Digirii haitunzi mume

Digirii haitunzi mume

ngumbaru kimada hahhahaha! TIMING, njoo kamanda mi natamani ucheke hapa. akili ya kikong'ota!

kamanda acha kabisaaaa, mwezi wa toba huu, naiona hiyo ndala inavyohangaika kuvuka mlango wa chooni japo ifike chumbani

hebu isugueni tena mtumie brashi la choo itakate, wageni wakija chooni basi waivae, wakiondoka waiache hapo hapo.... ikishatumika mwezi ianikeni juani iondoe harufu

kwi kwi kwi kwi kwi....
 
hehehe, ndo ajue wenzie mjini hatukuja kwa kuoga wala kwa mbio za mwenge. born hia hia na kuondolewa mjini ili tusome madigirii .engi mengi!
afu usimuite mwenzetu manake hayuko level yetu. yeye ni KIMADA. hiyo jukumu yake hadi Yesu ama mtume aingilie kati ama sivyo atabakia kula makombo!
Kivumbiii na kwa nini Da Sophy umekimbia sasa???

Chezea watoto ya mujini wewe?. snowhite & King'asti mmemvuruga mwenzenu
 
Last edited by a moderator:
angekuwa
anafurahia
kibamia angetulia tuliii. raha ya kibamia asubuhi, unaamka unakiona
kinavyopata uhai na kufikia full size. sasa small hausi hadi ubakishiwe
mapovu saa ngapi utafurahia. mtu anakuja macho yako kwenye saa,
anaparamia awahi kwake. hahahaha, leo ni leo.

hahahaaa,eti macho kwenye saa...hao wezi wakiona owner yuko busy
hafwatilii wanakosa raha,wanaanza kutafuta bifu la lazima na nyumba
kubwa..duuh mmeshusha makombora mpaka kasepa
 
umeona eeh. who wants to wrestle with a pig? hata paw akitembea na mwanamke wa hivi nitamdharau hadi nitashindwa kupata kilele aisee. mwanamke hana staha! hata kusema mbele za watu natembea ma mume wa mtu sitodhubutu manake ni aibu!
staha ni malezi

kumwibia tu mtu mme ni aibu, sasa kujisifia kwa kumuiba jumla ni kipaji.
 
King'asti ndio ujue binadamu wapo wa tofauti sana! Hivi kuna haja gani ya kuhangaika na jogoo kama una uwezo wa kupata jogoo wako ukamfuga?
Ukiona mtu anafanya hivi ujue jogoo kaisha mkimbia na hawezi kumpata mwingine!

umeona eeh. who wants to wrestle with a pig? hata paw akitembea na mwanamke wa hivi nitamdharau hadi nitashindwa kupata kilele aisee. mwanamke hana staha! hata kusema mbele za watu natembea ma mume wa mtu sitodhubutu manake ni aibu!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahhahaha
ana rudi muda si mrefu, pengine akaja na uzi mwingine!
Hakuna ugonjwa mbaya kama kuto kujiamini hata uende kwa waganga huwezi kupona!

hahahaaa,eti macho kwenye saa...hao wezi wakiona owner yuko busy
hafwatilii wanakosa raha,wanaanza kutafuta bifu la lazima na nyumba
kubwa..duuh mmeshusha makombora mpaka kasepa
 
Wenye jogoo yenu nyumbani mnawindwa sana!

aahahahhahha wantupatia wapi sasa!
ujuzi wa akili tunao na hayo madegree yanayowapa presha
ushangingi wa mujhini umejaa tele
sala na rozali hapa ndo mwake
hekima ukweni ndo mpango mzima
uchumi pande za akaunti ndnyo kama vile
usafi na goti la kingoni mwanzo mwishoooo
kukagua madaftari ya watoto halali wa majogoo yetu ndo kama kadawia
wanatukamatia wapi sasa
injili nachezza,taarabu naijua,song of lawino naifundisha,umbenglesha nairuka,marxist theorry na madarwin nayaaply !ahahahahhahahha ukiingia anga zangu lazima usubiri sana taa izimwe i see!mno!
 
