukifika peponi zawadi ni Ngono kwa wanawake 72....LAANATULAH HII
Mkatazwe kunywa vilevi hapa duniani ila eti kule Peponi ndiko mtakapokuta Mifereji itiririshayo Mvinyo.....ni akili ya muddy hii?
Quran na Hadith zote zina story za kustaajabisha sana
TAKIBIIIR... !
Hapa hakuna hoja ulichobaki ni kubweka kama mbwa, hivi ndivyo tunamaliza hoja nyepesi kama zakoMuhammad was Unlettered and Illiterate just like you
Go n bring your fellow educated Muslim to discuss the topic,
I can't discuss with an ignorant person as you
Mkuu nyamaza fanya kama amekushinda tu.Muhammad was Unlettered and Illiterate just like you
Go n bring your fellow educated Muslim to discuss the topic,
I can't discuss with an ignorant person as you
Huukibali huo mstari?,uliuliza imeandikwa wapi katika Biblia kama Yesu amekuja kwa wana wa Israel tu,nimekujibu unaanza porojiKumbe ndio unastick kwenye mstari mmoja? Hahaha, Biblia haisomwi hivyo
Mkuu, Yesu Kristo alikufa kwa ajili ya ulimwengu wote na kwaajili ya binadamu wote wenye mwili.
Nikiamua kukupa maandiko katika Biblia takatifu yapo mengi mno
Ila soma tu kwanza mstari common kuliko yote katika Biblia Yoh 3 :16, Pia soma
I Yohana 2:2
Waebrania 2:9
Hiyo tu kwanza inajibu swali lako kwa 100%