Dini ni Utamaduni wa watu fulani

Dini ni Utamaduni wa watu fulani

Sasa kama unajua kabisa hawakutajwa wewe umejuaje kama walikuwepo Afrika na hizo nchi ulizo zitaja ? Mboba huna umakini kabisa ? Au umeamua kukisia tu ?

Wewe nani amekwambia hao ambao hawakutajwa ndiyo walikuwepo huku Afrika ? Sasa hapa ndipo utakapo ona swali langu lina mantiki au halina ? Bila shaka utakuwa umeandika ili kujifurahisha, na ulitakiwa uishie kule kule na uaingetaja nchi ili uwe salama. Ila kwa kuja tako chini, hapa unatakiwa utuwekee ushidi. Nasubiri huo ushahidi.


Popote pale ambapo waliishi watu (umma) Allah aliwapelekea waonyaji, na huku kwetu Africa watu walikuwepo na wao walistahiki kupata muongozo kutoka kwa Allah, sisi Waafrika hatukulaanika au hatukuwa kama wanyama tushindwe kuletewa elimu ya Muongozo wa kumjua Allah.

Qur'an inasema katika kila umma humo alipita Muonyaji na huku kwetu nyimati za watu mbalimbalii zilikuwepo, pia Qur'an inasema kumwambia mtume (saw) sio mitume wote kahadithiwa habari zao.

Au unataka kusema katika zama za kina nabii Nuhu, Ibrahimu, Luti, Salehe, Suaibu, Zakaria (as) huku Africa, America, China, Australia, Mashariki ya mbali, India nk, hakukuwa na watu waliohitaji Muongozo wa Allah???.

Soma Qur'an na historia kwa Kutafakari.
 
Popote pale ambapo waliishi watu (umma) Allah aliwapelekea waonyaji, na huku kwetu Africa watu walikuwepo na wao walistahiki kupata muongozo kutoka kwa Allah, sisi Waafrika hatukulaanika au hatukuwa kama wanyama tushindwe kuletewa elimu ya Muongozo wa kumjua Allah.

Qur'an inasema katika kila umma humo alipita Muonyaji na huku kwetu nyimati za watu mbalimbalii zilikuwepo, pia Qur'an inasema kumwambia mtume (saw) sio mitume wote kahadithiwa habari zao.

Au unataka kusema katika zama za kina nabii Nuhu, Ibrahimu, Luti, Salehe, Suaibu, Zakaria (as) huku Africa, America, China, Australia, Mashariki ya mbali, India nk, hakukuwa na watu waliohitaji Muongozo wa Allah???.

Soma Qur'an na historia kwa Kutafakari.
Kijana mbona unazunguka sana, weka hizo aya na hizo historia tusome wote hapa, au huelewi nilicho kiandika nini ?
 
Chenu kilichobora ni kipi wewe muafrika??-- hiyo simu au laptop unayoitumia kuandika malalamiko yako hapa ni muafrika gani katengeneza???, Uchawi na kulogana na kuuana ndicho pekee mnachojua na maneno tu.

Usiwe na mawazo mafupi kama kimo cha chapati we we hapa tunaongelea mapokeo ya tamaduni za Wageni na kuzitukuza pindi ambacho tunaziacha na kuzizarau na kuzitukana tamaduni zetu
 
Usiwe na mawazo mafupi kama kimo cha chapati we we hapa tunaongelea mapokeo ya tamaduni za Wageni na kuzitukuza pindi ambacho tunaziacha na kuzizarau na kuzitukana tamaduni zetu


Nawe usiwe na akili kama kimo cha wembe.

Hata kama tamaduni zetu ni za kijinga tuuendelee kuzikumbatia??.

Mwenye akili ni yule anayekumbatia tamaduni za kistaarabu na kuacha za kishenzi, kwa maana hiyo sina maana kwamba tamaduni zetu zote ni za kishenzi. Tamaduni yoyote ya kistaarabu itokee popote lazima ikumbatiwe na mtu mwenye akili timamu.
 
Nawe usiwe na akili kama kimo cha wembe.

Hata kama tamaduni zetu ni za kijinga tuuendelee kuzikumbatia??.

Mwenye akili ni yule anayekumbatia tamaduni za kistaarabu na kuacha za kishenzi, kwa maana hiyo sina maana kwamba tamaduni zetu zote ni za kishenzi. Tamaduni yoyote ya kistaarabu itokee popote lazima ikumbatiwe na mtu mwenye akili timamu.
Mkuu si tamaduni zote zetu ni za kijinga, na si tamadunu zote za nje ni za kistaarabu tambua hilo.

