Digirii haitunzi mume

Digirii haitunzi mume

ha ha ha, nina miguu mirefu kweli
naogopa kuangukia pua.

step mom, kama unajua jinsi ya kuruka treni ikingali kwenye mwendo weeh dandiaga tu kwa mbele. usisahau kushikilia high heels mkononi lmao
 
Hahahahahahahaha
muonee huruma sasa ana walisha watoto akirudi anasema amemfungia jogoo bandani!
Aisee upweke mbaya sana!

rutta mi kesi yangu huwa haiishi i see!af nina kumbukumbu sifai!
waulize Dark City na @Fp
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahaha
muonee huruma sasa ana walisha watoto akirudi anasema amemfungia jogoo bandani!
Aisee upweke mbaya sana!
ahahahahhahhahah atazalishwa saaaaana!
watu na vimini vyetu tunapiga kitu cha wine!af pana chezya kabisa nguvu ya wine fasi ya maso
jogoo linawikaje na jua lipo utosini!ahaahhahahhahahhaa hebu nicheke mie mwalimu wa watu!
 
Hahahahahahahahahahaha
bila shaka mungu atamkumbuka nae mwaka huu atapata jogoo wake wa kumuweka ndani!
Tuzidi kumuombea mwalimu!
ahahahahhahhahah atazalishwa saaaaana!
watu na vimini vyetu tunapiga kitu cha wine!af pana chezya kabisa nguvu ya wine fasi ya maso
jogoo linawikaje na jua lipo utosini!ahaahhahahhahahhaa hebu nicheke mie mwalimu wa watu!
 
Da Sophy will be back after short break!
 
Last edited by a moderator:
Ruttashobolwa, snowhite, King'asti, Kongosho, Azote.......
good job.
Chhezeya kuiba mume wa mutu weye, ambaye unamwona kwa madakika, kwa nini usichanganyikiwe ukiwa na ukame!
hapo pata picha mtoto anaumwa, halafu mwenye mume wake anasema tuwatoe watoto kubembea, lol!
hapo ndo patamu..... wewe mwananyamala peke yako, mwenzio mary brown na first family.... utajibeba
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi niliamua kuwa mpitaji yu....ila bishosti kanfanya nigune...
Tushakuwa watu wazima sie kama anasubiri mfupa udongoke atasubiri forever, tushavuka hiyo stage.
ndo nilikuwa nakuchungulia hapo chini nikawa nasubiria madongo, lol!
utu uzima dawa, sasa tumewaachia wadogo zetu akina snowhite....
salama lakini rafiki?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom