- Thread starter
- #21
na huyu bwana ulizaa nae hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/67475-mwenzenu-hii-mimba.html?highlight=
Hilo la kweli. Kuna shida?
na huyu bwana ulizaa nae hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/67475-mwenzenu-hii-mimba.html?highlight=
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/61237-kama-natoka-na-mumeo.html?highlight=Umenisoma
Karibu bishost. We una digrii ngap?
mbana unamfuatilia sana huyu mama?tulia na jamaaKama hizo ndio digirii bora mie nisokuwa nazo. Watoto boding. Mume kachapa lapa. Ni yeye, housegerl na wine. Sa hapo kazi ya housegerl nini kama si kudeki matapishi ya bosi akishakolea wine.
wewe kinakuuma nini?Sa niwaambie mtu ana digirii mbili za ulaya. Kaacha mume kaolewa na wine. Anazifakamiaje. Hadi huruma.
mbana unamfuatilia sana huyu mama?tulia na jamaa
Unamjua. Si ni wewe ulimsaidia kufuta zile sms nilizotuma humu JF eti asiadhirike. Poa lakini ujumbe umefika na lengo limefanikiwa. Yupo home, nimemwambia saa 12 jioni isimkute nje ye kawahi sa 11. Sa niwe na ugomvi tena wa ni?
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/61237-kama-natoka-na-mumeo.html?highlight=
Huna jipya,wewe usiekuwa na degree mbona amekushinda?jana umekuja unalialia hapa,umepewa za uso ukaamua kuifuta thread
mie ninazo nyingi mwali manake ya mwisho niliipata ulipotangaza vita hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusia...a-vya-panzi-furaha-ya-kunguru.html?highlight=
Sophy huyo jamaa na wewe atakushinda tu,mfupa ulimshinda fisi wewe utauweza?kama alimcheat aliyefunga nae ndoa kanisani atakushindwa wewe?pozeoKahonga mwenyewe wenye mtandao wakazifuta. Lakini yameisha yuko home, kusameheana kawaida. Ile ilikuwa ni sindano nilimchoma kutibu kibri, sasa kapoa sina sababu ya kuendeleza wakati keshaomba amani. Kama ulisherehekea imekulaje kwako. Kimekunukia upyaaa. Kama wa kiume kuna mwanamke anakuhitaji sana yuko huko anakeshea wine. Tatizo kajikondesha ati ndo usomi, kama unapenda zilizosinyaa mbona yupo kajaa tele na wine utapewa kila siku anajaza kapu supermarket.
Nakuonea huruma bidada. Kama mwenye digrii mbili yuko hivyo ninavomjua sijui we mwenye nyingi hali yako ikoje. Vp na we wine unakunywa?
Kahonga mwenyewe wenye mtandao wakazifuta. Lakini yameisha yuko home, kusameheana kawaida. Ile ilikuwa ni sindano nilimchoma kutibu kibri, sasa kapoa sina sababu ya kuendeleza wakati keshaomba amani. Kama ulisherehekea imekulaje kwako. Kimekunukia upyaaa. Kama wa kiume kuna mwanamke anakuhitaji sana yuko huko anakeshea wine. Tatizo kajikondesha ati ndo usomi, kama unapenda zilizosinyaa mbona yupo kajaa tele na wine utapewa kila siku anajaza kapu supermarket.
wewe kinakuuma nini?
Hahahhahahahahahahaha
lakini si ukae kimya? Shida hiko wapi? Bado unamtaka? Kwani yule kakuacha?
Pole sana kuku karudi kwenye banda lake la kudumu! Watoto hawajambo?
tusalimiane kwanza sophy banaa!Kinamuuma mwenyewe mi kiniume nini. Ye kataka digrii na wine. Na cheti cha ndoa na pete. Keshavipata. Kama kuna kinachomuuma kinamhusu sio mimi. Mimi nimekipata changu ninachokipata. Na pete navaa, ziko tele kwa masonara hela yako tu.
Hahahahahahahha
Pole sana muombe mungu akupe kuku wako hili kila siku aingie kwenye banda ulilo tengeneza.