Hoja hapa ni kwamba tunakumbatia za nje zaidi na kuacha zetu ziwe za kistaarabu au sio kistaarabu.

Leo hii tuna matabaka katika jamii zetu kwa sababu ya hizo tamaduni unazoita za kistaarabu.
 
Mkuu si tamaduni zote zetu ni za kijinga, na si tamadunu zote za nje ni za kistaarabu tambua hilo.

Hoja hapa ni kwamba tunakumbatia za nje zaidi na kuacha zetu ziwe za kistaarabu au sio kistaarabu.

Leo hii tuna matabaka katika jamii zetu kwa sababu ya hizo tamaduni unazoita za kistaarabu.



Utakuwa umenielewa, mimi siungi mkono taratibu za kukumbatia tamaduni za nje za kishenzi, mfano wavulana wa siku hizi kuvaa suruali "nusu mlingoti", hii ni tamaduni ya kimagharibi kama ishara ya ushoga.
 
Nawe usiwe na akili kama kimo cha wembe.

Hata kama tamaduni zetu ni za kijinga tuuendelee kuzikumbatia??.

Mwenye akili ni yule anayekumbatia tamaduni za kistaarabu na kuacha za kishenzi, kwa maana hiyo sina maana kwamba tamaduni zetu zote ni za kishenzi. Tamaduni yoyote ya kistaarabu itokee popote lazima ikumbatiwe na mtu mwenye akili timamu.

At least unaanza kuwa kijana mwenye kujitambua hilo nimelidhibitisha kwa kusema

" kwa maana hiyo sina maana kwamba tamaduni zetu zote ni za kishenzi"

Siongezi neno ila nakuonya usiwe unakurupuka
 
Kijana mbona unazunguka sana, weka hizo aya na hizo historia tusome wote hapa, au huelewi nilicho kiandika nini ?



Tafsiri ya Aya inayosema sio mitume wote Mtukufu mtume (saw) kasimuliwa habari zao ni hii:-

"Na kwa yakini tuliwatuma mitume kabla yako, wengine tumekusimulia na wengine wao hatukukusimulia----"
(40:78) Qur'an.

Tafsiri ya Aya inayosema kwamba mitume walitumwa katika kila umma ni hii hapa:-

" Na bila shaka tulimuinua mtume katika kila umma ya kwamba mwabuduni Allah na muepukeni muovu-----" (16:36) Qur'an.

Aya zingine zinazoungana na hiyo aya ni hizi hapa; 10:47, 13:7, 35:24.


Halafu nikusikie tena ukishikilia imani yako potofu kwamba waafrika na watu wengine hawakufikiwa na mitume kama kwamba sisi katika zama hizo tulikuwa kama manyani tusiostahili kupata muongozo wa Mungu ili nasi tuipate pepo pindi tulipofariki (wazee wetu wa zamani).
 
Tafsiri ya Aya inayosema sio mitume wote Mtukufu mtume (saw) kasimuliwa habari zao ni hii:-

"Na kwa yakini tuliwatuma mitume kabla yako, wengine tumekusimulia na wengine wao hatukukusimulia----"
(40:78) Qur'an.

Tafsiri ya Aya inayosema kwamba mitume walitumwa katika kila umma ni hii hapa:-

" Na bila shaka tulimuinua mtume katika kila umma ya kwamba mwabuduni Allah na muepukeni muovu-----" (16:36) Qur'an.

Aya zingine zinazoungana na hiyo aya ni hizi hapa; 10:47, 13:7, 35:24.


Halafu nikusikie tena ukishikilia imani yako potofu kwamba waafrika na watu wengine hawakufikiwa na mitume kama kwamba sisi katika zama hizo tulikuwa kama manyani tusiostahili kupata muongozo wa Mungu ili nasi tuipate pepo pindi tulipofariki (wazee wetu wa zamani).
Mpaka najiuliza kwanini hujibu swali nililo kuuliza, nimekwambia umejuaje kama kuna mitume walifika Africa na sehemu nyingine ulizo zitaja.
 
Mpaka najiuliza kwanini hujibu swali nililo kuuliza, nimekwambia umejuaje kama kuna mitume walifika Africa na sehemu nyingine ulizo zitaja.



