nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Mi niko pouwa. Ila majukumu yameniwekea spidi gavana. Lol.
Ila si kuwa nimepotea jumla, nachungulia chungulia kama hivi; nkiona povu inakuwa ngumu kusoma kimya kimya, lazima nigune.
Ila si kuwa nimepotea jumla, nachungulia chungulia kama hivi; nkiona povu inakuwa ngumu kusoma kimya kimya, lazima nigune.
ndo nilikuwa nakuchungulia hapo chini nikawa nasubiria madongo, lol!
utu uzima dawa, sasa tumewaachia wadogo zetu akina snowhite....
salama lakini rafiki?