Bukuku, nimepitia taratibu hayo ambayo umeyaita ni "academic" works. Na nimeelewa kinachosemwa vizuri sana. Na inafurahisha kuwa mtu ambaye wewe unamuita "dikteta" anaoneshwa katika mwanga wa sifa na shangwe labda kuliko Mwafrika mwingine yeyote. Dikteta Nyerere anasifwa na ukiondoa wewe na wachache wa siku hizi hakuna mtu yeyote kati ya hao uliowanukuu hapo amemtaja Nyerere kama Dikteta. Dikteta asiyejulikana na watu wake.
Tunaambiwa Nyerere ndiye aliyeweka mkazo katika hili la uvumilivu wa kidini na sifa hizo hapewi mtu mwingine yeyote.
The current president of the United Republic of Tanzania,Jakaya Kikwete, affirmed this in a speech he gave atBoston University (U.S.A.) on September 25, 2006 inwhich he said, The political unity and religious tolerancethat we pride ourselves in did not come by accident. It isa product of deliberate action and the vision of leaders ofTanzania from the founding president, the late MwalimuJulius Nyerere, to the present
thanks to the remarkableforesight of our founding president
specific actions weretaken to engender tolerance in matters of faith andmanage potential cracks to our country.
Kikwete ambaye leo hii amekuwa muumini kuwa Nyerere aliwakandamiza Waislamu na kuwa chini yake ndiko kulikuwepo udini (japo hasemi hivyo wazi lakini kwa ukimya wake na wa serikali yake anabariki) amekiri miaka miwili tu iilyopita maneno hayo. Na tunaambiwa Umoja wa Mataifa miaka kumi baada ya kifo chake ukampa heshima ya kuwa Shujaa wa Haki za Jamii.
October 2009, Nyerere was namedposthumously, "World Hero of Social Justice" by the UNGeneral Assembly
Katika legacies zake waandishi wetu wanabalance ukweli wa kihistoria juu ya Nyerere.
Ali Mazrui (a contemporary of Nyerere) anasema eloquently -
Nyerere's policies of ujamaa amounted toa case of heroic failure. They were heroic becauseTanzania was one of the few African countries whichattempted to find its own route to development instead ofborrowing the ideologies of the West. But it was a failurebecause the economic experiment did not deliver thegoods of development. On the other hand, Nyerere'spolicies of nation-building amount to a case of unsungheroism. With wise and strong leadership, and withbrilliant policies of cultural integration, he took one of thepoorest countries in the world and made it a proud leaderin African affairs and an active member of the global
community. "
Mazrui hamuoni Nyerere kama Dikteta!
Mwandishi mwingine anasema,
a creative conceptualizer, a far-sighted pioneer, a selflessrole model, an almost dangerously courageous championof righteous campaigns in Africa and the Third World as awhole, a fearless confronter of nations and institutionsthat tried to interfere with Tanzania's self-determination, aunifier of a vast and diverse economy and people, and aman of the people (Resnick, 1996). The Guardian, UK(15 October, 1999)
Ambacho nimependa ni hitimisho la hawa wasomi uliowaleta;
It is an unquestionable fact that we rightly deserve tovenerate Mwalimu Nyerere, the father of the Tanzaniannation whose inestimable contributions in varied fieldshas left his country and the entire mankind incalculablelegacy. Mwalimu as a person and a leader has outshinedin almost all that he was able to do. He proved to be aserious politician, meticulous leader, a profound
Christian, a writer and a Pan-Africanist who tirelessly strived to address peoples pressing problems
Kwamba Nyerere anaweza kupimwa kwa mafanikio na mapungufu yake halina shaka ni jukumu la kihistoria na msomi yeyote yule. Lakini kufikia hitimisho kuwa Nyerere alikuwa ni dikteta na kuwa alikuwa mbaya na hakufanikiwa ni kinyume na ushahidi wote uliopo kuhusu Nyerere. Bahati nzuri ni miongoni (yawezekana ni mtu pekee) katika Tanzania aliyewahi kuandikwa vya kutosha na ambaye legacy yake inaweza kuangaliwa kisomi na si kihisia. Hadi hivi sasa sijaona kazi yoyote ya Kisomi ambayo imeweka ushahidi wa Udikteta wa Nyerere; none kama vile hakuna ushahidi kuwa aliwahi kusema kuwa "I failed, lets admit it".
Hata maandishi mekundu ambayo umeyanukuu ambayo mwandishi anasema:
Earlier, when he stepped down in 1985, Nyerere haddeclared that, "although socialism has failed in Tanzania,I will remain a socialist because I believe socialism is thebest policy for poor countries like Tanzania"
Huyu naye hasemi maneno hayo Nyerere aliyatoa wapi.
Hakuna ushahidi wowote kuwa Nyerere alikuwa
a. Kiongozi mbaya
b. Dikteta
c. Hakujali wananchi
d. Alitumia vibaya madaraka yake
e. Alijinufaisha yeye na watu wake wa karibu
n.k
Najiuliza hivi watoto wa Mramba wanaweza kumuona Kikwete ni mtu mzuri kwao? Najiuliza kama watoto na familia ya Mgonja wanamuona Kikwete ni kiongozi mzuri? Najiuliza kama familia ya Kiula inamuona Mkapa kuwa ni kiongozi mzuri?