Hivi wewe ni mtu wa aina gani usiyeelewa???!!, zama za manabii kadhaa wa kale waliotajwa ndani ya Qur'an mfano nabii Nuhu, Ibrahim, Luti, Salehe, Shuaibu, Yakubu, Yahya nk, huku Africa na sehemu zingine za dunia nje ya mashariki ya kati watu walikuwepo (nyimati za watu zilikuwepo), Ukiangalia muktadha wa hizo aya za Qur'an nilizoweka ni dhahiri manabii juu ya nyimati hizo walikuwepo pia, ni kwamba tu habari za manabii hao hazikusimuliwa, yaani Allah hakuona umuhimu wa kumsimulia mtume (saw) habari zao,

Mfano, Kuna habari ya Mchamungu Muhabeshi (seydna Luqman) imesimuliwa katika Qur'an, kama Qur'an (Allah) asingemtaja yawezekana tusingalijua kabisa kwamba huko Ethiopia (Uhabeshi) alitokea Mchamungu mmoja aiitwaye Luqman.

Kumbuka Katika zama za hao manabii niliowataja huku kwetu Africa na sehemu zingine za dunia nje ya mashariki ya kati Watu (sio wanyama tu) walikuwepo na wao walihitaji muongozo kutoka kwa Allah hivyo Allah aliwatuma manabii kuongoza/ kuwaonya nyimati zao.

Qur'an inatosha kuthibitisha hilo kwa mwenye akili, Qur'an ni kitabu cha watu wenye akili ya kutafakari aya zake.
 
Hivi wewe ni mtu wa aina gani usiyeelewa???!!, zama za manabii kadhaa wa kale waliotajwa ndani ya Qur'an mfano nabii Nuhu, Ibrahim, Luti, Salehe, Shuaibu, Yakubu, Yahya nk, huku Africa na sehemu zingine za dunia nje ya mashariki ya kati watu walikuwepo (nyimati za watu zilikuwepo), Ukiangalia muktadha wa hizo aya za Qur'an nilizoweka ni dhahiri manabii juu ya nyimati hizo walikuwepo pia, ni kwamba tu habari za manabii hao hazikusimuliwa, yaani Allah hakuona umuhimu wa kumsimulia mtume (saw) habari zao,

Mfano, Kuna habari ya Mchamungu Muhabeshi (seydna Luqman) imesimuliwa katika Qur'an, kama Qur'an (Allah) asingemtaja yawezekana tusingalijua kabisa kwamba huko Ethiopia (Uhabeshi) alitokea Mchamungu mmoja aiitwaye Luqman.

Kumbuka Katika zama za hao manabii niliowataja huku kwetu Africa na sehemu zingine za dunia nje ya mashariki ya kati Watu (sio wanyama tu) walikuwepo na wao walihitaji muongozo kutoka kwa Allah hivyo Allah aliwatuma manabii kuongoza/ kuwaonya nyimati zao.

Qur'an inatosha kuthibitisha hilo kwa mwenye akili, Qur'an ni kitabu cha watu wenye akili ya kutafakari aya zake.
Naona unaruka ruka nimekuuliza swali dogo hujibu, unatoa maelezo mbali kabisa.

Unafikiri dini inaendeshwa kwa nadharia na mawazo ya mtu binafsi siyo ? Tunataka ushahidi wa hayo unayo yasema.

Ulichotakiwa wewe ni kukoma pale pale ilipo ishia aya ila kuleta ujuaji kama huu ndiyo maana swali limekushinda. Sasa unatakiwa uwe makini, hii ni dini.

Ahsante.
 
Mfano, Kuna habari ya Mchamungu Muhabeshi (seydna Luqman) imesimuliwa katika Qur'an, kama Qur'an (Allah) asingemtaja yawezekana tusingalijua kabisa kwamba huko Ethiopia (Uhabeshi) alitokea
Sasa kama unalijua hili kwanini unaendelea kuandika ujinga ? Maana yake kama usingeambiwa na Qur'aan hili usingelijua kwa lolote, lakini kwanini sasa umesema Afrika walikuwepo mitume hali ya kuwa hujaambiwa umejuaje kama walikuwepo huku ?

Pili, nani alikwambia mzee Luqman alikuwa Muhabeshi ?
 
Binafs ni Muislam ila msikitin naendaga zaid kwajili ya kufaidi ile social interaction kujumuika na jamii inayonizunguka.

Ujue haingii akilini kufanya ibada, kuomba dua tuombe kwa lugha ya kiarab wakati dailly tunaongea kiswahili na Malaika wanandika madhambi na mema yetu tunayozungumza hata iwe kwa lugha zetu mama(kikabila).

Jaman M/mungu sianafaham lugha zote sasa inakuaje atupe shida ya kumuomba kwa lugha za kigeni...?
 
