BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Unamjua. Si ni wewe ulimsaidia kufuta zile sms nilizotuma humu JF eti asiadhirike. Poa lakini ujumbe umefika na lengo limefanikiwa. Yupo home, nimemwambia saa 12 jioni isimkute nje ye kawahi sa 11. Sa niwe na ugomvi tena wa ni?
mwanamke anayejiamini anakuja kupiga kelele kwenye mitandao?
Acha wanaume wawaone wanawake mataahira(sio wote jamani baadhi tu msitoke povu)
Reply With Quote