Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
dada mkubwa mi mdogo lakini mzoefu ujue!nitake radhi!ndo nilikuwa nakuchungulia hapo chini nikawa nasubiria madongo, lol!
utu uzima dawa, sasa tumewaachia wadogo zetu akina snowhite....
salama lakini rafiki?
Siku hizi niliamua kuwa mpitaji yu....ila bishosti kanfanya nigune...
Tushakuwa watu wazima sie kama anasubiri mfupa udongoke atasubiri forever, tushavuka hiyo stage.
huyu hana lolote mwizi wa mume mtu halafu anajiona bingwa.
angejua akitangaza vita awe na kifua, mbona yanamshinda anayaleta huku??
kama kijike kweli amfwate akamwambie haya.
anajitia kujamba humu ilihali akimwona angwaya, angekuwa anatimiziwa yote asingefurukuta hapa
amuwache mama wa watu apumuwe na ndoa yake jamani. hajui walikaotoka na walivuka vingapi.
kazi ipo mbona mnamsuta mtu amekimbia!!
ha haaa, sawa mdogo wangu nisamehe basi, lol!dada mkubwa mi mdogo lakini mzoefu ujue!nitake radhi!
we unafikir babu ana hasira na mtuhumiwa mchezo hakumtendea haki minor bana!
......I cant agree more gfsonwin, yaani huyu hana lolote zaidi ya kujishaua tu humu kwa kutuletea maneno ya kwenye khanga! daaamn!
wewe mume wa mwenzio acha kabisa, muhurumie mwanamke mwenzio. Kuiba uibe halafu utake na hati miliki wapi na wapi. Kwenye jamii wa design yako adhabu yako huwa ni.........
ngoja niishie hapa maana naona ban inaweza kunihusu.
King'asti ninawajua hawa akina ANNA acha kabisa, huwaga wanajitia kelele nyingiiiiiiiiiiiiii, ilihali wanategemea hadi chupi toka kwa hawara. kimbembe siku hawara akaikunjuka utaona huruma.atatuliaje nae kapewa lifti honi inamuwasha. hahaha wa mbili havai moja dada. kama umeandikiwa ukimada bhaaaaasss, ukipewa chnge acha kupiga makelele. si utulie basi kona yako?
mwalimu gfsonwin, asante kwa recap lmao
Odinga akishinda nidai kiloba
Sa niwaambie mtu ana digirii mbili za ulaya. Kaacha mume kaolewa na wine. Anazifakamiaje. Hadi huruma.
huyu hana lolote mwizi wa mume mtu halafu anajiona bingwa.
angejua akitangaza vita awe na kifua, mbona yanamshinda anayaleta huku??
kama kijike kweli amfwate akamwambie haya.
anajitia kujamba humu ilihali akimwona angwaya, angekuwa anatimiziwa yote asingefurukuta hapa
amuwache mama wa watu apumuwe na ndoa yake jamani. hajui walikaotoka na walivuka vingapi.
mi dada langu nalipendaga hapa tuuu!nikipumzika lenyewe linamakata kijiti!
King'asti...........utamchezea kwa kulalwa lkn sio kwenye mipango.
kumbe wanasutana?
nikajua wanaelezana ukweli
kwi kwi kwi kwi kwikwi...
Nakuonea huruma bidada. Kama mwenye digrii mbili yuko hivyo ninavomjua sijui we mwenye nyingi hali yako ikoje. Vp na we wine unakunywa?
what am missing here? You mean huyu ni mmoja wakinaanna?