kuna kazi aisee

umeona eeh. who wants to wrestle with a pig? hata paw akitembea na mwanamke wa hivi nitamdharau hadi nitashindwa kupata kilele aisee. mwanamke hana staha! hata kusema mbele za watu natembea ma mume wa mtu sitodhubutu manake ni aibu!
 
hahaha, to start with jogoo hakuwa wake. kafungua mlango wa uani jogoo wa jirani kaingia
sasa jogoo giza limeingia karudi kwaoooo, anajisifia mjnja. yaani unifugie kuku wangu mchana ujigambe wewe mjanja. aahahahhhahahha! kweli mjini cha kushangaa sio mghorofa!
King'asti ndio ujue binadamu wapo wa tofauti sana! Hivi kuna haja gani ya kuhangaika na jogoo kama una uwezo wa kupata jogoo wako ukamfuga?
Ukiona mtu anafanya hivi ujue jogoo kaisha mkimbia na hawezi kumpata mwingine!
 
Last edited by a moderator:
baelezeee baelezeee!
aahahahhahha wantupatia wapi sasa!
ujuzi wa akili tunao na hayo madegree yanayowapa presha
ushangingi wa mujhini umejaa tele
sala na rozali hapa ndo mwake
hekima ukweni ndo mpango mzima
uchumi pande za akaunti ndnyo kama vile
usafi na goti la kingoni mwanzo mwishoooo
kukagua madaftari ya watoto halali wa majogoo yetu ndo kama kadawia
wanatukamatia wapi sasa
injili nachezza,taarabu naijua,song of lawino naifundisha,umbenglesha nairuka,marxist theorry na madarwin nayaaply !ahahahahhahahha ukiingia anga zangu lazima usubiri sana taa izimwe i see!mno!
 
hahaha, to start with jogoo hakuwa wake. kafungua mlango wa uani jogoo wa jirani kaingia
sasa jogoo giza limeingia karudi kwaoooo, anajisifia mjnja. yaani unifugie kuku wangu mchana ujigambe wewe mjanja. aahahahhhahahha! kweli mjini cha kushangaa sio mghorofa!
ahaahhahah af na ye ujiite mfugaji!
kumbaff!
 
something is 'vere much' boiling here.

Najaribu kuelewa sielewi, nahisi nimedandia treni kwa mbele.
ni mambo tu ya dadas forever iwe mwenye dongo namjua au simjui hii kesi nimeinunua !
na walahi atajuta!na si unanijua nikikomalia kitu!
cc Da Sophy
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahaha
mwl snowhite umemaliza bila shaka kazi hipo alaf jogoo bwana akimuwekea ulinzi wala akupi shida!

aahahahhahha wantupatia wapi sasa!
ujuzi wa akili tunao na hayo madegree yanayowapa presha
ushangingi wa mujhini umejaa tele
sala na rozali hapa ndo mwake
hekima ukweni ndo mpango mzima
uchumi pande za akaunti ndnyo kama vile
usafi na goti la kingoni mwanzo mwishoooo
kukagua madaftari ya watoto halali wa majogoo yetu ndo kama kadawia
wanatukamatia wapi sasa
injili nachezza,taarabu naijua,song of lawino naifundisha,umbenglesha nairuka,marxist theorry na madarwin nayaaply !ahahahahhahahha ukiingia anga zangu lazima usubiri sana taa izimwe i see!mno!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha
Umempa copy wakati anakuja na track mpya!

ni mambo tu ya dadas forever iwe mwenye dongo namjua au simjui hii kesi nimeinunua !
na walahi atajuta!na si unanijua nikikomalia kitu!
cc Da Sophy
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahaha
mwl snowhite umemaliza bila shaka kazi hipo alaf jogoo bwana akimuwekea ulinzi wala akupi shida!

we unafikir JHEURI HII! NAITOA WAPI!
ahahahahhahahahhahah af nikute mtu anatukana tukana tu mdada wa watu hapa kisaaaa!
 
step mom, kama unajua jinsi ya kuruka treni ikingali kwenye mwendo weeh dandiaga tu kwa mbele. usisahau kushikilia high heels mkononi lmao
something is 'vere much' boiling here.

Najaribu kuelewa sielewi, nahisi nimedandia treni kwa mbele.
 
Back
Top Bottom