Na wewe kiokote kutoka kwa huyo mwanazuoni wako, thibitisha
Hili kwangu rahisi sana, sababu huwa nakujua ni mtu wa kukimbia maswali, wewe nithibitishie kisha nakuwekea ushahidi.
Quran (Allah) anatutaka tutumie akili katika kutafakari maudhui aya zake, wewe kwa ujinga na ububusa wako unadhani akili ulizopewa ni kwa ajili ya kukariri aya za Quran na kuvukia barabara tu, akili uliyonayo ni ya "Majini-paka" na "Majini- nyoka", akili yako imelala doro.
Safi kabisa, kweli kabisa Qur'aan inatutaka tufikiri tena sana, ila tufikiri kwa usahihi, na hakuna tafakari mbele ya nususi za kiseheria yaani Qur'aan na Hadithi, Qur'aan inapo hukumi jambo na kuliweka wazi hapo akili yako inatakiwa kufata jambo hilo na kulifanyia kazi kwani hakuna kinyume chake. Qur'aan iliposema ya kuwa kuna habari za mitume wengine mtume hajafunuliwa ujue hakuna anae zijua habari hizo ila Allah peke yake, na akili yako inatakiwa ifanye na kukiri utukufu wa Allah.
QUR'AN inahitaji wetu wenye akili na sio Mabubusa.
Qur'aan inataka wenye kutumia akili na kufanya tadaburi na haiwataki wenye akili, kwani hata wewe una akili ila bado ni zwa zwa na hufikirii kwa usahihi, hakuna aya inayosema Qur'aan inataka wenye akili, bali wenye kutumia akili na kutafakari.
Eti kwa mawazo yako ya hovyo; kipindi nyimati za mashariki ya kati wamepewa manabii kuwaongoza kumcha Allah huku Africa na sehemu zingine za dunia hakukuwa na watu waliohitaji Muongozo kutoka kwa Allah!!!??--- a shere stupid imbecility, sisi waafrika tulikuwa na laana gani kipindi hicho tukakosa neema ya manabii???, je tulikuwa kama wanyama au zama hizo huku hakukuwepo na watu ??!!.
Nacheka sana, usipate shida, weka ushahidi bwana mdogo.
Mimi nipo hapa nasubiri huo ushahidi.
Mjinga hawezi kujiuliza hayo maswali bali mwenye akili ya kutafakari maneno ya Allah.
Wenzako Mayahudi walipotea kwa sababu ya kuuliza uliza maswali, siyo tu maswali bali walikuwa wana uliza maswali ya kijinga kama haya uliyo uliza wewe na yanao nyesha huujui Uislamu, kwahiyo hatuangalii kuuliza maswali bali tunaangalia unauliza nini na je umepatia kuuliza hayo maswali, kwa ujinga wako wewe unaweza kuuliza "Je yule mbwa wa vijana wa Pangoni, alikuwa jike au dume au alikuwa ana rangi gani ?" kisha ujione kwamba una akili, aisee Qur'aan haitutaki tuhoji ujinga bali tuhoji vya maana.
Allah akuongize, akuondolee kibri cha "ujuaji" unyenyekee kwake ukilia kwa machozi huku ukiomba dua hii; "Ee mola wangu mimi sijui kitu nawe ndiye mjuzi wa kila kitu nizidishie elimu na uniruzuku ufahamu".
Safi.
Sasa tuletee ushahidi wa ile "Commentary" uliyo tuwekea, kijana huwa una tabia ya kutia huruma sana baada ya kuona mambo yamekuwa magumu kwako na kuanza kunitupia lawama za "Ooh najiona mjuaji mara Ooh nina kibri".
Sasa Itifaki lazima izingatiwe, hii dini imekamilika na hatutaki vya kuzua.