Binafs ni Muislam ila msikitin naendaga zaid kwajili ya kufaidi ile social interaction kujumuika na jamii inayonizunguka.

Ujue haingii akilini kufanya ibada, kuomba dua tuombe kwa lugha ya kiarab wakati dailly tunaongea kiswahili na Malaika wanandika madhambi na mema yetu tunayozungumza hata iwe kwa lugha zetu mama(kikabila).

Jaman M/mungu sianafaham lugha zote sasa inakuaje atupe shida ya kumuomba kwa lugha za kigeni...?
Ajabu mzee, huwezi kukuta adhana inapigwa kwa kiswahili
 
Binafs ni Muislam ila msikitin naendaga zaid kwajili ya kufaidi ile social interaction kujumuika na jamii inayonizunguka.

Ujue haingii akilini kufanya ibada, kuomba dua tuombe kwa lugha ya kiarab wakati dailly tunaongea kiswahili na Malaika wanandika madhambi na mema yetu tunayozungumza hata iwe kwa lugha zetu mama(kikabila).

Jaman M/mungu sianafaham lugha zote sasa inakuaje atupe shida ya kumuomba kwa lugha za kigeni...?
Shida unaona wewe ambaye hauko makini na Dini yako, kama unakubali hakuna aliye zaliwa anajua, huu unabakia kuwa ni uzembe wako, sisi huki Wamwala/Wamwera lakini tumejifunza Kiarabu na tunafanya ibada kwa lugha hiyo kama wewe ulivyo jifunza kuandika na kusoma kwa lugha ya Kiswahili kisha ukajua.

Pili, wewe ni muongo, Allah ameweka utaratibu wa kutumia Kiarabu pekee ukiwa kwenye sala, ila nje ya sala una omba dua kwa lugha yoyote na Allah anasikia na kujibu dua.

Matumizi ya Lugha moja huu ni utaratibu na una umuhimu wake, wa kuwaweka watuwa tofauti kwa rangi na lugha sehemu moja na kuwaunganisha kwa lugha moja, ndiyo maana leo hii wewe hata ukienda Uchina msikitini una sali bila shida yoyote.
 
Basi kama ungejua katika Quran wametajwa manabii na mitume 25 kati ya hao waarabu ni 5 tu hao wengine waliobaki wengi ni Bani Israil na wachache ni wasami(Semitic).
Sikatai kunabaadhi ya waislamu wana copy na ku paste baadhi ya utamaduni wa waarabu.ila sio vibaya ku copy kitu kizuri.
Je, fikilia mpaka leo tungekuea tuna vaa kaniki na ngozi za wanyama ingekuwaje.
Mkuu unamawazo mazuri na siwezi kukupinga maana ni mawazo yako.ila kuna baadhi ya sehemu kidogo umeteleza naona utakuwa ujafanya tafiti na unaoneka hujajua maana ya hivyo vitu.
(1)mfano namba 5 sanaa na ubunifu umetaja MWEZI.Mwezi kwenye Quran umeelezwa kuwa tumeletewa kwa ajili ya kujua siku na tarehe.
Ndio maana hadi leo tuna sema siku flani mwezi wangapi.hiyo haipingiki.
Na kuona baadhi ya misikiti kuna alama ya mwezi hiyo kwasababu kuweka utofauti ya nyumba ya kawaida na nyumba ya ibada mtu akiona alama fulani ajue kile ni kitu fulani waislamu waenzi hizo wakachagua mwezi.
Kama kuna Waarabu wanaabudu mwezi niwao ila haiusiani na uislamu maana sio kila muarabu ni muislamu.
Kama Mwezi usinge kuepo maana tusinge jua leo nisiku gani na mwezi wangapi.
 
Sio Africa tu bali duniani pote pale ambapo watu waliishi Allah aliwapelekea waonyaji (mitume) ili watu hao wamuabudu Allah pekee ambalo ndilo kusudi la kuumbwa kwetu, Mtu akikosa Muongozo huwa mshirikina.

Mtume (saw) kuna manabii amehadithiwa habari zao na Mungu na wapo ambao hakuhadithiwa, ambao hakuhadithiwa ndio wale waliokuja kwa ajili ya watu wa Africa, Australia, America ya kusini na kaskazini, China nk, manabii wengi waliohadithiwa habari zao ni kutoka Mashariki ya kati.
We umejuaje Sasa kama huyo mo hakuhadithiwa?? AU Allah alikuhadithia wewe au umeamua tu kusema kuwa tuliletewa
 
Back
Top Bottom